kirumbiu
JF-Expert Member
- Feb 23, 2016
- 536
- 616
Ndiyo hivyo najua A to z tulikopeshwa mashariti ndiyo hayo tenda first priorities ni kwa raia Wa China hata nyumba za viongozi watakaokuwa Dodoma watajenga hao jamaa na kodi watachukuwa hao matajiri ya kichinaKwa hiyo pesa ya uchaguzi tumekopa?