Ibambasi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2007
- 9,277
- 4,683
Dogo andika kwa lugha ya taifaChina Again
The same chanise
Dogo andika kwa lugha ya taifaChina Again
The same chanise
Nyerere aliwahi sema ukimpa mtanzania au muafrca kazi hamalizi na pesa yote amekula. Tunamijitu mijinga sana nainajiita Eng. Hongera Eng MfugaleVP kampuni za wazawa? Je, hawawezi kufanya hii project? Je, tatizo ni ujuzi mdogo, elimu duni, uzoefu mdogo ama mitaji midogo ya wakandarasi wetu?
Kama tatizo ni ujuzi na uzoefu Mdogo, je kama nchi tuliwawezesha vipi kupata ujuzi kwenye phase 1 ya huu mradi?
Kama tatizo ni elimu mbovu, je kuna hatua gani zinachukuliwa na wahusika kurekebisha hilo?
Na kama tatizo ni mitaji midogo ya wakandarasi, je taasisi zetu za kifedha nchini zina msaada wowote? Na je, mfumo mzima wa upatikanaji mitaji kwa kampuni za wazawa kwa projects kama hizi upo vipi?
Je tunaelewa madhara ya kiuchumi kwa kuwa tegemezi kitaaluma?
Haya ni maswali ambayo kila mzalendo wa kweli anatakiwa kujiuliza.
Itajumlisha urefu wa 20. 3km, flyovers 2, and 29 bus terminals
Construction of the 20.3km road would include two flyovers of 24m width and length of 150m each, 29 bus terminals, a control centre and a garage
it is 20.3 kmHebu eleweka hapo kwenye 20 what!? 3km za kitu gani?
Tumia huo ubongo wako vizuri basiii, vituo 29 ni kishoto na kulia means 14 au 15 pande zote. Hivyo utagundua kwamba kwa sababu vitakua katikati ndio unapata hiyo 29Sidhani vituo vilivyopo sasa kituo hadi kituo cha daladala kwenda mbagala hakizidi mita 200 Na havizidi 14.Kuwa kutokuwa Na Vituo 29 hadi mbagala sielewi kweli.Nadhani kuna kosa la kiuandishi.Haiwezekani vikawa vituo 29
Una miaka mingapiChina Again
The same chanise
YoteUna miaka mingapi
tutajenga hivo hivo!mbagala hatutakiii
Asante ba mkubwaDogo andika kwa lugha ya taifa
Ok kwenda 14 kurudi 14 Na kituo kikuu mbagala kimoja ujumla 29 .Hapo nimeelewa.Japo jengo la kituo ni.moja vinahesabika vituo viwili Chinese mathematics.Nilijua jengo moja kituo kimoja hadi kufika vituo 29 maana yake majengo 29 ya vituoTumia huo ubongo wako vizuri basiii, vituo 29 ni kishoto na kulia means 14 au 15 pande zote. Hivyo utagundua kwamba kwa sababu vitakua katikati ndio unapata hiyo 29
Wazawa wana uwezo...ila bado hawana utayari. Akili zao kwa sasa zinawafaa barabara za vumbi. Bahati mbaya hata bodi zao za kitaalamu nazo hakuna la maana wala tofauti . Mambo yale yale toka 1961 mpaka leoVP kampuni za wazawa? Je, hawawezi kufanya hii project? Je, tatizo ni ujuzi mdogo, elimu duni, uzoefu mdogo ama mitaji midogo ya wakandarasi wetu?
Kama tatizo ni ujuzi na uzoefu Mdogo, je kama nchi tuliwawezesha vipi kupata ujuzi kwenye phase 1 ya huu mradi?
Kama tatizo ni elimu mbovu, je kuna hatua gani zinachukuliwa na wahusika kurekebisha hilo?
Na kama tatizo ni mitaji midogo ya wakandarasi, je taasisi zetu za kifedha nchini zina msaada wowote? Na je, mfumo mzima wa upatikanaji mitaji kwa kampuni za wazawa kwa projects kama hizi upo vipi?
Je tunaelewa madhara ya kiuchumi kwa kuwa tegemezi kitaaluma?
Haya ni maswali ambayo kila mzalendo wa kweli anatakiwa kujiuliza.
It is 29! .........29............... gazeti la The Citizen
Ni kweli vingi mno sasa hivi havifiki hata 14 vituo vya daladala hadi mbagala ni mwandishi kakosea au? 29 No
Phase 2 inajumuisha Kawawa Road pia, kutoka Magomeni hadi makutano na Kilwa road ndio maana vituo vimekuja 29 na km za batabara 20+Vituo vimekuwa vingi sana wafanye 14 tu
Hivi wanajenga according to standard za mteja au wanaamua wao kujenga kiwango wanachotaka? Vipi like daraja Kigamboni nalo ni fake?Kazi za wachina ni fake in most cases. Bei zao poa lakini......
Si lazima kijana inaweza kuwa hata mita 250 inategemea na mazingira.Rombo hadi Ubungo maji ni mita 500?