Kampuni ipi imebobea kuchimba visima virefu vya maji Dar?

toomuch

New Member
Jan 6, 2011
3
0
Wadau kuna yeyote ambaye amechimba kisima na hawa jamaa wa Drilling and Dam Construction Agency (DDCA) wa ubungo? Nasikia wapo shwari sana. Naomba atupe tathmini yake kama wanafaa (kwa kufanya survey na kisha kuchimba). Na kama wapo wengine basi chapisha majina yao bila kusita. Hivi diameter ya kisima kikubwa kabisa (kulingana na mabomba yaliyopo sokoni) ni ipi? Mfano kama nahitaji kisima kwa ajili ya biashara (kama nahitaji maji mengi sana) nahitaji kuchimba kisima cha diameter kiasi gani? Ni kweli kwamba diameter nayo itategemeana na uwingi wa maji eneo husika kama ilivyo kwa urefu wa kisima?
 
To name just a few

Aqua Drill Tech Company
Victoria BoreHoles Drilling Company
Al-ttai Water Well Drilling Company
Maji-Tech Engineering Limited
Aqua Well Drilling Company
 
To name just a few

Aqua Drill Tech Company
Victoria BoreHoles Drilling Company
Al-ttai Water Well Drilling Company
Maji-Tech Engineering Limited
Aqua Well Drilling Company

Water Wells Services Ltd(wapo maeneo ya kisutu)....just to top up mkuu
 
Water Wells Services Ltd(wapo maeneo ya kisutu)....just to top up mkuu

Ipi reliable kati ya hizo zilizotajwa (yaani ni ipi inachimba visima bora)
Bei za visima ina-range katika sh. ngapi? (Kuanzia ku-survey, kuchimba, ku-install pumps na mitambo mingine hadi kuanza kutoa maji)
Ipi nzuri windmill au water pump ya kutumia umeme (umeme wa solar au ngeleja/ fuel)?
Inazidi 10M?
 
sasa mkuu unataka kila kitu utafuniwe! hangaika na wewe, yaani umetafutiwa mchumba then unataka hata kumnanii ufundishwe, we vp mkuu.
 
sasa mkuu unataka kila kitu utafuniwe! hangaika na wewe, yaani umetafutiwa mchumba then unataka hata kumnanii ufundishwe, we vp mkuu.

kama hujui ni her ukajinyamazia, kna mwengine hajua lolote kuhusiana uchimbaj visima ila ana wazo la kufanya hii biashara, huon hii thread ndo itakayo mpa mwanga?!
 
Wadau kuna yeyote ambaye amechimba kisima na hawa jamaa wa Drilling and Dam Construction Agency (DDCA) wa ubungo? Nasikia wapo shwari sana. Naomba atupe tathmini yake kama wanafaa (kwa kufanya survey na kisha kuchimba). Na kama wapo wengine basi chapisha majina yao bila kusita. Hivi diameter ya kisima kikubwa kabisa (kulingana na mabomba yaliyopo sokoni) ni ipi? Mfano kama nahitaji kisima kwa ajili ya biashara (kama nahitaji maji mengi sana) nahitaji kuchimba kisima cha diameter kiasi gani? Ni kweli kwamba diameter nayo itategemeana na uwingi wa maji eneo husika kama ilivyo kwa urefu wa kisima?


Nenda DDCA, kuna mtu anaitwa Songea pale, wana vifaa vya kisasa kabisa wangine magumashi
 
Wadau kuna yeyote ambaye amechimba kisima na hawa jamaa wa Drilling and Dam Construction Agency (DDCA) wa ubungo? Nasikia wapo shwari sana. Naomba atupe tathmini yake kama wanafaa (kwa kufanya survey na kisha kuchimba). Na kama wapo wengine basi chapisha majina yao bila kusita. Hivi diameter ya kisima kikubwa kabisa (kulingana na mabomba yaliyopo sokoni) ni ipi? Mfano kama nahitaji kisima kwa ajili ya biashara (kama nahitaji maji mengi sana) nahitaji kuchimba kisima cha diameter kiasi gani? Ni kweli kwamba diameter nayo itategemeana na uwingi wa maji eneo husika kama ilivyo kwa urefu wa kisima?

NENDA DAVIS AND SHIRTLIF WAPO KAMATA

ILA WACHIMBAJIO WENGINE WA VISIMA ni wanaume mida ya usiku kwa sana urefu inategemea na driller ya mwanaume muda mwingine mbali na mchaNA WANACHIMBA MADIMBWI YAANI SHOW FUPI
 
NENDA DAVIS AND SHIRTLIF WAPO KAMATA

ILA WACHIMBAJIO WENGINE WA VISIMA ni wanaume mida ya usiku kwa sana urefu inategemea na driller ya mwanaume muda mwingine mbali na mchaNA WANACHIMBA MADIMBWI YAANI SHOW FUPI


mmmmmmhhhhh
 
Wakuu asanteni kwa maoni yenu, ila bado nipo kwenye njia panda -kusema ule ukweli kampuni ni nyingi zilizotajwa na kila kampuni huenda inasifa zake. kama kuna mwenye data (faida za kuitumia kampuni fulani basi) asisite kutumwagia mchele kwenye kuku wengi
 
Back
Top Bottom