Mipangomingi
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 2,713
- 2,058
Kwani ukinielekeza bila kuniwekea mawazo yako kichwani mwangu utakosa nini? Hebu nionyeshe ni wapi nimeikosoa serikali hii au hata iliyopita? Mimi nikielewa jambo huwa natoa mapendekezo, sio kukosoa japo naamini pia katika kukosoa.Kosa lilikuwa likifanyika kati ya mwaka 2010 na 2014. Limegunduliwa hivi sasa tu na serikali ya sasa. (Serikali ya wakati huo ilikuwa haikuligundua). Kwa hiyo uchunguzi zaidi unaendelea. Kuna nini kigumu kukielewa hapo? Au ni kwa sababu mawazo yako yamekaa kuikosoa serikali tu ya sasa ndiyo maana kila kitu kinachofanywa na serikali ya sasa unatafuta cha kuikosoa.