Gerald .M Magembe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,496
- 1,797
Ndugu yangu BAK, je umeelewa chochote alichoandika huyu kilaza Gerald .M Magembe? Mtu Kiingereza hajui, Kiswahili hajui na si ajabu hata Kilugha hajui...yaani ni jamii ile ile! Na hapa anadai eti alifukuzwa UDSM, really? Sikujua UDSM ya leo inapokea vilaza kama hawa...it's no wonder hii awamu imehatamiwa na washamba na limbukeni katika nyanja zote, masikini nchi yangu Tanzania!
Mkuu nitashukuru sana kama utakuwa ukini saidia kuelewa vizuri kiingereza, Nipo tayari kujifunza mpaka nakufa.