Junius
JF-Expert Member
- Mar 11, 2009
- 3,181
- 139
Kampeni za uchaguzi wa rais wa Zanzibar, wawakilishi na madiwani zinaendelea kwa amani na utulivu huku vyama vya siasa vikipata fursa ya kupiga kampeni zao kwa amani na utulivu.
Pichani yanaonekana mabango ya picha za wagombea wa CCM na CUF katika eneo la soko kuu la Darajani.
Kadhalika mgombea urais wa chama cha wakulima bw. Said Soud akinadi sera zake katika viwanja vya Kombawapya, wilaya ya mjini huku wananchi wakimsikiliza. Uchaguzi Mkuu unatarajiwa kufanyika baada ya wiki nne zijazo (Oktoba 31, 2010)
Picha zote ni kwa hisani ya Othman Mapara, mpiga picha wa shirika la magazeti la SMZ. Mtembelee katika blog yake: JIKUMBUKE
Pichani yanaonekana mabango ya picha za wagombea wa CCM na CUF katika eneo la soko kuu la Darajani.
Kadhalika mgombea urais wa chama cha wakulima bw. Said Soud akinadi sera zake katika viwanja vya Kombawapya, wilaya ya mjini huku wananchi wakimsikiliza. Uchaguzi Mkuu unatarajiwa kufanyika baada ya wiki nne zijazo (Oktoba 31, 2010)
Picha zote ni kwa hisani ya Othman Mapara, mpiga picha wa shirika la magazeti la SMZ. Mtembelee katika blog yake: JIKUMBUKE