Kampeni za uchaguzi wa wabunge na rais 2020 zitasababisha wapinzani wengi kukamatwa na kufungwa.

COARTEM

JF-Expert Member
Nov 26, 2013
3,596
3,639
Jinsi watu watakavyokuwa wakitema nyongo, matusi, kejeli, tuhuma za kweli + uongo, vijembe, ngumi za mashabiki wa vyama...walahi nawaambieni kuna mtu hataweza kuhimili kuyasikia hayo.
Jingine kuna upande utakuwa na mafuriko ya watu kwenye kampeni na upande mwingine mambo yatadorola kabisa mpaka wasombelee watu na mafuso ili kujaza uwanja. Upande huo utapanic na kuanza kuleta tilalila za hapa na pale.
Wapinzani kaeni chonjo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huo wakati kwa hofu ya kura huwa hakamatwi mtu sanasana huwa wanazuia viwanja
Jinsi watu watakavyokuwa wakitema nyongo, matusi, kejeli, tuhuma za kweli + uongo, vijembe, ngumi za mashabiki wa vyama...walahi nawaambieni kuna mtu hataweza kuhimili kuyasikia hayo.
Jingine kuna upande utakuwa na mafuriko ya watu kwenye kampeni na upande mwingine mambo yatadorola kabisa mpaka wasombelee watu na mafuso ili kujaza uwanja. Upande huo utapanic na kuanza kuleta tilalila za hapa na pale.
Wapinzani kaeni chonjo

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jinsi watu watakavyokuwa wakitema nyongo, matusi, kejeli, tuhuma za kweli + uongo, vijembe, ngumi za mashabiki wa vyama...walahi nawaambieni kuna mtu hataweza kuhimili kuyasikia hayo.
Jingine kuna upande utakuwa na mafuriko ya watu kwenye kampeni na upande mwingine mambo yatadorola kabisa mpaka wasombelee watu na mafuso ili kujaza uwanja. Upande huo utapanic na kuanza kuleta tilalila za hapa na pale.
Wapinzani kaeni chonjo

Sent using Jamii Forums mobile app
watanzania wanapenda sana amani. hakuna wa kutuchonganisha na vyama vyetu. tatizo kuu la tanzania ni CCM. ndio maana ninaamini kuwa siku ikiondoka madarakani itafutwa na mali zao zote zitarudishwa kwa wananchi.
 
Chaguzi ndogo zimethibitisha kwamba ushindi wa goli la mkono ni rahisi kwa kutumia wakurugenzi "wazalendo" wa CCM
 
Chaguzi ndogo zimethibitisha kwamba ushindi wa goli la mkono ni rahisi kwa kutumia wakurugenzi "wazalendo" wa CCM
Tumejipanga kudocument kila kitu ili EU ipate inachokitaka ikibidi Tume ya Uchaguzi na viongozi wawekewe vikwazo
 
Tumejipanga kudocument kila kitu ili EU ipate inachokitaka ikibidi Tume ya Uchaguzi na viongozi wawekewe vikwazo
Kukiwa na mpango wa ukweli mambo yafuatayo yatatokea wapiga kura wataongezeka maradufu na serikali itaondolewa kwa kura. Watu wengi wamekosa imani na mfumo wa uchaguzi uliopo na hawatapopoteza muda wao kushiriki
 
Kukiwa na mpango wa ukweli mambo yafuatayo yatatokea wapiga kura wataongezeka maradufu na serikali itaondolewa kwa kura. Watu wengi wamekosa imani na mfumo wa uchaguzi uliopo na hawatapopoteza muda wao kushiriki
Na ndio lengo uchaguzi ujao No Fear
 
CCM hawapendi kuambiwa ukweli,ila viongozi wao wanadai kuwa msema ukweli ni mpenzi wa Mungu.
 
Ni uchaguzi utakaotupiwa jicho la karibu na wadau wa demokrasia duniani kote.
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom