Uchaguzi 2020 Kampeni za mwaka huu zitaiachia nchi nyufa za chuki, ubaguzi, dharau kwa dini na viongozi wake, hasira. Tunahitaji muafaka wa kitaifa

Baada ya kufuatilia kampeni za mwaka huu hususan za Chama cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na kuangalia serikali na Tume wanavyochezesha mchezo huu wa kampeni nashuhudiwa ndani ya nafsi yangu kuwa iwapo CCM itashinda au CHADEMA tutakuwa na miaka mitano iliyojaa

1. Chuki baina ya Wananchi na Serikali na Wanachama wa vyama vikubwa vya siasa. Chuki hii inaletwa na upendeleo wa wazi dhidi ya CCM na kuzuia watu kutoa hasira zao waziwazi badala yake wanaweka vinyongo moyoni

2. Ubaguzi. Maadili ya Uchaguzi yanakataza matumizi ya lugha za makabila wakati wa kampeni. Bahati Magufuli anajua lugha za makabila mengi ya kanda ya ziwa na ameishi au kufanya kazi mikoa hiyo kwa wakati fulani. Sasa kampeni zake kanda ya ziwa ni kisukuma, kihaya n.k halafu yuko live TBC. Anawaonyesha kuwa yeye ni mwenzao ni mtoto wao. Hili ni ubaguzi na Mwl. Nyerere alisema hii ni sawa na kula nyama ya mtu. Magufuli, Bashiru, Polepole n.k wote kanda ya ziwa.

3. Dharau kwa Dini na viongozi wake. Kugombea kwa Askofu Gwajima na sala na dua wanazotoa viongozi wa dini kwenye kampeni za CCM ambazo ziko live kila siku zinafanya wananchi wengi tunawadharau matokeo yake tutadharau dini na mwisho wa siku kikinuka hatutakuwa na wa Kumsikiliza maana dini na viongozi wake tutaziona kama vyama tu.

Aidha hakuna kiongozi wa dini hata mmoja ambae amekemea au kuonyesha sympathy na Tundu Lissu hadharani dhidi ya shambulio lake la September 2017. Matokeo yake viongozi wa dini wanaelemea upande wa wawashukiwa wa tukio.

4. Hasira ipo dhidi ya uonevu. Itazidi sana wakati wa kutangaza matokeo na itachochewa sana na walioshindwa.

5. Kupoteza imani na sheria na vyombo vinavyoisimamia. Kama unaongea kwa lugha za makabila, unapiga simu kuagiza barabara zitengenezwe wakati uko kwenye kampeni kinyume na sheria inavyotaka na hatua yoyote inayochukuliwa hata ya onyo na wewe ndio Mkuu wa nchi maana yake unawaonyesha watu kuwa sheria haina maana au ni ya wale sio yako hali ya kuwa wakati huu wenzako nao wanakuchukulia uko kama wao ni shida.

Sioni kwa sasa katika serikali, dini au kwenye vyama mtu anayeweza kuzungumza na Taifa kwa umoja wetu. Tukiendelea hivi naona miaka 5 ya mivutano bila kufanya maendeleo. Tunahitaji Muafaka wa Kitaifa wakati huu wa kampeni kabla ya Kura na kabla ya Matokeo. Sioni upendo kati ya Magufuli na Lissu. Mafahali wawili wakivutana nyasi ndio zitaumia.

TUNATAKA MUAFAKA WA KITAIFA BARA NA ZANZIBAR KABLA YA SIKU YA KURA. JUKWAA LA WAHARIRI WAMEANZA KWA KUWAKUTANISHA CHADEMA NA TBC SERIKALI NAYO IFUATE KUPITIA TDC
Umepona Ugonjwa wako Benson ?
Kweli Mirembe kunasaidia
 
Baada ya kufuatilia kampeni za mwaka huu hususan za Chama cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na kuangalia serikali na Tume wanavyochezesha mchezo huu wa kampeni nashuhudiwa ndani ya nafsi yangu kuwa iwapo CCM itashinda au CHADEMA tutakuwa na miaka mitano iliyojaa

1. Chuki baina ya Wananchi na Serikali na Wanachama wa vyama vikubwa vya siasa. Chuki hii inaletwa na upendeleo wa wazi dhidi ya CCM na kuzuia watu kutoa hasira zao waziwazi badala yake wanaweka vinyongo moyoni

2. Ubaguzi. Maadili ya Uchaguzi yanakataza matumizi ya lugha za makabila wakati wa kampeni. Bahati Magufuli anajua lugha za makabila mengi ya kanda ya ziwa na ameishi au kufanya kazi mikoa hiyo kwa wakati fulani. Sasa kampeni zake kanda ya ziwa ni kisukuma, kihaya n.k halafu yuko live TBC. Anawaonyesha kuwa yeye ni mwenzao ni mtoto wao. Hili ni ubaguzi na Mwl. Nyerere alisema hii ni sawa na kula nyama ya mtu. Magufuli, Bashiru, Polepole n.k wote kanda ya ziwa.

3. Dharau kwa Dini na viongozi wake. Kugombea kwa Askofu Gwajima na sala na dua wanazotoa viongozi wa dini kwenye kampeni za CCM ambazo ziko live kila siku zinafanya wananchi wengi tunawadharau matokeo yake tutadharau dini na mwisho wa siku kikinuka hatutakuwa na wa Kumsikiliza maana dini na viongozi wake tutaziona kama vyama tu.

Aidha hakuna kiongozi wa dini hata mmoja ambae amekemea au kuonyesha sympathy na Tundu Lissu hadharani dhidi ya shambulio lake la September 2017. Matokeo yake viongozi wa dini wanaelemea upande wa wawashukiwa wa tukio.

4. Hasira ipo dhidi ya uonevu. Itazidi sana wakati wa kutangaza matokeo na itachochewa sana na walioshindwa.

5. Kupoteza imani na sheria na vyombo vinavyoisimamia. Kama unaongea kwa lugha za makabila, unapiga simu kuagiza barabara zitengenezwe wakati uko kwenye kampeni kinyume na sheria inavyotaka na hatua yoyote inayochukuliwa hata ya onyo na wewe ndio Mkuu wa nchi maana yake unawaonyesha watu kuwa sheria haina maana au ni ya wale sio yako hali ya kuwa wakati huu wenzako nao wanakuchukulia uko kama wao ni shida.

Sioni kwa sasa katika serikali, dini au kwenye vyama mtu anayeweza kuzungumza na Taifa kwa umoja wetu. Tukiendelea hivi naona miaka 5 ya mivutano bila kufanya maendeleo. Tunahitaji Muafaka wa Kitaifa wakati huu wa kampeni kabla ya Kura na kabla ya Matokeo. Sioni upendo kati ya Magufuli na Lissu. Mafahali wawili wakivutana nyasi ndio zitaumia.

TUNATAKA MUAFAKA WA KITAIFA BARA NA ZANZIBAR KABLA YA SIKU YA KURA. JUKWAA LA WAHARIRI WAMEANZA KWA KUWAKUTANISHA CHADEMA NA TBC SERIKALI NAYO IFUATE KUPITIA TDC
Sikuwai kuwaza Mambo ya ukanda
Uzi umenifanya nifikirie Hilo Jambo
Kwaio ndio kusema CDF nae Ni kanda ya ziwa....
Kwaio ndio kusema IGP nae Ni kanda ya ziwa

Raisi, kina bashiru na polepole Ni kanda ya ziwaa

Wasalaam
Tuache fikra mbovu
 
  • Thanks
Reactions: _ID
Baada ya kufuatilia kampeni za mwaka huu hususan za Chama cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na kuangalia serikali na Tume wanavyochezesha mchezo huu wa kampeni nashuhudiwa ndani ya nafsi yangu kuwa iwapo CCM itashinda au CHADEMA tutakuwa na miaka mitano iliyojaa

1. Chuki baina ya Wananchi na Serikali na Wanachama wa vyama vikubwa vya siasa. Chuki hii inaletwa na upendeleo wa wazi dhidi ya CCM na kuzuia watu kutoa hasira zao waziwazi badala yake wanaweka vinyongo moyoni

2. Ubaguzi. Maadili ya Uchaguzi yanakataza matumizi ya lugha za makabila wakati wa kampeni. Bahati Magufuli anajua lugha za makabila mengi ya kanda ya ziwa na ameishi au kufanya kazi mikoa hiyo kwa wakati fulani. Sasa kampeni zake kanda ya ziwa ni kisukuma, kihaya n.k halafu yuko live TBC. Anawaonyesha kuwa yeye ni mwenzao ni mtoto wao. Hili ni ubaguzi na Mwl. Nyerere alisema hii ni sawa na kula nyama ya mtu. Magufuli, Bashiru, Polepole n.k wote kanda ya ziwa.

3. Dharau kwa Dini na viongozi wake. Kugombea kwa Askofu Gwajima na sala na dua wanazotoa viongozi wa dini kwenye kampeni za CCM ambazo ziko live kila siku zinafanya wananchi wengi tunawadharau matokeo yake tutadharau dini na mwisho wa siku kikinuka hatutakuwa na wa Kumsikiliza maana dini na viongozi wake tutaziona kama vyama tu.

Aidha hakuna kiongozi wa dini hata mmoja ambae amekemea au kuonyesha sympathy na Tundu Lissu hadharani dhidi ya shambulio lake la September 2017. Matokeo yake viongozi wa dini wanaelemea upande wa wawashukiwa wa tukio.

4. Hasira ipo dhidi ya uonevu. Itazidi sana wakati wa kutangaza matokeo na itachochewa sana na walioshindwa.

5. Kupoteza imani na sheria na vyombo vinavyoisimamia. Kama unaongea kwa lugha za makabila, unapiga simu kuagiza barabara zitengenezwe wakati uko kwenye kampeni kinyume na sheria inavyotaka na hatua yoyote inayochukuliwa hata ya onyo na wewe ndio Mkuu wa nchi maana yake unawaonyesha watu kuwa sheria haina maana au ni ya wale sio yako hali ya kuwa wakati huu wenzako nao wanakuchukulia uko kama wao ni shida.

Sioni kwa sasa katika serikali, dini au kwenye vyama mtu anayeweza kuzungumza na Taifa kwa umoja wetu. Tukiendelea hivi naona miaka 5 ya mivutano bila kufanya maendeleo. Tunahitaji Muafaka wa Kitaifa wakati huu wa kampeni kabla ya Kura na kabla ya Matokeo. Sioni upendo kati ya Magufuli na Lissu. Mafahali wawili wakivutana nyasi ndio zitaumia.

TUNATAKA MUAFAKA WA KITAIFA BARA NA ZANZIBAR KABLA YA SIKU YA KURA. JUKWAA LA WAHARIRI WAMEANZA KWA KUWAKUTANISHA CHADEMA NA TBC SERIKALI NAYO IFUATE KUPITIA TDC
Hahaha uwiiiii Mkuu umeona hakuna Dalili za teuzi nini ???!!!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mbona kama akili zimekurudia ghafla asubuhi asubuhi hii
 
Baada ya kufuatilia kampeni za mwaka huu hususan za Chama cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na kuangalia serikali na Tume wanavyochezesha mchezo huu wa kampeni nashuhudiwa ndani ya nafsi yangu kuwa iwapo CCM itashinda au CHADEMA tutakuwa na miaka mitano iliyojaa

1. Chuki baina ya Wananchi na Serikali na Wanachama wa vyama vikubwa vya siasa. Chuki hii inaletwa na upendeleo wa wazi dhidi ya CCM na kuzuia watu kutoa hasira zao waziwazi badala yake wanaweka vinyongo moyoni

2. Ubaguzi. Maadili ya Uchaguzi yanakataza matumizi ya lugha za makabila wakati wa kampeni. Bahati Magufuli anajua lugha za makabila mengi ya kanda ya ziwa na ameishi au kufanya kazi mikoa hiyo kwa wakati fulani. Sasa kampeni zake kanda ya ziwa ni kisukuma, kihaya n.k halafu yuko live TBC. Anawaonyesha kuwa yeye ni mwenzao ni mtoto wao. Hili ni ubaguzi na Mwl. Nyerere alisema hii ni sawa na kula nyama ya mtu. Magufuli, Bashiru, Polepole n.k wote kanda ya ziwa.

3. Dharau kwa Dini na viongozi wake. Kugombea kwa Askofu Gwajima na sala na dua wanazotoa viongozi wa dini kwenye kampeni za CCM ambazo ziko live kila siku zinafanya wananchi wengi tunawadharau matokeo yake tutadharau dini na mwisho wa siku kikinuka hatutakuwa na wa Kumsikiliza maana dini na viongozi wake tutaziona kama vyama tu.

Aidha hakuna kiongozi wa dini hata mmoja ambae amekemea au kuonyesha sympathy na Tundu Lissu hadharani dhidi ya shambulio lake la September 2017. Matokeo yake viongozi wa dini wanaelemea upande wa wawashukiwa wa tukio.

4. Hasira ipo dhidi ya uonevu. Itazidi sana wakati wa kutangaza matokeo na itachochewa sana na walioshindwa.

5. Kupoteza imani na sheria na vyombo vinavyoisimamia. Kama unaongea kwa lugha za makabila, unapiga simu kuagiza barabara zitengenezwe wakati uko kwenye kampeni kinyume na sheria inavyotaka na hatua yoyote inayochukuliwa hata ya onyo na wewe ndio Mkuu wa nchi maana yake unawaonyesha watu kuwa sheria haina maana au ni ya wale sio yako hali ya kuwa wakati huu wenzako nao wanakuchukulia uko kama wao ni shida.

Sioni kwa sasa katika serikali, dini au kwenye vyama mtu anayeweza kuzungumza na Taifa kwa umoja wetu. Tukiendelea hivi naona miaka 5 ya mivutano bila kufanya maendeleo. Tunahitaji Muafaka wa Kitaifa wakati huu wa kampeni kabla ya Kura na kabla ya Matokeo. Sioni upendo kati ya Magufuli na Lissu. Mafahali wawili wakivutana nyasi ndio zitaumia.

TUNATAKA MUAFAKA WA KITAIFA BARA NA ZANZIBAR KABLA YA SIKU YA KURA. JUKWAA LA WAHARIRI WAMEANZA KWA KUWAKUTANISHA CHADEMA NA TBC SERIKALI NAYO IFUATE KUPITIA TDC
Hahaha uwiiiii Mkuu umeona hakuna Dalili za teuzi nini ???!!!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Umepona Ugonjwa wako Benson ?
Kweli Mirembe kunasaidia
Kweli nimeamini hata saa mbovu kuna watu,
Mbona kama akili zimekurudia ghafla asubuhi asubuhi hii
Umepona Ugonjwa wako Benson ?
Kweli Mirembe kunasaidia
Kweli nimeamini hata saa mbovu kuna wakati inasema ukweli aiseee 🤣🤣🤣🤣
 
Baada ya kufuatilia kampeni za mwaka huu hususan za Chama cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na kuangalia serikali na Tume wanavyochezesha mchezo huu wa kampeni nashuhudiwa ndani ya nafsi yangu kuwa iwapo CCM itashinda au CHADEMA tutakuwa na miaka mitano iliyojaa

1. Chuki baina ya Wananchi na Serikali na Wanachama wa vyama vikubwa vya siasa. Chuki hii inaletwa na upendeleo wa wazi dhidi ya CCM na kuzuia watu kutoa hasira zao waziwazi badala yake wanaweka vinyongo moyoni

2. Ubaguzi. Maadili ya Uchaguzi yanakataza matumizi ya lugha za makabila wakati wa kampeni. Bahati Magufuli anajua lugha za makabila mengi ya kanda ya ziwa na ameishi au kufanya kazi mikoa hiyo kwa wakati fulani. Sasa kampeni zake kanda ya ziwa ni kisukuma, kihaya n.k halafu yuko live TBC. Anawaonyesha kuwa yeye ni mwenzao ni mtoto wao. Hili ni ubaguzi na Mwl. Nyerere alisema hii ni sawa na kula nyama ya mtu. Magufuli, Bashiru, Polepole n.k wote kanda ya ziwa.

3. Dharau kwa Dini na viongozi wake. Kugombea kwa Askofu Gwajima na sala na dua wanazotoa viongozi wa dini kwenye kampeni za CCM ambazo ziko live kila siku zinafanya wananchi wengi tunawadharau matokeo yake tutadharau dini na mwisho wa siku kikinuka hatutakuwa na wa Kumsikiliza maana dini na viongozi wake tutaziona kama vyama tu.

Aidha hakuna kiongozi wa dini hata mmoja ambae amekemea au kuonyesha sympathy na Tundu Lissu hadharani dhidi ya shambulio lake la September 2017. Matokeo yake viongozi wa dini wanaelemea upande wa wawashukiwa wa tukio.

4. Hasira ipo dhidi ya uonevu. Itazidi sana wakati wa kutangaza matokeo na itachochewa sana na walioshindwa.

5. Kupoteza imani na sheria na vyombo vinavyoisimamia. Kama unaongea kwa lugha za makabila, unapiga simu kuagiza barabara zitengenezwe wakati uko kwenye kampeni kinyume na sheria inavyotaka na hatua yoyote inayochukuliwa hata ya onyo na wewe ndio Mkuu wa nchi maana yake unawaonyesha watu kuwa sheria haina maana au ni ya wale sio yako hali ya kuwa wakati huu wenzako nao wanakuchukulia uko kama wao ni shida.

Sioni kwa sasa katika serikali, dini au kwenye vyama mtu anayeweza kuzungumza na Taifa kwa umoja wetu. Tukiendelea hivi naona miaka 5 ya mivutano bila kufanya maendeleo. Tunahitaji Muafaka wa Kitaifa wakati huu wa kampeni kabla ya Kura na kabla ya Matokeo. Sioni upendo kati ya Magufuli na Lissu. Mafahali wawili wakivutana nyasi ndio zitaumia.

TUNATAKA MUAFAKA WA KITAIFA BARA NA ZANZIBAR KABLA YA SIKU YA KURA. JUKWAA LA WAHARIRI WAMEANZA KWA KUWAKUTANISHA CHADEMA NA TBC SERIKALI NAYO IFUATE KUPITIA TDC
Ama kweli saa bovu kuna wakati linapatia majira
 
Nchi ishapasuka kitambo tu toka 2015 kilichobaki Ni matokeo ya mpasuko!!

CCM inaleta hatari kubwa Sana, damu za watu mwaka huu zitamwagika sanaaaa,
Tume na CCM kamwe hawatakwepa mkono wa karma na laana
 
Baada ya kufuatilia kampeni za mwaka huu hususan za Chama cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na kuangalia serikali na Tume wanavyochezesha mchezo huu wa kampeni nashuhudiwa ndani ya nafsi yangu kuwa iwapo CCM itashinda au CHADEMA tutakuwa na miaka mitano iliyojaa

1. Chuki baina ya Wananchi na Serikali na Wanachama wa vyama vikubwa vya siasa. Chuki hii inaletwa na upendeleo wa wazi dhidi ya CCM na kuzuia watu kutoa hasira zao waziwazi badala yake wanaweka vinyongo moyoni

2. Ubaguzi. Maadili ya Uchaguzi yanakataza matumizi ya lugha za makabila wakati wa kampeni. Bahati Magufuli anajua lugha za makabila mengi ya kanda ya ziwa na ameishi au kufanya kazi mikoa hiyo kwa wakati fulani. Sasa kampeni zake kanda ya ziwa ni kisukuma, kihaya n.k halafu yuko live TBC. Anawaonyesha kuwa yeye ni mwenzao ni mtoto wao. Hili ni ubaguzi na Mwl. Nyerere alisema hii ni sawa na kula nyama ya mtu. Magufuli, Bashiru, Polepole n.k wote kanda ya ziwa.

3. Dharau kwa Dini na viongozi wake. Kugombea kwa Askofu Gwajima na sala na dua wanazotoa viongozi wa dini kwenye kampeni za CCM ambazo ziko live kila siku zinafanya wananchi wengi tunawadharau matokeo yake tutadharau dini na mwisho wa siku kikinuka hatutakuwa na wa Kumsikiliza maana dini na viongozi wake tutaziona kama vyama tu.

Aidha hakuna kiongozi wa dini hata mmoja ambae amekemea au kuonyesha sympathy na Tundu Lissu hadharani dhidi ya shambulio lake la September 2017. Matokeo yake viongozi wa dini wanaelemea upande wa wawashukiwa wa tukio.

4. Hasira ipo dhidi ya uonevu. Itazidi sana wakati wa kutangaza matokeo na itachochewa sana na walioshindwa.

5. Kupoteza imani na sheria na vyombo vinavyoisimamia. Kama unaongea kwa lugha za makabila, unapiga simu kuagiza barabara zitengenezwe wakati uko kwenye kampeni kinyume na sheria inavyotaka na hatua yoyote inayochukuliwa hata ya onyo na wewe ndio Mkuu wa nchi maana yake unawaonyesha watu kuwa sheria haina maana au ni ya wale sio yako hali ya kuwa wakati huu wenzako nao wanakuchukulia uko kama wao ni shida.

Sioni kwa sasa katika serikali, dini au kwenye vyama mtu anayeweza kuzungumza na Taifa kwa umoja wetu. Tukiendelea hivi naona miaka 5 ya mivutano bila kufanya maendeleo. Tunahitaji Muafaka wa Kitaifa wakati huu wa kampeni kabla ya Kura na kabla ya Matokeo. Sioni upendo kati ya Magufuli na Lissu. Mafahali wawili wakivutana nyasi ndio zitaumia.

TUNATAKA MUAFAKA WA KITAIFA BARA NA ZANZIBAR KABLA YA SIKU YA KURA. JUKWAA LA WAHARIRI WAMEANZA KWA KUWAKUTANISHA CHADEMA NA TBC SERIKALI NAYO IFUATE KUPITIA TDC
Umekula nini mkuu ?!. Naona akili zimekurudia vizuri !!. Hayo ulioyanena pamoja na mwenendo wa tume kuigemea Ccm kwa kuengua wagombea wa upinzani ni tatizo kuu.
 
Baada ya kufuatilia kampeni za mwaka huu hususan za Chama cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na kuangalia serikali na Tume wanavyochezesha mchezo huu wa kampeni nashuhudiwa ndani ya nafsi yangu kuwa iwapo CCM itashinda au CHADEMA tutakuwa na miaka mitano iliyojaa

1. Chuki baina ya Wananchi na Serikali na Wanachama wa vyama vikubwa vya siasa. Chuki hii inaletwa na upendeleo wa wazi dhidi ya CCM na kuzuia watu kutoa hasira zao waziwazi badala yake wanaweka vinyongo moyoni

2. Ubaguzi. Maadili ya Uchaguzi yanakataza matumizi ya lugha za makabila wakati wa kampeni. Bahati Magufuli anajua lugha za makabila mengi ya kanda ya ziwa na ameishi au kufanya kazi mikoa hiyo kwa wakati fulani. Sasa kampeni zake kanda ya ziwa ni kisukuma, kihaya n.k halafu yuko live TBC. Anawaonyesha kuwa yeye ni mwenzao ni mtoto wao. Hili ni ubaguzi na Mwl. Nyerere alisema hii ni sawa na kula nyama ya mtu. Magufuli, Bashiru, Polepole n.k wote kanda ya ziwa.

3. Dharau kwa Dini na viongozi wake. Kugombea kwa Askofu Gwajima na sala na dua wanazotoa viongozi wa dini kwenye kampeni za CCM ambazo ziko live kila siku zinafanya wananchi wengi tunawadharau matokeo yake tutadharau dini na mwisho wa siku kikinuka hatutakuwa na wa Kumsikiliza maana dini na viongozi wake tutaziona kama vyama tu.

Aidha hakuna kiongozi wa dini hata mmoja ambae amekemea au kuonyesha sympathy na Tundu Lissu hadharani dhidi ya shambulio lake la September 2017. Matokeo yake viongozi wa dini wanaelemea upande wa wawashukiwa wa tukio.

4. Hasira ipo dhidi ya uonevu. Itazidi sana wakati wa kutangaza matokeo na itachochewa sana na walioshindwa.

5. Kupoteza imani na sheria na vyombo vinavyoisimamia. Kama unaongea kwa lugha za makabila, unapiga simu kuagiza barabara zitengenezwe wakati uko kwenye kampeni kinyume na sheria inavyotaka na hatua yoyote inayochukuliwa hata ya onyo na wewe ndio Mkuu wa nchi maana yake unawaonyesha watu kuwa sheria haina maana au ni ya wale sio yako hali ya kuwa wakati huu wenzako nao wanakuchukulia uko kama wao ni shida.

Sioni kwa sasa katika serikali, dini au kwenye vyama mtu anayeweza kuzungumza na Taifa kwa umoja wetu. Tukiendelea hivi naona miaka 5 ya mivutano bila kufanya maendeleo. Tunahitaji Muafaka wa Kitaifa wakati huu wa kampeni kabla ya Kura na kabla ya Matokeo. Sioni upendo kati ya Magufuli na Lissu. Mafahali wawili wakivutana nyasi ndio zitaumia.

TUNATAKA MUAFAKA WA KITAIFA BARA NA ZANZIBAR KABLA YA SIKU YA KURA. JUKWAA LA WAHARIRI WAMEANZA KWA KUWAKUTANISHA CHADEMA NA TBC SERIKALI NAYO IFUATE KUPITIA TDC
Muafaka upi wewe, mambo ya kunywa juice ikulu yashapitwa na wakati! Sasa ni muda wa kazi tu. Jeipiemu tano tena!
 
Usinilishe maneno. Mimi nilikuwa napingana na Mbowe na kikundi chake namna ya uendeshaji wa Chama. Wanachama walinielewa. Sasa habari za Mbowe nimefunga. Niko na agenda nyingine.
Isipokuwa katika hii agenda, Mbowe aliishikia bango sana, hata akamwandikia Raisi kuwa kuna haja ya kuwa na Mwafaka wa kitaifa kabla ya kuendelea na maandalizi ya uchaguzi. Alirudia tena hasa baada ya ccm kubaka uchaguzi wa serikali za vijiji na vitongoji. Mwafaka ni muhimu lakini ni too late kufanyika kabla ya uchaguzi. Mwafaka ungehusu sheria ya uchaguzi ambayo imeengua wagombea kibabe na kijinga sana. Tume imetumia ubabe kuengua wagombea, inaendelea kutumia ubabe kuwapa adhabu za kuwafungia siku 7 za kutokufanya kampeni, na bado itaendesha uchaguzi kwa ubabe, kuapisha mawakala kwa ubabe na pia itatangaza matokeo kwa ubabe badala ya ukweli na uhalisia. Too late! Mgogoro hauepukiki! Mfano Bashiru alisema mubashara kuwa watatumia dola kushinda, mama Salma anesema hata ccm isipopigiwa kura itaunda serikali, chadema wamesema wakidhulumiwa wataingia barabarani, Tume imesema hailazimiki kuwapa mawakala matokeo ya uchaguzi vituoni, na mitego mingi iliyowekwa ili kuiba matokeo. Too late now.
 
Isipokuwa katika hii agenda, Mbowe aliishikia bango sana, hata akamwandikia Raisi kuwa kuna haja ya kuwa na Mwafaka wa kitaifa kabla ya kuendelea na maandalizi ya uchaguzi. Alirudia tena hasa baada ya ccm kubaka uchaguzi wa serikali za vijiji na vitongoji. Mwafaka ni muhimu lakini ni too late kufanyika kabla ya uchaguzi. Mwafaka ungehusu sheria ya uchaguzi ambayo imeengua wagombea kibabe na kijinga sana. Tume imetumia ubabe kuengua wagombea, inaendelea kutumia ubabe kuwapa adhabu za kuwafungia siku 7 za kutokufanya kampeni, na bado itaendesha uchaguzi kwa ubabe, kuapisha mawakala kwa ubabe na pia itatangaza matokeo kwa ubabe badala ya ukweli na uhalisia. Too late! Mgogoro hauepukiki! Mfano Bashiru alisema mubashara kuwa watatumia dola kushinda, mama Salma anesema hata ccm isipopigiwa kura itaunda serikali, chadema wamesema wakidhulumiwa wataingia barabarani, Tume imesema hailazimiki kuwapa mawakala matokeo ya uchaguzi vituoni, na mitego mingi iliyowekwa ili kuiba matokeo. Too late now.
It's never too late mkuu mshunami ,ni mtu mmoja akiamua tu,kila kitu kinafanyika.
 
Hongera sana kwa mada nzuri. Nakuona tu namna unavyojuta moyoni kwa sasa baada ya kuchagua unafiki katika umri wako huo mdogo ulio nao.

Ulitakiwa ubakie kwenye chama chako, mwanzo mwisho! Sisi kaka zako tunapoichukia CCM, hatukosei! Tuna sababu za msingi. Na kwa bahati mbaya wengi wetu tumeshindwa kuishi hayo maisha ya kinafiki uliyo yachagua wewe na baadhi ya wenzako.

Ila kwa ufupi, leo nimekuelewa sana. Katiba mpya ndiyo jibu la haya madudu yote tunayo yashuhudia sasa.
Mnufaiko ukiwapitia kushoto huwa na akili,mcheck tumaini el,Herier huwezi pingana na ukweli.
 
Naona umeanza kupata akili,

Sie wewe ulokuwa unasimama kidete na kudai Chadema na upinzani kwa ujumla ushakufa? Leo chama kilichojifia zamani kitamtetemesha vipi you aloleta maendeleo kila pembe ya Nchi hii? Mtu anaependwa na kuabudiwa na kila Mtanzania hapa Duniani anateseka vipi kwa kibaraka na ngumbaru wa Mabeberu?

Vijana mwache unafiki,

Kushadidia upuuzi na kuja kupinga upuuzi uleule baada ya kukosa teuzu ni ujinga mtambuka..!! Tuliza kipapo wenye maumivu ya kweli ya miaka mitano ya unyang'ani, mateso, kubambika na kila uovu ulotekea nchini hapa wapaze sauti za kilio cha kweli.. we tulizana.. huna Moral authority ya kuwa sauti ya wanyonge wa kweli ktk taifa hili.

BACK TANGANYIKA
Kamanda karibu jukwaani .
 
Back
Top Bottom