MAMA POROJO
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 4,974
- 785
Maana yake nini?
Mbona JK haishi kulia-lia. Akiondoka mkoa mmoja, huku nyuma watu wanaanza kuharibu. Anatamani kurudi alikotoka wakati hajamaliza anakokwenda. Loo! JK fisadi!
Mkuu, taratibu basiiiiiiiiiiiiii, mbona unakwenda mbali. Tunazungumzia tetesi za kutoweka kwa familia ya Rais katika kampeni. Rudi kwenye mada.