The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 15,393
- 12,976
Jamani naomba kuuliza, hivi kampeni za mama Salma na Ridhiwani za kumsaidia mzee kurudi mjengoni bado zipo?? Nimejaribu kufuatilia lakini toka Riz1 apewe uchief basi tena sijamsikia kwenye news yeyote. Mama pia mara ya mwisho kumsikia alikuwa KGM.
Je hizo zilikuwa ni mbinu za sakafuni au ndiyo wanakusanya nguvu tayari kwa awamu ya mwisho?? Malaria Sugu naomba update???
Je hizo zilikuwa ni mbinu za sakafuni au ndiyo wanakusanya nguvu tayari kwa awamu ya mwisho?? Malaria Sugu naomba update???