Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,395
- 3,899
#MUHAMBWE
KIGOMA
Baadhi ya Wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamewasili Jimboni Muhambwe Mkoani Kigoma kwa ajili ya kufanya kampeni kwa wagombea Chama Cha Mapinduzi katika majimbo yote mawili ya Muhambwe na Buhigwe
Wabunge hao ni Mheshimiwa Asia Alamga pamoja na Ng'wasi Kamani wabunge wanaowakilisha kundi la Vijana , Saasisha Mafuwe Mbunge wa Hai na Timotheo Mzava wa Korogwe vijjini.
Kazi inaendelea
KIGOMA
Baadhi ya Wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamewasili Jimboni Muhambwe Mkoani Kigoma kwa ajili ya kufanya kampeni kwa wagombea Chama Cha Mapinduzi katika majimbo yote mawili ya Muhambwe na Buhigwe
Wabunge hao ni Mheshimiwa Asia Alamga pamoja na Ng'wasi Kamani wabunge wanaowakilisha kundi la Vijana , Saasisha Mafuwe Mbunge wa Hai na Timotheo Mzava wa Korogwe vijjini.
Kazi inaendelea