kampeni za lala salama mhambwe wabunge wa CCM waweka kambi

Nigrastratatract nerve

JF-Expert Member
Sep 4, 2019
1,395
3,899
#MUHAMBWE

KIGOMA

Baadhi ya Wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamewasili Jimboni Muhambwe Mkoani Kigoma kwa ajili ya kufanya kampeni kwa wagombea Chama Cha Mapinduzi katika majimbo yote mawili ya Muhambwe na Buhigwe

Wabunge hao ni Mheshimiwa Asia Alamga pamoja na Ng'wasi Kamani wabunge wanaowakilisha kundi la Vijana , Saasisha Mafuwe Mbunge wa Hai na Timotheo Mzava wa Korogwe vijjini.

Kazi inaendelea

FB_IMG_1620917846422.jpg
FB_IMG_1620917841383.jpg
 
Uchaguzi gani usiokua na vyama shindani. Wampeleke Bungeni huyo mwanachama wa CCM kuokoa muda na raia waendele na shughuli za maendeleo, Waache kupotezea raia muda ambao wangejiingizia pato katika familia zao, Wakati wanajua fika huyo wanaetafutia kura hata wasipomchagua watamtangaza kwa nguvu.Tunahitaji Tume ya Uchaguzi iliyo huru sio hii ya kina-Mahera.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
#MUHAMBWE

KIGOMA

Baadhi ya Wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamewasili Jimboni Muhambwe Mkoani Kigoma kwa ajili ya kufanya kampeni kwa wagombea Chama Cha Mapinduzi katika majimbo yote mawili ya Muhambwe na Buhigwe

Wabunge hao ni Mheshimiwa Asia Alamga pamoja na Ng'wasi Kamani wabunge wanaowakilisha kundi la Vijana , Saasisha Mafuwe Mbunge wa Hai na Timotheo Mzava wa Korogwe vijjini.

Kazi inaendelea

View attachment 1783477View attachment 1783478
1620928806544.png
 
Back
Top Bottom