Uzalendo Installer
JF-Expert Member
- Nov 8, 2014
- 5,306
- 8,736
Paskali Mayalla ndio kampeni meneja wake..tumuulize
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miaka yote Halima Mdee anapita kwa kura za wanna CCM.kama masihara huyu mwamba tukija kustuka yupo bungeni ndio tutaanza kujiuliza imekuwaje jomba kapita siasa ni ukichaa kwel
kuna video fulani ya Msukuma akiuliza waliokuwa kwenye mkutano wa kampeni, - Darasa la 7 nyoosha mikono juu, na form 4 nyosha mikono juu,. Shigongo, umewaona wapiga kura wako!!Thubutu ..Kawe ndio jimbo lenye wasomi wengi TZ..porn star hawezi
MhhhHai ndio kamati yake ya ushindi. Mwizi wa nyota za watoto
Wamshitaki huyu mpuuziKwanza kabisa huu ni uvunjifu wa haki ya mtoto, na vibaya zaidi mtoto wa umri wa chekechea kumyima haki yake ya kuwa mtoto na kumtumikisha kwenye siasa, tena siasa za kisanii. Pili, sijui kama wazazi waliombwa ruhusa ya kuwatumia watoto wao wadogo kutumika kwenye usanii huu. Kama wazazi wa Kawe ni wasomi, wanajua haki yao ya kumfungulia mashitaka, tena binadamu ambaye amjiaminisha kuwa mtumishi wa bwana!! Tatu, wagombea wa vyama vingine (washindani wake) wanaweza kupeleka malalamiko kwa Tume ya Uchafuzi kuhusu mshindani wao ambaye akili zimemruka katikati ya kampeni na hivyo kuomba awe amepumzishwa hospitali ya Mirembe kwanza.
Afukuzwe madarasani tafadhali aache watoto wasome.Katika hali ya kuonyesha kuchanganyikiwa na joto la kampeni na kupoteza uelekeo, mgombea wa Jimbo la Kawe, Askofu Josephat Gwajima aliibuka kwenye darasa la watoto wa shule ya awali.
Hebu tazama hiyo video akiwa na Luca Neghesti mgombea udiwani kata ya Msasani.
View attachment 1586399
Mgombea lazima ajue hali za wananchi wake haijalishi ni wa umri gani lazima pia apate kujua kero za hao watoto na waalimu na hawezi kuwapata sehemu nyingine kwa umoja zaidi ya shuleniKatika hali ya kuonyesha kuchanganyikiwa na joto la kampeni na kupoteza uelekeo, mgombea wa Jimbo la Kawe, Askofu Josephat Gwajima aliibuka kwenye darasa la watoto wa shule ya awali.
Hebu tazama hiyo video akiwa na Luca Neghesti mgombea udiwani kata ya Msasani.
View attachment 1586399
Gwajima lazima ashinde yule jamaaa hajawahi shindwa na kitu chochote nyie subiri na muoneatashinda kukata mauno siyo ubunge
Yan wewe ndo umeishiwa sera kabisaaaa kaa tu chini unyamazeKatika hali ya kuonyesha kuchanganyikiwa na joto la kampeni na kupoteza uelekeo, mgombea wa Jimbo la Kawe, Askofu Josephat Gwajima aliibuka kwenye darasa la watoto wa shule ya awali.
Hebu tazama hiyo video akiwa na Luca Neghesti mgombea udiwani kata ya Msasani.
View attachment 1586399
Katika hali ya kuonyesha kuchanganyikiwa na joto la kampeni na kupoteza uelekeo, mgombea wa Jimbo la Kawe, Askofu Josephat Gwajima aliibuka kwenye darasa la watoto wa shule ya awali.
Hebu tazama hiyo video akiwa na Luca Neghesti mgombea udiwani kata ya Msasani.
View attachment 1586399
hashindwi kuwakatikia mauno nye misukule yake ila siyo ubunge wa kaweGwajima lazima ashinde yule jamaaa hajawahi shindwa na kitu chochote nyie subiri na muone