Hii picha imezua gumzo kwenye mitandao ya kijamii huku wengi wakihoji juu ya uwepo wa glasi moja tu ya maji
View attachment 1589363
Glass ya maji imepewa sitiAjabu nini hapo.
Sijaona siti hapo kinachoonekana ni stuli ambayo ni utaratibu wa kawaida kabisa, hakuna cha ajabu hapo,Glass ya maji imepewa siti
Wachawi hao!!!mwaka huu tutarudi chimwaga kuteua mwingine ni suala la muda tu!!
Povu la Said Nassoro Bagile kwa Maria Beautiful Sarungi.
Hivi bado ni Mtz maana kaolewa na Muethopia??
Ha ha ha mwenye macho haambiwi tizama. Kwanini glass ipewe kiti??Acheni uzushi, maji ya Shein
Kumbuka huyo mpaka sasa ni Rais wa nchi kubwa na lazima majukumu yake yote ayatekeleze kusudi wewe na mimi na wana chadema wote wawepo kwa amani waendelee kubeza kwa amani.Nimesikia jamaa anachukua tena likizo fupi ya kampeni, itakuwa hali tete kiafya.
Watanzania bwana nimeuliza swali na wewe umenijibu kwa kuniuliza swali lingine.Kwani Mtanzania akiolewa na Mtu wa mwenye uraia wa Nchi nyingine anapoteza uraia wake!? 😳😳😳
Watanzania bwana nimeuliza swali na wewe umenijibu kwa kuniuliza swali lingine.