cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 26,768
- 73,435
Na wewe umeanzisha thread
Ha ha haaaaa
Endeleeni kuisona namba na kusaga meno
Magufuli oyeeeeeeeeeee
Ha ha haaaaa
Endeleeni kuisona namba na kusaga meno
Magufuli oyeeeeeeeeeee
Hii sio uilete wewe tu mkuu yani inabidi iwe kampeni ya nchi nzima na hata wanasheria watuwekee sawa watusaidie kudai hii haki na sisi kama itazuiliwa tufanye kampeni kwa kuwa wao wana haki kama sisi tena inabidi kampeni zianze sawa wao wakiwa arusha sisi tuwe mwanzaAsubiri hawa watu wamalize Magufuli Baki, najuwa itafanikiwa, ingawa siyo katika maeneo yote
Lakini naamini hii ya kwangu kama haitapata upinzani Wa dola itapata wafuasi wengi. inaitwa Pombe Ondoka
kaeni mkao Wa kula
Mkuu na hii kauli yako lazima 'utakata umeme'
Hii sio uilete wewe tu mkuu yani inabidi iwe kampeni ya nchi nzima na hata wanasheria watuwekee sawa watusaidie kudai hii haki na sisi kama itazuiliwa tufanye kampeni kwa kuwa wao wana haki kama sisi tena inabidi kampeni zianze sawa wao wakiwa arusha sisi tuwe mwanza
Kupumzika chato na kujenga uwanja wa ndege na mataa ya barabara chato mimi naishi huku yaho ndio niliyeona nyie wa dar hamjaonaHebu tusaidie tangu Aingie madarakani kuna LIPI la maana limefanyika
maccm hayajiaminiWana wasiwasi mkubwa hata 2020 MACCM wenzie wanaweza kumpiga chini kwa ushahidi wa kutosha kabisa kwamba nchi imemshinda kabaki na sera za kukurupuka na chuki za kutisha na vitisho kila leo na kicheko chake cha kinafiki. Sijui hizi chuki za kutisha alizonazo huyu zinasababishwa na nini hasa.
Rais John Pombe Magufuli ameendelea kupongezwa na wananchi pamoja na Taasisi za kiraia mbalimbali kutokana na misimamo yake na kazi kubwa anayoifanya ya kupigania rasilimali za nchi, kwa masilahi ya wanyonge na masikini.
Pongezi hizo zimetolewa kwa nyakati tofauti leo, Julai 17, 2017 jijini Dar es Salaam na Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini Masjid Ridhwaa, Alhaj Suleiman Seif Nassor na aliyekuwa mgombea wa CCM wa Ubunge Jimbo la Sengerema kupitia kura ya maoni, Laurence Mabawa.
Wakati akizungumza na wanahabari, Alhaj Nassor amesema bodi hiyo imemamua kumpongea Dkt. Magufuli kutokana na kazi nzuri anayofanya tangu alipoingia madarakani.
Kwa upande wake Mabawa, amesema licha ya kumpongeza Rais Magufuli, ameandaa kampeni kabambe inayojulikana kama ‘Magufuli Baki’ inayotarajiwa kufanyika hivi karibuni kwenye mikoa yote nchini, ambapo kupitia mikutano wananchi wenye nia njema watamuomba rais abaki katika msimamo wake wa kuwatetea wanyonge na masikini.
“Kampeni ya Magufuli Baki itahusisha mikoa yote ya Tanzania kwa kuwafikia wananchi wakiwemo wanafunzi wa sekondari kwa kufanya mikutano yenye nia njma ya kumwomba Rais abaki kwenye msimamo wake, kampeni hii itawapa fursa wananchi kutoa maoni yao kuhusu utendaji kazi wake iwe kwa kupongeza au kukosoa,” amesema.
Katika hatua nyingine, Mabawa amelaani baadhi ya wanasiasa na wananchi wanaotoa lugha za maudhi na kejeli kwa watu wanaojitokeza hadharani kumpongeza Rais Magufuli na serikali yake.
“Niombe TCRA kuwachukulia hatua kali wote wanaotumia mitandao ya kijamii vibaya kwa kuwatolea maneno ya kejeli na kuudhi watu wanaojitokeza kumpongeza Rais,” amesema.
Hii pombe chama cha makinikia walijua soda kumbe ni jamii ya CHANG'AA, GONGO, MTUKURU Sasa wanaanzisha ngonjera ATI GONGO IBAKI tutawakata m.a.g.ov.i
Tuelekeako, UZALENDO utakuwa tusiWazalendo wote lazima waunge mkono hii movement
Post sent using JamiiForums mobile app
Unajua maana ya uzalendo ndugu, acha uhuni.Wazalendo wote lazima waunge mkono hii movement
Post sent using JamiiForums mobile app