Kampeni ya kuyafufua waliyoyazika bila ridhaa yetu

Gembe

JF-Expert Member
Sep 25, 2007
2,483
159
Watanzania tuwe makini na tutafakari developments zifuatazo:
kwanza ni kesi ya Ditto

1. Taarifa ya Kamanda wa Polisi Kanda ya DSM aongea na wandishi wa habari na katika taarifa yake anaeleza kuwa Mheshimiwa DITTO alikuwa anagonga dirisha la daladala kumuamuru dereva ashuke mara risasi inafyatuka na kumpiga dereva huyo kichwani na kumuua. Hii inaashiria bahati mbaya na mheshimiwa kama aliuua basi hakukusudia.

2. Mheshimiwa Ditto ANALETWA mahakamani ndani ya baloon. .... Muuaji apewa VIP treatment.

3. Ditto's gun goes missing. Sasa hapa jamaa tayari imewekwa kuwa hakuwa na silha kwenye tukio. Sasa nani alimpiga risasi dereva? Ni mtu mwingine yeyote aliyekuwa na bastola mahali hapo na ni juu ya mupande wa mashitaka kuthibitisha kwamba Ditto ndiye aliyefanya hivyo! Pengine dereva alijigonga kwenye usukani wa gari lake akapasuka kichwa! Ama dereva alijilipua mwenyewe baada ya kugundua kuwa amegonga gari la mheshimiwa R.C.? Proof inatakiwa hapa kumtia hatiani mheshimiwa!!!

4. Mheshimiwa DITTO anajiuzuru na President anakubali OMBI lake. Pamoja na kukubali JK anampongeza kwamba kitendo chake ( KIPI.. kuua ama kujiuzuru? ) ni cha kizalendo na ameifanyia nchi yetu heshima kubwa na inadhihirisha nchi jinsi inavyoheshimu utawala bora wa kisheria!

5.Ditto anapewa Dhamana na huku kesi yake hajulikani itasomwa lini

je namba sita ni nini?naomba kuibua mjadala huu ili haki itenndeke,Mie nadhani kuna haja ya kuadamana ili Kesi hii iibuliwe tena,Na nina wasiwasi mkubwa Rushwa ilitembezwa sana hapa.kumbuka Mtikila Alitaka kuifufua ,Mbona amekaa kimya??
 
mzee yenu hujasahau tu. Serikali ilishatoa rambirambi na pole kwa familia ya Dito na ndio maana wakamtumia wakati wa "kampenzi za kuelezea bajeti" kule Dodoma alikotukana wake za watu. Nadhani, tukubali tu yaishe.
 
mzee yenu hujasahau tu. Serikali ilishatoa rambirambi na pole kwa familia ya Dito na ndio maana wakamtumia wakati wa "kampenzi za kuelezea bajeti" kule Dodoma alikotukana wake za watu. Nadhani, tukubali tu yaishe.

haya mambo ya kukubali yaishe ndio yanatuingiza katika mikataba kama ya Richmond.Wewe tulivyosahau mkataba wa IPTL wakaleta RDC then Dowans.Mie niko taari kuongoza Maandamano hayo
 
Usishangae baada ya vumbi kutua, anakabidhiwa tena kitengo kikubwa ndani ya Sisiem yenye wenyewe na baadaye kuteuliwa tena kwenye kitengo muhimu na cha ulaji "Sirikalini".

One thing he should remember"Time will Tell" Wananchi wanapaswa kwanza kuilazamisha serikali hata kwa maandamano ili haki itendeke. Tukumbuke kuwa huyo ni mmoja wa waliotangazwa lakini kuna mamia ambao wameonewa na mfumo huu kibabe lakini hawajatangazwa. Mungu iokoe Tz na watu wake. Mungu ibariki Tanzania.
 
Hata wafukie namna gani, mauaji hayo yatam-haunt Ditto mpaka siku Mungu atakapomchukua. Akumbuke watoto wa marehemu wanakua na wataelezwa kilichomuondoa duniani baba yao, na hatujui reaction yao itakuwa nini.
 
nahisi kuna kitu kizazi hiki wanjifunza,Time will tell,Fuatilia mazungumzo ya vijana wengi kwa sasa,hasa wanaosma katika vyuo vyetu.kuna Mwamko wa kifikra..siku si nyingi watalipa gharama ya mambo wanayotufanyia.
 
Hii mada nzuri sana Kuna wakati fulani wabunge wa kanda ya ziwa pamoja na bwana Mrema walikuja juu kuhusu baadhi ya wachimbaji wa madini kufukiwa kwa amri ya mkuu wa kaya aliyepita.

Nakumbuka Mrema alikua na Video cassete (VCR)/VCD ya tukio la watu kufukiwa. naomba yeyote mwenye kuweza kumshawishi Mrema hiyo cassette tuweze kuona na kujadili.

Pia sikumbuki kesi yake iliishia wapi maana walimshitaki mrema kwa kusema uongo akawakilisha hiyo cassete mahakamani kama ushahidi mmojawapo ila baada ya hapo sijui kilichoendelea.

Mwenye hizo nyeti atumwagie ikiwa ni pamoja na kumwomba bwana A. Mrema
 
Hii mada nzuri sana Kuna wakati fulani wabunge wa kanda ya ziwa pamoja na bwana Mrema walikuja juu kuhusu baadhi ya wachimbaji wa madini kufukiwa kwa amri ya mkuu wa kaya aliyepita.

Nakumbuka Mrema alikua na Video cassete (VCR)/VCD ya tukio la watu kufukiwa. naomba yeyote mwenye kuweza kumshawishi Mrema hiyo cassette tuweze kuona na kujadili.

Pia sikumbuki kesi yake iliishia wapi maana walimshitaki mrema kwa kusema uongo akawakilisha hiyo cassete mahakamani kama ushahidi mmojawapo ila baada ya hapo sijui kilichoendelea.

Mwenye hizo nyeti atumwagie ikiwa ni pamoja na kumwomba bwana A. Mrema


yaani wakati mwingine huwa najiuliza hivi tunapojisifia kwamba Tanzania kuna amani na utulivu ni kweli? ama kuna ujinga na uzezeta uliochanganyikana na woga ukiongozwa na utawala wa kiimla??

Kweli watu wanafukiwa live... jiiiii inapita
Ditto anaua live ... hiyo inapotelea
Karamagi anagawa madini yetu gest za ughaibuni... hiyoooo inaishia jamaa anazidi lima kishoka tu!
Amina wanamkolimba live live... hiyooo historia sasa!!
and the list goes on....??

Naona kiarabu arabu hapa ni amani kweli? ama...!
 
Watanzania tuwe makini na tutafakari developments zifuatazo:
kwanza ni kesi ya Ditto

1. Taarifa ya Kamanda wa Polisi Kanda ya DSM aongea na wandishi wa habari na katika taarifa yake anaeleza kuwa Mheshimiwa DITTO alikuwa anagonga dirisha la daladala kumuamuru dereva ashuke mara risasi inafyatuka na kumpiga dereva huyo kichwani na kumuua. Hii inaashiria bahati mbaya na mheshimiwa kama aliuua basi hakukusudia.

2. Mheshimiwa Ditto ANALETWA mahakamani ndani ya baloon. .... Muuaji apewa VIP treatment.

3. Ditto's gun goes missing. Sasa hapa jamaa tayari imewekwa kuwa hakuwa na silha kwenye tukio. Sasa nani alimpiga risasi dereva? Ni mtu mwingine yeyote aliyekuwa na bastola mahali hapo na ni juu ya mupande wa mashitaka kuthibitisha kwamba Ditto ndiye aliyefanya hivyo! Pengine dereva alijigonga kwenye usukani wa gari lake akapasuka kichwa! Ama dereva alijilipua mwenyewe baada ya kugundua kuwa amegonga gari la mheshimiwa R.C.? Proof inatakiwa hapa kumtia hatiani mheshimiwa!!!

4. Mheshimiwa DITTO anajiuzuru na President anakubali OMBI lake. Pamoja na kukubali JK anampongeza kwamba kitendo chake ( KIPI.. kuua ama kujiuzuru? ) ni cha kizalendo na ameifanyia nchi yetu heshima kubwa na inadhihirisha nchi jinsi inavyoheshimu utawala bora wa kisheria!

5.Ditto anapewa Dhamana na huku kesi yake hajulikani itasomwa lini

je namba sita ni nini?naomba kuibua mjadala huu ili haki itenndeke,Mie nadhani kuna haja ya kuadamana ili Kesi hii iibuliwe tena,Na nina wasiwasi mkubwa Rushwa ilitembezwa sana hapa.kumbuka Mtikila Alitaka kuifufua ,Mbona amekaa kimya??

Hivi Kesi ya Ditto imeisha? Au watu wame-lose interest nayo?
 
Hivi Kesi ya Ditto imeisha? Au watu wame-lose interest nayo?

watu hawajalose interestee ila imezikwa kinamna,ndio huu ni mkakatai wa kuifufua.hata kama walizindika ila mie sio mtu wa 666,Kwa mamlaka tuliyopewa na Mungu tuna haki ya kuhoji kwanini hachukuliwi hatu a huku alimiga mtu Risasi?

Suala la Mzee wakilalacha na lenyewe inabidi lifufuluiwe tujue serikali inasema nini kwa watu waliofukiwa huko bulyankhulu,Hata Bwana Cheyo aliyenunuliwa an ushahidi tosha.

Mzee Mwanakijiji tunaomba umuombe mzee Mrema akupe huo mkanda wa video tuuweke hapa ili waliosababisha wavhukuliwe hatua.

Suala lingine ni la mauaji ya Mtoto wa mzee Malechela nani alihusika na suala hilo,Manaake liligubikwa na utata Mkubwa,

Suala la City water,Je Lowassa alinufaika na nini?na kwanini aliamua maazui hayo?

Suala la Twin Towers,Je kwanini walimfukuza yule Engineer aliyetoboa siri,Tunahitaji kumhoji yule engineer atuwambie ni nani aliyesuka hilo Dili
 
kuna suala ambalo aliliacha dada yetu Amina chifupa kuhusu watuhumiwa wa MAdawa ya kulevya,Kama Kuna Mtu ana ushahidi wa wauza madawa hao wa kulevya,Tafdhali sana ,nakusihi mwana wa kitanzania utuletee hayo majina hapa na tuataandaa ripoti kamili ya nini cha kufanya,Nilipeleka ripoti yangu y kwanza Ikulu ya kuhoji kwanini Severe bado yuko madalakani ili khali Prof. Maghembe alikuwa hamtaki,Mhe. Rais Jakaya Kiwkete anasoma sana Jambo forums an amekuwa akihoji kila jambo lolote linalofanyika humu ndani,
 
Mugo"The Great";109206 said:
Hata wafukie namna gani, mauaji hayo yatam-haunt Ditto mpaka siku Mungu atakapomchukua. Akumbuke watoto wa marehemu wanakua na wataelezwa kilichomuondoa duniani baba yao, na hatujui reaction yao itakuwa nini.

Nahitaji msaada wa kisheria ili kesi hii irudishwe tena mahakamani..
 
Back
Top Bottom