Uchaguzi 2020 Kampeni ni mipango, mikakati na akili, CHADEMA wamepungukiwa na vyote

Tangu kuanza kwa Kampeni nimekuwa nikifuatilia timu za Kampeni za Chama Cha Mapinduzi na zile za Upinzani, ukifuatilia utaona tofauti kubwa zinazodhihirisha uwezo mkubwa na maarifa ya kupanga na kuratibu mikakati ya ushindi kwa upande wa Chama Cha Mapinduzi na UPUNGUFU MKUBWA wa mikakati na mipango ya uratibu wa Kampeni.

Kuhusu ujengaji wa Hoja (Sera)
Mgombea wa CCM ameendelea kunadi sera na mikakati ya kuliinua Taifa kiuchumi, kuwalinda na kuwatetea wanyonge na kuahidi kesho yenye matumaini zaidi na maendeleo. Anataja aliyokwishafanya na anafafanua amefanya nini na kwanini aliyafanya na kwamba anaomba muda zaidi wa kufanya makubwa zaidi, watanzania wanamuelewa.

Hali ya kuwa kwa Upande wa CHADEMA kuanzia siku ya ufunguzi mpaka sasa, katika kila mkutano CHADEMA wanalalamika, wanalia, wanalaani, wanatukana vyombo vya ulinzi na kutia huruma. ACT Wazalendo wao wameendelea na hoja mfu na vitisho, Wanazungumza uongo wa wazi na kuahidi kurudisha Kangomba ili watu waendelee kuibiwa Korosho zao, wanasema hawatokusanya kodi na kwamba kila kitu nchini kitakuwa bure..NI UONGO.

Kusalimia na kufanya mikutano vijijini
Ni
vile kuwa CCM ina ngome zake maeneo ya Vijijini, tafiti zinaonyesha hivyo na ukweli ndio huo, Wanyonge wa nchi hii wanaitumainia CCM, wanasemewa na CCM na wanatetewa na CCM. Wanajitokeza katika mikutano ya CCM na Viongozi wa CCM wametambua hivyo, wanasimama vijijini, wanatatua kero on spot wakati wa Kampeni. Chadema wanafanya mkutano mmoja kwa siku tena maeneo ya mijini TU, hawasalimii wala kusimama kijiji chochote,na kumbuka hawana ofisi vijijini na waligomea Serikali za Mitaa, hivyo hawana hata mjumbe wa Serikali ya Kijiji, nani anawasemea.? WANAFELI.

Coverage
Kosa kubwa la kiufundi ni kuingia ugomvi na vyombo vya habari wakati wa Kampeni, kisha hawana miundombinu ya kusambaza habari zao. Wapo wanaoamini msimamizi wa habari CHADEMA anawahujumu, nadhani sio hujuma ni upungufu wa maarifa na mipango. Hawaonekani mtandaoni, magazetini, redioni wala kwenye runinga, hawapo popote. Hawawezi hata kustream live kwa simu, ni KICHEKESHO.

Hamasa katika mikutano
CCM wamejipanga katika hamasaWalipodhani kuwa watu wengine woooooote hawana maana nchi hii, na kwamba wao ni kila kitu wakadharau waandishi, jeshi la polisi na vyombo vya ulinzi na usalama na wakadharau wasanii na kazi zao. wakawabeza, wakawatoa akili na kutotambua mchango wao, leo hii hakuna msanii anayejielewa anapanda jukwaa la CHADEMA, hata Ney wa Mitego nae kawakimbia kwenda ACT Wazalendo, ni jambo la kusikitisha kuwa imefikia hatua CHADEMA wamekosa watu kwneye mikutano mpaka wanasambaza picha za mwaka 2015. AIBU KUBWA..

Mgawanyo wa timu za kampeni
CCM imejipanga vyema, Mgombea wa Urais ameanza Dodoma kuelekea Kanda ya Ziwa (Nyumbani) Mgombea Mwenza anaelekea (Mashariki) na wamejipanga ambapo Waziri Mkuu ameanza Manyara (kasikazini), Nape anaunguruma (Kusini) Mzee Pinda (nyanda za Juu Kusini) na Mzee Kinana kaanza na Arusha na kwenye benchi wapo Mzee Kikwete, Mzee Makamba, Kibajaji, Mwigulu, January na wengineo...CHADEMA wameweka mayai yao yote kwenye kapu moja, msafara mmoja kuna kila mtu Mgombea, Mbowe, Kamati Kuu ya Chadema, Sekretarieti, wajumbe wa Serikali za Mitaa wote wanazunguka pamoja.

Nimalize kwa kuwapa msaada kwenye tuta, mkizidiwa sana anzeni kupika UGALI na TEMBELE, maana kupika WALI KUKU ni kujitafutia ugomvi na HASHIMURUNGWE, na nawashauri, HASHIMU sio mtu wa kugombana nae wakati huu..anawazidi sana maarifa.
Jitahidi uhudhurie mikutano ya chadema kwa maelezo yako inaonyesha hujafika ktk mikutano yao .Chadema hawajashika nchi vipi waseme wamejenga kitu?
Wao kazi yao kuelimisha watu kwa yale ccm imekosea na kuahidi nn watafanya km HAKI, UHURU na MAENDELEO YA WATU jitahidi uwafuatilie vinginevyo una hasira mikutano ni ya wazi kila mtu anafuatilia hata huku vijijini tunaona mikutano yote
 
CCM wapo well organized vibaya mno, In short kwenye mikutano ya Chadema watu wanaenda kumuona mtu aliyesurvive multiple bullet hit, wanamsikiliza na wanamhurumia, ila hawamwamini kwenye kumpa kura!

Umeingia mioyoni mwao?
 
.
Tunachohitaji ni falsafa mpya, CDM hii pinga pinga na kibaraka wa mabeberu haina faida kwa nje, tunahitaji upinzani wenye faida hivyo ni muhimu CDM ife tupate upinzani mpya Tz.
Falsafa inaletwa na watu sio chama!! coz chama bila watu ni irrepevant. Sasa hao watu watatoka wapi? Ndio nmesema hta chadema ikifa kina mbowe utawakuta huko ACT au NCCR sasa huo upinzani mpya utoke wapi?? ACT si hao hao Maalim na masalia wa CHADEMA kuna nani mpya pale?

Hakunaga kitu kma upinzani mpya zaidi ni kubadili tu maeneo ya kufanyia siasa. Ila ukitaka siasa mpya ni hao TISS wapandikize watu wanaowataka upinzani ila sio kupambana kuua CHADEMA ni kupoteza muda tu maana watarudi either CCM au ACT sasa umefanya nni? Wataacha ukibaraka wao wakienda ACT?

Reasoning ya TZ bhana
 
CHADEMA hawana misingi wala hoja kumshawishi mwananchi ni dhahiri kama ni kura watapata kwa wanachama wao ambao wamepungua hivi sasa, kueneza chuki, sera zisizo na strategy hawawezi kufika popote, huna machinery katika vijiji na kata na unafanya kampeni kwa ndege, it doesnt make sense

Siku hizi vijijini 60% wanazo simu za smartphone
 
Awa ndugu zenu chadema wamepoteza kabisa ushawishi wa kisiasa kabisaaa,Wanaishia kutoa matusi mitandao badala ya kujibu hoja za Wananchi

Huyo anaetoa matusi umeona kadi yake ya chama?
 
Shinyanga ni ngome ya Ccm? Namsikia JPM anachambua ilani ya Ccm, miaka yake mitano akimaliza tutakuawa tumefika pazuri
Hahahaha mtani umekuja na huku. Shinyanga ilikua upinzani zamani ila tokea 2015 kura zikapigwa kikabila ni ngome ya CCM hilo liko wazi kabisa. Kwahyo pengine mlitegemea apate watu watano tu au apigwe mawe kma "Hai"

Poleni sana
 
Mtu uliyepita bila kuenguliwa(sio kupita bila kupingwa) unatakiwa utulize mshono maana site umepaogopa wewe ni muoga.
 
Ungesema wamepungikiwa wasanii na malori ya kubeba watu ungekuwa umepatia .
IMG_20200829_144231.jpg
Screenshot_20200829-145344.png
IMG_20200829_143557.jpg
IMG_20200829_143235.jpg
 
Tunazo video zake kadhaa ambazo anamtukana magufuli na ambazo hujawahi kuzisikia, baada ya siku chache tutazianika hadharani bila huruma yoyote, jipangeni, kama mnadhani yamekwisha mnajidanganya
Hakuna mwenye subira ya kumtizama mpinzani akimrarua ingali anaweza kumjibu na kumshinda, uongo hauwasaidii na kwasasa watanzania wengi wanafikiri kwanza juu ya kinachosemwa na hapo ndipo Magufuli anapowapiga KO kwakua anachosema kinareflect aliyoyasema lakini pia msimamo wake.
 
Hakuna mwenye subira ya kumtizama mpinzani akimrarua ingali anaweza kumjibu na kumshinda, uongo hauwasaidii na kwasasa watanzania wengi wanafikiri kwanza juu ya kinachosemwa na hapo ndipo Magufuli anapowapiga KO kwakua anachosema kinareflect aliyoyasema lakini pia msimamo wake.
Msimamo wa kutukana wahanga na kupiga mashangazi ? Deo Mwanyika mhujumu uchumi yuko njombe anagombea ubunge kwa tiketi ya ccm , utaendelea kumuamini Magufuli hata kwa hili ?
 
hayo ni maneno yako tu ndugu wala hauna uthibitisho wowote juu ya hilo
Kama hupendwi utaamua kubaka. Ndivyo mnavyofanya CCM. Mnatumia kila aina ya udhalimu na mbinu chafu kuhalalisha ushetani wenu. Hamna sera yoyote ya maana ila mnalazimisha tu
 
Hapana kuna majimbo ambayo ni lazima yarudi upinzani kma uchaguzi ukiwa huru na haki kwa haraka haraka ni 20 huku bara kwa CHADEMA.

Sasa inapaswa muhuzunike maana CHADEMA ni chama tu ila kikifa anayeathirika ni mwananchi. Lissu anakosa nni? Mnyika? They have nothing to lose kwahiyo sijui huwa mnamkomoa nani kma sio wenyewe.

Hata kma tuna mahaba na CCM lakini ni muhim upinzani uwepo otherwise tutaletewa sera za ajabu alafu atakosekana mtu wa kutoa maoni mbadala.
Kama unahisi chadema wakishindwa kina Lisu hawana cha kupoteza basi pole!

Ni kweli tuanpaswa kuwa na upinzani lakini si huu wa hapa kwetu
 
Hapo kwenye kugawana njia nimewaza hivi leo Lissu akigawana njia na Salum, bwana Salum akiwa mwenyewe atapata hata nyomi la watu 7?
 
Tangu kuanza kwa Kampeni nimekuwa nikifuatilia timu za Kampeni za Chama Cha Mapinduzi na zile za Upinzani, ukifuatilia utaona tofauti kubwa zinazodhihirisha uwezo mkubwa na maarifa ya kupanga na kuratibu mikakati ya ushindi kwa upande wa Chama Cha Mapinduzi na UPUNGUFU MKUBWA wa mikakati na mipango ya uratibu wa Kampeni.

Kuhusu ujengaji wa Hoja (Sera)
Mgombea wa CCM ameendelea kunadi sera na mikakati ya kuliinua Taifa kiuchumi, kuwalinda na kuwatetea wanyonge na kuahidi kesho yenye matumaini zaidi na maendeleo. Anataja aliyokwishafanya na anafafanua amefanya nini na kwanini aliyafanya na kwamba anaomba muda zaidi wa kufanya makubwa zaidi, watanzania wanamuelewa.

Hali ya kuwa kwa Upande wa CHADEMA kuanzia siku ya ufunguzi mpaka sasa, katika kila mkutano CHADEMA wanalalamika, wanalia, wanalaani, wanatukana vyombo vya ulinzi na kutia huruma. ACT Wazalendo wao wameendelea na hoja mfu na vitisho, Wanazungumza uongo wa wazi na kuahidi kurudisha Kangomba ili watu waendelee kuibiwa Korosho zao, wanasema hawatokusanya kodi na kwamba kila kitu nchini kitakuwa bure..NI UONGO.

Kusalimia na kufanya mikutano vijijini
Ni
vile kuwa CCM ina ngome zake maeneo ya Vijijini, tafiti zinaonyesha hivyo na ukweli ndio huo, Wanyonge wa nchi hii wanaitumainia CCM, wanasemewa na CCM na wanatetewa na CCM. Wanajitokeza katika mikutano ya CCM na Viongozi wa CCM wametambua hivyo, wanasimama vijijini, wanatatua kero on spot wakati wa Kampeni. Chadema wanafanya mkutano mmoja kwa siku tena maeneo ya mijini TU, hawasalimii wala kusimama kijiji chochote,na kumbuka hawana ofisi vijijini na waligomea Serikali za Mitaa, hivyo hawana hata mjumbe wa Serikali ya Kijiji, nani anawasemea.? WANAFELI.

Coverage
Kosa kubwa la kiufundi ni kuingia ugomvi na vyombo vya habari wakati wa Kampeni, kisha hawana miundombinu ya kusambaza habari zao. Wapo wanaoamini msimamizi wa habari CHADEMA anawahujumu, nadhani sio hujuma ni upungufu wa maarifa na mipango. Hawaonekani mtandaoni, magazetini, redioni wala kwenye runinga, hawapo popote. Hawawezi hata kustream live kwa simu, ni KICHEKESHO.

Hamasa katika mikutano
CCM wamejipanga katika hamasaWalipodhani kuwa watu wengine woooooote hawana maana nchi hii, na kwamba wao ni kila kitu wakadharau waandishi, jeshi la polisi na vyombo vya ulinzi na usalama na wakadharau wasanii na kazi zao. wakawabeza, wakawatoa akili na kutotambua mchango wao, leo hii hakuna msanii anayejielewa anapanda jukwaa la CHADEMA, hata Ney wa Mitego nae kawakimbia kwenda ACT Wazalendo, ni jambo la kusikitisha kuwa imefikia hatua CHADEMA wamekosa watu kwneye mikutano mpaka wanasambaza picha za mwaka 2015. AIBU KUBWA..

Mgawanyo wa timu za kampeni
CCM imejipanga vyema, Mgombea wa Urais ameanza Dodoma kuelekea Kanda ya Ziwa (Nyumbani) Mgombea Mwenza anaelekea (Mashariki) na wamejipanga ambapo Waziri Mkuu ameanza Manyara (kasikazini), Nape anaunguruma (Kusini) Mzee Pinda (nyanda za Juu Kusini) na Mzee Kinana kaanza na Arusha na kwenye benchi wapo Mzee Kikwete, Mzee Makamba, Kibajaji, Mwigulu, January na wengineo...CHADEMA wameweka mayai yao yote kwenye kapu moja, msafara mmoja kuna kila mtu Mgombea, Mbowe, Kamati Kuu ya Chadema, Sekretarieti, wajumbe wa Serikali za Mitaa wote wanazunguka pamoja.

Nimalize kwa kuwapa msaada kwenye tuta, mkizidiwa sana anzeni kupika UGALI na TEMBELE, maana kupika WALI KUKU ni kujitafutia ugomvi na HASHIMURUNGWE, na nawashauri, HASHIMU sio mtu wa kugombana nae wakati huu..anawazidi sana maarifa.
Hapo bado mziki wa Aerial haujaanza
 
Tangu kuanza kwa Kampeni nimekuwa nikifuatilia timu za Kampeni za Chama Cha Mapinduzi na zile za Upinzani, ukifuatilia utaona tofauti kubwa zinazodhihirisha uwezo mkubwa na maarifa ya kupanga na kuratibu mikakati ya ushindi kwa upande wa Chama Cha Mapinduzi na UPUNGUFU MKUBWA wa mikakati na mipango ya uratibu wa Kampeni.

Kuhusu ujengaji wa Hoja (Sera)
Mgombea wa CCM ameendelea kunadi sera na mikakati ya kuliinua Taifa kiuchumi, kuwalinda na kuwatetea wanyonge na kuahidi kesho yenye matumaini zaidi na maendeleo. Anataja aliyokwishafanya na anafafanua amefanya nini na kwanini aliyafanya na kwamba anaomba muda zaidi wa kufanya makubwa zaidi, watanzania wanamuelewa.

Hali ya kuwa kwa Upande wa CHADEMA kuanzia siku ya ufunguzi mpaka sasa, katika kila mkutano CHADEMA wanalalamika, wanalia, wanalaani, wanatukana vyombo vya ulinzi na kutia huruma. ACT Wazalendo wao wameendelea na hoja mfu na vitisho, Wanazungumza uongo wa wazi na kuahidi kurudisha Kangomba ili watu waendelee kuibiwa Korosho zao, wanasema hawatokusanya kodi na kwamba kila kitu nchini kitakuwa bure..NI UONGO.

Kusalimia na kufanya mikutano vijijini
Ni
vile kuwa CCM ina ngome zake maeneo ya Vijijini, tafiti zinaonyesha hivyo na ukweli ndio huo, Wanyonge wa nchi hii wanaitumainia CCM, wanasemewa na CCM na wanatetewa na CCM. Wanajitokeza katika mikutano ya CCM na Viongozi wa CCM wametambua hivyo, wanasimama vijijini, wanatatua kero on spot wakati wa Kampeni. Chadema wanafanya mkutano mmoja kwa siku tena maeneo ya mijini TU, hawasalimii wala kusimama kijiji chochote,na kumbuka hawana ofisi vijijini na waligomea Serikali za Mitaa, hivyo hawana hata mjumbe wa Serikali ya Kijiji, nani anawasemea.? WANAFELI.

Coverage
Kosa kubwa la kiufundi ni kuingia ugomvi na vyombo vya habari wakati wa Kampeni, kisha hawana miundombinu ya kusambaza habari zao. Wapo wanaoamini msimamizi wa habari CHADEMA anawahujumu, nadhani sio hujuma ni upungufu wa maarifa na mipango. Hawaonekani mtandaoni, magazetini, redioni wala kwenye runinga, hawapo popote. Hawawezi hata kustream live kwa simu, ni KICHEKESHO.

Hamasa katika mikutano
CCM wamejipanga katika hamasaWalipodhani kuwa watu wengine woooooote hawana maana nchi hii, na kwamba wao ni kila kitu wakadharau waandishi, jeshi la polisi na vyombo vya ulinzi na usalama na wakadharau wasanii na kazi zao. wakawabeza, wakawatoa akili na kutotambua mchango wao, leo hii hakuna msanii anayejielewa anapanda jukwaa la CHADEMA, hata Ney wa Mitego nae kawakimbia kwenda ACT Wazalendo, ni jambo la kusikitisha kuwa imefikia hatua CHADEMA wamekosa watu kwneye mikutano mpaka wanasambaza picha za mwaka 2015. AIBU KUBWA..

Mgawanyo wa timu za kampeni
CCM imejipanga vyema, Mgombea wa Urais ameanza Dodoma kuelekea Kanda ya Ziwa (Nyumbani) Mgombea Mwenza anaelekea (Mashariki) na wamejipanga ambapo Waziri Mkuu ameanza Manyara (kasikazini), Nape anaunguruma (Kusini) Mzee Pinda (nyanda za Juu Kusini) na Mzee Kinana kaanza na Arusha na kwenye benchi wapo Mzee Kikwete, Mzee Makamba, Kibajaji, Mwigulu, January na wengineo...CHADEMA wameweka mayai yao yote kwenye kapu moja, msafara mmoja kuna kila mtu Mgombea, Mbowe, Kamati Kuu ya Chadema, Sekretarieti, wajumbe wa Serikali za Mitaa wote wanazunguka pamoja.

Nimalize kwa kuwapa msaada kwenye tuta, mkizidiwa sana anzeni kupika UGALI na TEMBELE, maana kupika WALI KUKU ni kujitafutia ugomvi na HASHIMURUNGWE, na nawashauri, HASHIMU sio mtu wa kugombana nae wakati huu..anawazidi sana maarifa.

Ndio faida ya miaka mitano kuziba wote midomo na uongee ww tu
 
Kama unahisi chadema wakishindwa kina Lisu hawana cha kupoteza basi pole!

Ni kweli tuanpaswa kuwa na upinzani lakini si huu wa hapa kwetu
Anapoteza nni sasa Lissu? M.A ya Warwick atakosa allowance ya dola laki 2 kwa kesi moja mbele huko? Mbowe akienda CCM atakosa hata u RC? Lema akiamua kwenda CCM awe hata DC anakosa nini?

Upinzani hta uwe ajabu vipi ni lazima uwepo maadam ni minority wana athiri nini? Sijui nani katuaminisha wapinzani ni maadui wa taifa wakati ni hao hao tu leo wapo CCM kesho CHADEMA na vice versa!!

Tuliambiwa CHADEMA wanatumika ma mabeberu ila wakienda CCM mnawapa uwaziri?
 
Back
Top Bottom