Uchaguzi 2020 Kampeni ni mipango, mikakati na akili, CHADEMA wamepungukiwa na vyote

1. Kwa issue ya Media kweli wamepwaya sana ila kuwazingua TBC ilikua halali kabisa. Huwezi weka live alafu unakata kata picha na sauti haina maana kabisa.

2. CHADEMA hawakususa Serikali za Mitaa bali 90% ya wagombea walienguliwa!! Sasa wangeshiriki na 10% pekee.

3. Mikutano ya CHADEMA ipo kwa ratiba ya NEC. Yye ameanza kutambulishwa kwa kanda zote then ndio ataanza kampeni majimbo ambapo mbeya atafanya mikutano 8 ndani ya siku 2.

4. Kuhusu kugawanyika kasome ratiba ya NEC Mnyika,Mwalimu na Lissu watakua majimbo tofauti wakimaliza ziara kanda ya pemba huko. Na siyo CHADEMA tu hta ACT na NCCR watafanya hivyo kwahyo sio initiative ya CCM kma unavyodai.

5. Kuhusu picha za 2015 nadhani sio msimamo wa chama ila mahudhurio ya shinyanga yalikua mazuri so hakukuwa na haja ya cover up kma unayotaka kuforce hapa.

6. Kuhusu sera mbona Lissu amenadi au hujasikia hotuba kuanzia Mwanza kagusia Bima,Mfumo wa kodi,Kilimo,biashara, wavuvi na wafugaji, Elimu n.k ama upo biased tu kuwa walikua wanatukana/lalamika. Let's be objective kidogo.

CCM walichoizidi CHADEMA ni rasilimali pesa tu basi otherwise sijaona innovationa ya CCM ya kutisha, hata kudesign App kma CHADEMA imewashinda!!
Nadhani mleta mada amepata majibu murua kabisa!
 
Sasa kama wapinzani wenyewe hawako serious angalau kupata wabunge 10 unataka mimi nifanyaje mkuu!?

Mimi nmeelezea uhalisia wa hali ilivyo
Hapana kuna majimbo ambayo ni lazima yarudi upinzani kma uchaguzi ukiwa huru na haki kwa haraka haraka ni 20 huku bara kwa CHADEMA.

Sasa inapaswa muhuzunike maana CHADEMA ni chama tu ila kikifa anayeathirika ni mwananchi. Lissu anakosa nni? Mnyika? They have nothing to lose kwahiyo sijui huwa mnamkomoa nani kma sio wenyewe.

Hata kma tuna mahaba na CCM lakini ni muhim upinzani uwepo otherwise tutaletewa sera za ajabu alafu atakosekana mtu wa kutoa maoni mbadala.
 
Cdm viongozi , wanachama na wafuasi wake wengi ni wacha Mungu na wenye hofu ya Mungu. So inawawia vigumu kumuunga mkono mgombea wao wa bafasi ya rais wa jmt anaye shadadia ushoga. They know it is a fatal mistake mbele ya Mungu.
 
Tangu kuanza kwa Kampeni nimekuwa nikifuatilia timu za Kampeni za Chama Cha Mapinduzi na zile za Upinzani, ukifuatilia utaona tofauti kubwa zinazodhihirisha uwezo mkubwa na maarifa ya kupanga na kuratibu mikakati ya ushindi kwa upande wa Chama Cha Mapinduzi na UPUNGUFU MKUBWA wa mikakati na mipango ya uratibu wa Kampeni.

Kuhusu ujengaji wa Hoja (Sera)
Mgombea wa CCM ameendelea kunadi sera na mikakati ya kuliinua Taifa kiuchumi, kuwalinda na kuwatetea wanyonge na kuahidi kesho yenye matumaini zaidi na maendeleo. Anataja aliyokwishafanya na anafafanua amefanya nini na kwanini aliyafanya na kwamba anaomba muda zaidi wa kufanya makubwa zaidi, watanzania wanamuelewa.

Hali ya kuwa kwa Upande wa CHADEMA kuanzia siku ya ufunguzi mpaka sasa, katika kila mkutano CHADEMA wanalalamika, wanalia, wanalaani, wanatukana vyombo vya ulinzi na kutia huruma. ACT Wazalendo wao wameendelea na hoja mfu na vitisho, Wanazungumza uongo wa wazi na kuahidi kurudisha Kangomba ili watu waendelee kuibiwa Korosho zao, wanasema hawatokusanya kodi na kwamba kila kitu nchini kitakuwa bure..NI UONGO.

Kusalimia na kufanya mikutano vijijini
Ni
vile kuwa CCM ina ngome zake maeneo ya Vijijini, tafiti zinaonyesha hivyo na ukweli ndio huo, Wanyonge wa nchi hii wanaitumainia CCM, wanasemewa na CCM na wanatetewa na CCM. Wanajitokeza katika mikutano ya CCM na Viongozi wa CCM wametambua hivyo, wanasimama vijijini, wanatatua kero on spot wakati wa Kampeni. Chadema wanafanya mkutano mmoja kwa siku tena maeneo ya mijini TU, hawasalimii wala kusimama kijiji chochote,na kumbuka hawana ofisi vijijini na waligomea Serikali za Mitaa, hivyo hawana hata mjumbe wa Serikali ya Kijiji, nani anawasemea.? WANAFELI.

Coverage
Kosa kubwa la kiufundi ni kuingia ugomvi na vyombo vya habari wakati wa Kampeni, kisha hawana miundombinu ya kusambaza habari zao. Wapo wanaoamini msimamizi wa habari CHADEMA anawahujumu, nadhani sio hujuma ni upungufu wa maarifa na mipango. Hawaonekani mtandaoni, magazetini, redioni wala kwenye runinga, hawapo popote. Hawawezi hata kustream live kwa simu, ni KICHEKESHO.

Hamasa katika mikutano
CCM wamejipanga katika hamasaWalipodhani kuwa watu wengine woooooote hawana maana nchi hii, na kwamba wao ni kila kitu wakadharau waandishi, jeshi la polisi na vyombo vya ulinzi na usalama na wakadharau wasanii na kazi zao. wakawabeza, wakawatoa akili na kutotambua mchango wao, leo hii hakuna msanii anayejielewa anapanda jukwaa la CHADEMA, hata Ney wa Mitego nae kawakimbia kwenda ACT Wazalendo, ni jambo la kusikitisha kuwa imefikia hatua CHADEMA wamekosa watu kwneye mikutano mpaka wanasambaza picha za mwaka 2015. AIBU KUBWA..

Mgawanyo wa timu za kampeni
CCM imejipanga vyema, Mgombea wa Urais ameanza Dodoma kuelekea Kanda ya Ziwa (Nyumbani) Mgombea Mwenza anaelekea (Mashariki) na wamejipanga ambapo Waziri Mkuu ameanza Manyara (kasikazini), Nape anaunguruma (Kusini) Mzee Pinda (nyanda za Juu Kusini) na Mzee Kinana kaanza na Arusha na kwenye benchi wapo Mzee Kikwete, Mzee Makamba, Kibajaji, Mwigulu, January na wengineo...CHADEMA wameweka mayai yao yote kwenye kapu moja, msafara mmoja kuna kila mtu Mgombea, Mbowe, Kamati Kuu ya Chadema, Sekretarieti, wajumbe wa Serikali za Mitaa wote wanazunguka pamoja.

Nimalize kwa kuwapa msaada kwenye tuta, mkizidiwa sana anzeni kupika UGALI na TEMBELE, maana kupika WALI KUKU ni kujitafutia ugomvi na HASHIMURUNGWE, na nawashauri, HASHIMU sio mtu wa kugombana nae wakati huu..anawazidi sana maarifa.
Kama sera za mgombea wa ccm ni kuwalinda na kuwatetea wanyonge basi hafai kuchaguliwa.

Nilitegemea atoe sera za kuwaondoa watu hao kwenye kundi la wanyonge badala yake anagombea ili aende kuwalinda na kuwatetea kwenye unyonge wao.

Huyu hafai hata kidogo.
 
Kwanini msubiri baada ya siku chache msianze kuzisambaza leo, inaweza kuwasaidia kujipatia umaarufu na kupigiwa kura...anzeni leo msije kuchelewa.
 
Y
Hapana kuna majimbo ambayo ni lazima yarudi upinzani kma uchaguzi ukiwa huru na haki kwa haraka haraka ni 20 huku bara kwa CHADEMA.

Sasa inapaswa muhuzunike maana CHADEMA ni chama tu ila kikifa anayeathirika ni mwananchi. Lissu anakosa nni? Mnyika? They have nothing to lose kwahiyo sijui huwa mnamkomoa nani kma sio wenyewe.

Hata kma tuna mahaba na CCM lakini ni muhim upinzani uwepo otherwise tutaletewa sera za ajabu alafu atakosekana mtu wa kutoa maoni mbadala.
Yataje mkuu
 
Hapana kuna majimbo ambayo ni lazima yarudi upinzani kma uchaguzi ukiwa huru na haki kwa haraka haraka ni 20 huku bara kwa CHADEMA.

Sasa inapaswa muhuzunike maana CHADEMA ni chama tu ila kikifa anayeathirika ni mwananchi. Lissu anakosa nni? Mnyika? They have nothing to lose kwahiyo sijui huwa mnamkomoa nani kma sio wenyewe.

Hata kma tuna mahaba na CCM lakini ni muhim upinzani uwepo otherwise tutaletewa sera za ajabu alafu atakosekana mtu wa kutoa maoni mbadala.

Ni muhimu CDM ife ili tupate upinzani mpya ulio bora, CDM imeshindwa kujifanyia mabadaliko yenyewe sasa sisi wananchi tutawapa stahili yenu, CDM ya sasa imejaa arrogance, ukibaraka, fitna na chuki, hii sio kazi ya upinzani na hawana msaada wowote kwa sasa, ni muhimu wafe tupate upinzani bora zaidi.
 
Tangu kuanza kwa Kampeni nimekuwa nikifuatilia timu za Kampeni za Chama Cha Mapinduzi na zile za Upinzani, ukifuatilia utaona tofauti kubwa zinazodhihirisha uwezo mkubwa na maarifa ya kupanga na kuratibu mikakati ya ushindi kwa upande wa Chama Cha Mapinduzi na UPUNGUFU MKUBWA wa mikakati na mipango ya uratibu wa Kampeni.

Kuhusu ujengaji wa Hoja (Sera)
Mgombea wa CCM ameendelea kunadi sera na mikakati ya kuliinua Taifa kiuchumi, kuwalinda na kuwatetea wanyonge na kuahidi kesho yenye matumaini zaidi na maendeleo. Anataja aliyokwishafanya na anafafanua amefanya nini na kwanini aliyafanya na kwamba anaomba muda zaidi wa kufanya makubwa zaidi, watanzania wanamuelewa.

Hali ya kuwa kwa Upande wa CHADEMA kuanzia siku ya ufunguzi mpaka sasa, katika kila mkutano CHADEMA wanalalamika, wanalia, wanalaani, wanatukana vyombo vya ulinzi na kutia huruma. ACT Wazalendo wao wameendelea na hoja mfu na vitisho, Wanazungumza uongo wa wazi na kuahidi kurudisha Kangomba ili watu waendelee kuibiwa Korosho zao, wanasema hawatokusanya kodi na kwamba kila kitu nchini kitakuwa bure..NI UONGO.

Kusalimia na kufanya mikutano vijijini
Ni
vile kuwa CCM ina ngome zake maeneo ya Vijijini, tafiti zinaonyesha hivyo na ukweli ndio huo, Wanyonge wa nchi hii wanaitumainia CCM, wanasemewa na CCM na wanatetewa na CCM. Wanajitokeza katika mikutano ya CCM na Viongozi wa CCM wametambua hivyo, wanasimama vijijini, wanatatua kero on spot wakati wa Kampeni. Chadema wanafanya mkutano mmoja kwa siku tena maeneo ya mijini TU, hawasalimii wala kusimama kijiji chochote,na kumbuka hawana ofisi vijijini na waligomea Serikali za Mitaa, hivyo hawana hata mjumbe wa Serikali ya Kijiji, nani anawasemea.? WANAFELI.

Coverage
Kosa kubwa la kiufundi ni kuingia ugomvi na vyombo vya habari wakati wa Kampeni, kisha hawana miundombinu ya kusambaza habari zao. Wapo wanaoamini msimamizi wa habari CHADEMA anawahujumu, nadhani sio hujuma ni upungufu wa maarifa na mipango. Hawaonekani mtandaoni, magazetini, redioni wala kwenye runinga, hawapo popote. Hawawezi hata kustream live kwa simu, ni KICHEKESHO.

Hamasa katika mikutano
CCM wamejipanga katika hamasaWalipodhani kuwa watu wengine woooooote hawana maana nchi hii, na kwamba wao ni kila kitu wakadharau waandishi, jeshi la polisi na vyombo vya ulinzi na usalama na wakadharau wasanii na kazi zao. wakawabeza, wakawatoa akili na kutotambua mchango wao, leo hii hakuna msanii anayejielewa anapanda jukwaa la CHADEMA, hata Ney wa Mitego nae kawakimbia kwenda ACT Wazalendo, ni jambo la kusikitisha kuwa imefikia hatua CHADEMA wamekosa watu kwneye mikutano mpaka wanasambaza picha za mwaka 2015. AIBU KUBWA..

Mgawanyo wa timu za kampeni
CCM imejipanga vyema, Mgombea wa Urais ameanza Dodoma kuelekea Kanda ya Ziwa (Nyumbani) Mgombea Mwenza anaelekea (Mashariki) na wamejipanga ambapo Waziri Mkuu ameanza Manyara (kasikazini), Nape anaunguruma (Kusini) Mzee Pinda (nyanda za Juu Kusini) na Mzee Kinana kaanza na Arusha na kwenye benchi wapo Mzee Kikwete, Mzee Makamba, Kibajaji, Mwigulu, January na wengineo...CHADEMA wameweka mayai yao yote kwenye kapu moja, msafara mmoja kuna kila mtu Mgombea, Mbowe, Kamati Kuu ya Chadema, Sekretarieti, wajumbe wa Serikali za Mitaa wote wanazunguka pamoja.

Nimalize kwa kuwapa msaada kwenye tuta, mkizidiwa sana anzeni kupika UGALI na TEMBELE, maana kupika WALI KUKU ni kujitafutia ugomvi na HASHIMURUNGWE, na nawashauri, HASHIMU sio mtu wa kugombana nae wakati huu..anawazidi sana maarifa.
Sijui uliishia darasa la ngapi..... uzuri sasa hivi namba tunaisoma wote
 
Jamaa anazungumzia ujenzi ujenzi....Kingunge alisema huyu ni mnyapara tu..Watanzania hatumtaki
 
Ni muhimu CDM ife ili tupate upinzani mpya ulio bora, CDM imeshindwa kujifanyia mabadaliko yenyewe sasa sisi wananchi tutawapa stahili yenu, CDM ya sasa imejaa arrogance, ukibaraka, fitna na chuki, hii sio kazi ya upinzani na hawana msaada wowote kwa sasa, ni muhimu wafe tupate upinzani bora zaidi.
Upinzani mpya ukimaanisha wanasiasa wapya wazaliwe au recycling? Sasa CHADEMA ikifa huoni Kina Lissu na Mnyika watahamia ACT ama NCCR!!

Wanasiasa ni wale wale tu hata waliopo CHADEMA leo wengi walikuwepo NCCR na hta waliopo ACT ya leo 90% ni CHADEMA na CUF.

Labda mnieleweshe upinzani mpya mna maana watokee Kenya au Mbinguni?
 
Kwamba jana mahudhurio ya shinyanga yalikuwa mazuri... Hata picha mmegoma kutuma.... Palidoda sana ndo ukweli


Sasa hao ni watu wachache? Tena kwenye ngome ya CCM? Be serious muda mwingine...... Mtasema ooh wamekuja kumshangaa basi subiri Rungwe naye aende huko Mwanza au Shinyanga afu tuone!!
 
Upinzani mpya ukimaanisha wanasiasa wapya wazaliwe au recycling? Sasa CHADEMA ikifa huoni Kina Lissu na Mnyika watahamia ACT ama NCCR!!

Wanasiasa ni wale wale tu hata waliopo CHADEMA leo wengi walikuwepo NCCR na hta waliopo ACT ya leo 90% ni CHADEMA na CUF.

Labda mnieleweshe upinzani mpya mna maana watokee Kenya au Mbinguni?

Tunachohitaji ni falsafa mpya, CDM hii pinga pinga na kibaraka wa mabeberu haina faida kwa nje, tunahitaji upinzani wenye faida hivyo ni muhimu CDM ife tupate upinzani mpya Tz.
 


Sasa hao ni watu wachache? Tena kwenye ngome ya CCM? Be serious muda mwingine...... Mtasema ooh wamekuja kumshangaa basi subiri Rungwe naye aende huko Mwanza au Shinyanga afu tuone!!

Shinyanga ni ngome ya Ccm? Namsikia JPM anachambua ilani ya Ccm, miaka yake mitano akimaliza tutakuawa tumefika pazuri
 
Kwanini msubiri baada ya siku chache msianze kuzisambaza leo, inaweza kuwasaidia kujipatia umaarufu na kupigiwa kura...anzeni leo msije kuchelewa.
Hivi kile chama chetu CCK aliachiwa nani?

Msimsahau Mpendazoe kumrushia Tigo Pesa maana amechoka kwelikweli.
 
CCM wapo well organized vibaya mno, In short kwenye mikutano ya Chadema watu wanaenda kumuona mtu aliyesurvive multiple bullet hit, wanamsikiliza na wanamhurumia, ila hawamwamini kwenye kumpa kura!
Kwa hiyo humo kwenye njozi zenu, walikwambia wanakuamini wewe uliyetumwa kumshambulia ?
 
Back
Top Bottom