Tigershark
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 7,051
- 12,560
Nadhani mleta mada amepata majibu murua kabisa!1. Kwa issue ya Media kweli wamepwaya sana ila kuwazingua TBC ilikua halali kabisa. Huwezi weka live alafu unakata kata picha na sauti haina maana kabisa.
2. CHADEMA hawakususa Serikali za Mitaa bali 90% ya wagombea walienguliwa!! Sasa wangeshiriki na 10% pekee.
3. Mikutano ya CHADEMA ipo kwa ratiba ya NEC. Yye ameanza kutambulishwa kwa kanda zote then ndio ataanza kampeni majimbo ambapo mbeya atafanya mikutano 8 ndani ya siku 2.
4. Kuhusu kugawanyika kasome ratiba ya NEC Mnyika,Mwalimu na Lissu watakua majimbo tofauti wakimaliza ziara kanda ya pemba huko. Na siyo CHADEMA tu hta ACT na NCCR watafanya hivyo kwahyo sio initiative ya CCM kma unavyodai.
5. Kuhusu picha za 2015 nadhani sio msimamo wa chama ila mahudhurio ya shinyanga yalikua mazuri so hakukuwa na haja ya cover up kma unayotaka kuforce hapa.
6. Kuhusu sera mbona Lissu amenadi au hujasikia hotuba kuanzia Mwanza kagusia Bima,Mfumo wa kodi,Kilimo,biashara, wavuvi na wafugaji, Elimu n.k ama upo biased tu kuwa walikua wanatukana/lalamika. Let's be objective kidogo.
CCM walichoizidi CHADEMA ni rasilimali pesa tu basi otherwise sijaona innovationa ya CCM ya kutisha, hata kudesign App kma CHADEMA imewashinda!!