frabel
Member
- Mar 13, 2021
- 96
- 60
TTCL ni Tanzania Telecommunication Company Limited.
Hii ni idara chini ya wizara ya mawasiliano ya Tanzania.
Ni muda sasa toka kuwepo kwa kampuni hii ya TTCL lakini ufanisi wake umekuwa si yakini hali inayopelekea watanzania kukimbilia makampuni mengine ya mawasiliano, na wao wanapata nafasi ya kutupiga kweli kweli vile wanajua hatuna kimbilio.
Watanzania tunaomba mvae koti la uzalendo, huruma ,utu na uaminifu ili muimalishe huduma ili watanzania wengi wanaotaka wahamie mtandao wa taifa lao. Pengine tuachane na hii mitandao mingine inayo tuibia bila huruma.
Wengi wetu hatuamini kuwa hamuwezi kuimalisha huduma ikiwemo kusambaza upatikanaji wa huduma zenu, ila tunahisi kuwa mna jambo lenu nyumba ya pazia.
Acheni kutupuuza, itendeeni kwa haki tena kwa weledi nchi yetu ili kwa pamoja tuijenge nchi yetu.
Asante.
Hii ni idara chini ya wizara ya mawasiliano ya Tanzania.
Ni muda sasa toka kuwepo kwa kampuni hii ya TTCL lakini ufanisi wake umekuwa si yakini hali inayopelekea watanzania kukimbilia makampuni mengine ya mawasiliano, na wao wanapata nafasi ya kutupiga kweli kweli vile wanajua hatuna kimbilio.
Watanzania tunaomba mvae koti la uzalendo, huruma ,utu na uaminifu ili muimalishe huduma ili watanzania wengi wanaotaka wahamie mtandao wa taifa lao. Pengine tuachane na hii mitandao mingine inayo tuibia bila huruma.
Wengi wetu hatuamini kuwa hamuwezi kuimalisha huduma ikiwemo kusambaza upatikanaji wa huduma zenu, ila tunahisi kuwa mna jambo lenu nyumba ya pazia.
Acheni kutupuuza, itendeeni kwa haki tena kwa weledi nchi yetu ili kwa pamoja tuijenge nchi yetu.
Asante.