Mzalendo2015
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 6,697
- 9,048
Kumekucha...kumekucha!
Bado siku 11 tu kipenga Cha kumaliza mchezo kipulizwe hapo 28 Oktoba,2020.
Fainali ni kati ya hawa miamba 2 John Joseph Pombe Magufuli (CCM) na Tundu Antipas Mughwai Lissu (CHADEMA). Kampeni za Hawa miamba 2 ndizo zinavuta Hisia, Ushawishi na Hoja zenye mashiko.
Wakti Magufuli(CCM) ANATUMIA nguvu kubwa sana kwene Kampeni zake kwa MABANGO MAKUBWA KILA KONA YA NJI HII Mhe. Lissu(CHADEMA) anaonekana anajitangaza KUPITIA NDANI MIOYO YA WATANZANIA MASKINI waliopoteza matumaini. Watz Hawa wanamwona Mhe. Lissu kama mtu anayekwenda kurudisha matumaini yaliyopotea kwa miaka 5.
Ogopa sana kushindana na falsafa iliyojengeka ndani ya mioyo ya Watu na propaganda za midomoni zisizo na tija wala impact yoyote kwene maisha ya kila siku ya Watanzania.
Mfano hai: Jiji la Dar limejengwa Flyovers za Mfugale na Ubungo Changeover lakini mvua ya siku 1 imeleta mafuriko na kupoteza maisha ya WATANZANIA wenzetu 12 wasio na hatia!!!
Bado siku 11 tu kipenga Cha kumaliza mchezo kipulizwe hapo 28 Oktoba,2020.
Fainali ni kati ya hawa miamba 2 John Joseph Pombe Magufuli (CCM) na Tundu Antipas Mughwai Lissu (CHADEMA). Kampeni za Hawa miamba 2 ndizo zinavuta Hisia, Ushawishi na Hoja zenye mashiko.
Wakti Magufuli(CCM) ANATUMIA nguvu kubwa sana kwene Kampeni zake kwa MABANGO MAKUBWA KILA KONA YA NJI HII Mhe. Lissu(CHADEMA) anaonekana anajitangaza KUPITIA NDANI MIOYO YA WATANZANIA MASKINI waliopoteza matumaini. Watz Hawa wanamwona Mhe. Lissu kama mtu anayekwenda kurudisha matumaini yaliyopotea kwa miaka 5.
Ogopa sana kushindana na falsafa iliyojengeka ndani ya mioyo ya Watu na propaganda za midomoni zisizo na tija wala impact yoyote kwene maisha ya kila siku ya Watanzania.
Mfano hai: Jiji la Dar limejengwa Flyovers za Mfugale na Ubungo Changeover lakini mvua ya siku 1 imeleta mafuriko na kupoteza maisha ya WATANZANIA wenzetu 12 wasio na hatia!!!