Kampeni - Kombe la Dunia Lipandishwe Mlima Kilimanjaro
Wana JF wenzangu,
Wasalaaam.
Naona kuna umuhimu wa serikali yetu kutoa ofa ya mshindi wa kombe la dunia 2010 huko afrika ya kusini kutembelea na kupandishwa kileleni Mlima Kilimanjaro.Hii itatusaidia kuitangazia rasilimali zetu kwa ulimwengu mzima bila hata ya kutumia mabilioni ya pesa huko CNN et al.
Namwomba Mh. Rais wetu JK kuliangalia wazo hili na kuanza kuteta na FIFA hili kujenga hoja kwamba kushinda kombe la dunia bila kulifikisha Mlima Kilimanjarokwenye 'summit' ya Afrika ni kukosa raha ya ushindi. Wizara yetu ya utalii pia inaweza kuanzisha website ya kulitangaza lengo hili la kulipeleka kombe la dunia keleleni.
MH. Rais natumaini utalichukulia hili suala kwa uzito.
Mungu Ibariki , Tanzania
Mungu Ibariki Afrika,
Wakatabahu, SHADOW
Wana JF wenzangu,
Wasalaaam.
Naona kuna umuhimu wa serikali yetu kutoa ofa ya mshindi wa kombe la dunia 2010 huko afrika ya kusini kutembelea na kupandishwa kileleni Mlima Kilimanjaro.Hii itatusaidia kuitangazia rasilimali zetu kwa ulimwengu mzima bila hata ya kutumia mabilioni ya pesa huko CNN et al.
Namwomba Mh. Rais wetu JK kuliangalia wazo hili na kuanza kuteta na FIFA hili kujenga hoja kwamba kushinda kombe la dunia bila kulifikisha Mlima Kilimanjarokwenye 'summit' ya Afrika ni kukosa raha ya ushindi. Wizara yetu ya utalii pia inaweza kuanzisha website ya kulitangaza lengo hili la kulipeleka kombe la dunia keleleni.
MH. Rais natumaini utalichukulia hili suala kwa uzito.
Mungu Ibariki , Tanzania
Mungu Ibariki Afrika,
Wakatabahu, SHADOW