Elections 2015 Kampeni CCM: Ndugai ampiga mgombea mwenzake, azimia na kukimbizwa hospitali huko Kongwa

Kwa tukio hili Kifungo sijui mpaka leo alikiepuka vipi! Kwa hili tukio nilimuona ni nilimshusha to zero.
 
Hakika huyu jamaa anavuta Cannabis sativa...

Ni vyema serikali ijiridhishe na watu dizaini hiii kabla ya kupewa kuongoza mhimili mkubwa kama Bunge....

Jamaa sio mzima kichwani..
 
Back
Top Bottom