lucky sabasaba
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 1,656
- 1,203
Ah wapi kuna airfreshner siku hizi ndugu yangu...............
Air freshner itaongezea harufu ya uvundo !!!inategemea ni nini kimevunda...
Ah wapi kuna airfreshner siku hizi ndugu yangu...............
Ah wapi kuna airfreshner siku hizi ndugu yangu...............
Huyo RAIA aliyevaa yebo yebo nae ni mwanachama wa ccm?Katika hali isiyo ya kawaida mbunge wa kongwa na naibu spika ampiga mwenzie ngumi mpaka kuzilai kwenye kampeni za ndani wakati wa kujinadi
naona wameanza kupanic live..hahaa alianza wasira naona ndugai naye amefuata...
Ha ha ha ha jamni huku raha haswa kumbe alishawapiga pia walemavu! ndio maana anaitwa Tyson hakika mwaka huu tutaona mengine! Mungu nipe nguvu na macho ya kuona tuuYeye kazoea alishawahi kuwapiga walemavu akapata jina la tyson