umeamua jujilekebisha kutuletej matuta mnayojenga
umeamua jujilekebisha kutuletej matuta mnayojenga
Kampala,nairobi na kigali ukiziunganisha kwa pamoja bado azifikii darDar yenu disorganized ugly.
Nani anaeza penda kuishi huko,
mkubali kampala,nai,kigali wako juu yenu....wivu!!!
Hapana, hii ripoti siamini. Nairobi kweli ina mengi mabaya, lakini ati kwa kuangalia vigezo vilivyotumika ati halafu kusema ati Kampala imezidi hizi miji mingine kwa vigezo hivyo ni kichekesho bilashi.Umemaliza kila kitu kuhusu Kampala.. nime ishi kwa muda pale ila kuna sehenu bado unaeza nipoteza. Vurugu ni nyingi kila sehemu mtu anasambaza bidhaa. Hiyo report ingekua na ukweli kama Kampala ingewekwa ya mwisho kwenye miji ya E.A.
Wakenya wenye akili zao wanakubaliHapa hata barabara hujui direction ni ipi
Nyingi wapi? Zakwenu mnatumia matuta sio beam. Labda kama anaishi ushagoSio makosa yake, manake barabara za aina hiyo ziko nyingi Nairobi, ni vigumu kujua kiuhakika ikiwa hiyo ni picha Nairobi au la.
Aliyekosea hapo siyo yeye. Najua alikotoa picha hizo. Website hiyo ndiyo ilikosea kati ya hizo picha mbili gani ndiyo ya Southern Bypass.
Mimi mwenyewe nimeshangaa sana.Hapana, hii ripoti siamini. Nairobi kweli ina mengi mabaya, lakini ati kwa kuangalia vigezo vilivyotumika ati halafu kusema ati Kampala imezidi hizi miji mingine kwa vigezo hivyo ni kichekesho bilashi.
This report is rubbish.
dar es salaam traffic jam nijanga kitaifa kiukwel nashngaa kwanini serikali inashindwa kuchukua measures@, suluhisho nikuwa na njia nane plus brt in the middleMimi mwenyewe nimeshangaa sana.
Ujenzi wa ubongo kimara unaanzaDar must have ten lane go opposite direction( 5 lane + 5 lane) including metro bus or light railway
Dar ndiyo 7 mil nai ni 4 million peopleMji mdogo with 7M people..metro
Hongereni Kampala...sisi huku Dar bado tunahangaika na kupanua mtandao wa wasiojulikana ili wawanyamanzishe wanaompinga kiongozi mkuu mtarajiwa Wa malaika
......maaah. Aisee, ya kweli haya.......Jaribu kwa Museveni. Nyie ndo waharibu amani tena kwa makusudi Afu mnakuja mitandaoni. Mnaangaliwa. Ahhh kweli Nyani haoni kuuuuu
Haaa haaa we jamaa umenivunja mbavu,mambo ya Dar hayoHapa hata barabara hujui direction ni ipi
Pale wanapotaka kutuaminisha kuwa Nairobi is the best place laki tweeter inakataa
Check out @joseph_thuha’s Tweet: Check out @NdindaTheQueen’s Tweet: