Kamoja kila siku...kuna madhara yoyote

Snipper

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
1,336
2,157
Naamini kuwa huu ukumbi kuna watalamu wa kila aina na katika nyanja mbalimbali.
Mimi nina wife wangu na tuna katoto kamoja mpaka sasa kenye mwaka mmoja. Sisi lile suala la kucha kurushana roho ati kwa hofu ya kumbemenda mtoto hatukuwa nayo kabisa na mambo yalikuwa yakifanyka kama kawa. na kabla hatujapata mtoto tulikuwa unapeana dozi ya 2 hadi 3 kwa kutwa lakini kwa sasa tunagonga moja kwa kutwa...yani bila kamoja usingizi hauji kabisa...hivi hii ina madhara kiafya maana nadhani nakaribia kuwa teja na kama ni kupumzika ni zile siku ambazo shemeji/wifi yenu ankuwa ameenda angani tu vinginevyo ni dozi kwa kwenda mbele...sasa hii kitu inaweza kuniletea madhara huko mbele?
naomba msaada wenu wa kitaalamu wadau!
 
Usihofu kaka ki1 au 2 ndo mzuka kiafya.Hayo mambo ya kugonga bao 4 au 5 kwa siku ni kujichosha tu mrad shem we2 anaridhka bas hakun' tizo. Ah jaman sijaona kitu tamu kama K. Hata hlo neno vanila naskia chanzo chake ni neno vagina.Ha ha ha ha
 
Mbona mambo ya kawaida unataka ushauri wa nini? Mambo mengine Bwana!! Nani anasema mtoto anabemendwa!!! Ingekuwa hivyo watoto wote wangekuwa viwete na wasingetembea kabisa!!! Tunaheshimi miezi 3 ya uzazi kwa mwanamke na baada ya hapo tunda kama kawaida japo si kwa kuchoshana!! Sayansi nyingine ngumue hazieleweki watu tunaiga tu!!
 
Kwa raha zako kula mzigo hakuna kubemendwa wala nini ishu kubwa ni swala kupona na wife kuhimili magori.
 
Haaa ilo moja unatumia dakika ngapi? Kama dkk 1 basi piga hata vitano!! Kama robo saa mwambie akuchezeee kwanza mpaka ile linakuja ndio umuingilie lengo ni kutomchosha bibiye.
 
Sioni tatizo ikiwa wote mnaridhika!

Naamini kuwa huu ukumbi kuna watalamu wa kila aina na katika nyanja mbalimbali.
Mimi nina wife wangu na tuna katoto kamoja mpaka sasa kenye mwaka mmoja. Sisi lile suala la kucha kurushana roho ati kwa hofu ya kumbemenda mtoto hatukuwa nayo kabisa na mambo yalikuwa yakifanyka kama kawa. na kabla hatujapata mtoto tulikuwa unapeana dozi ya 2 hadi 3 kwa kutwa lakini kwa sasa tunagonga moja kwa kutwa...yani bila kamoja usingizi hauji kabisa...hivi hii ina madhara kiafya maana nadhani nakaribia kuwa teja na kama ni kupumzika ni zile siku ambazo shemeji/wifi yenu ankuwa ameenda angani tu vinginevyo ni dozi kwa kwenda mbele...sasa hii kitu inaweza kuniletea madhara huko mbele?
naomba msaada wenu wa kitaalamu wadau!
 
haina madhara hata mimi wakati wa enzi ilikuwa hivyo ila wife akasema ntamzeesha nikamute kdg..
mh! ina maana nikiendelea na kasi hii ya moja kutwa anaweza akazeeka eeh!? mi nilidhani anaweza akazeeka iwapo vinaingia itu vya saizi mbalimbali...hata hii ya kwang tu naweza kumfanya azeeke? kwa hiyo una shauri nipunguze dozi mkuu?
 
Unaona utamu? taratibu usije mchosha mke wetu bwana!
eeeeh! unasema mke wetu?! lini tumeanza kumchangia? angalia yasikutokee ya temeke maana nishamuwekea ile dawa..kwa bahati mbaya dawa niliyomuwekea haikufanyi kufa...utapata cha moto mpaka watoto wako, dada zako, mama yako, shemeji zako, bibi zako maka mama mkwe wako waje kukuona live ndio natoa paswed ya kuwanasua...
 
Back
Top Bottom