Pundit
JF-Expert Member
- Feb 4, 2007
- 3,733
- 123
Yaani ni kweli mimi nilikuwa na mawazo hayo hayo. Nina imani kabisa alikuwa anatuongopea, kama kaandika yeye vile, kumbe kazi yake yeye ilikuwa ni kubadilisha lugha tu, stori imekuwa ya kwake...
Hehehehe...Kwikwikwi
Hizi ni accusations nzito kuzitoa kwa "imani" tu.Toa jina la kazi yake na kitabu alichokopi.
Thematic resemblance ni kitu cha kawaida katika utunzi (ama sivyo rappers. Robert Ludlum na Frederick Forsyth wasingekuwa na kipya cha kusema kama unaongelea plagiarism tuonyeshe ushahidi.