Kamishna wa TRA ahitimisha mafunzo ya scanner mpya bandarini

TPA

Member
Sep 28, 2016
49
71
upload_2016-12-2_9-0-19.jpeg

Kamishna wa Mapato ya ndani wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bw. Elijah Mwandumbya akizungumza na wahitimu wa mafunzo ya usimamizi na uendeshaji wa mashine za ukaguzi wa mizigo ‘scanner’ kutoka Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) na TRA. Kulia ni Kaimu Mkurugenzi wa TEHAMA, Bw. Abdulrahman Mbamba pamoja na Wakufunzi kutoka Kampuni iliyofunga mashine hizo.

upload_2016-12-2_9-0-57.jpeg


Kamishna wa Mapato ya ndani wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bw. Elijah Mwandumbya akiwa katika picha ya pamoja na Wahitimu na Wakufunzi.
upload_2016-12-2_9-1-19.jpeg


Kamishna wa Mapato ya ndani wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bw. Elijah Mwandumbya akikabidhi vyeti kwa wahitimu mbalimbali kutoka TPA na TRA.
upload_2016-12-2_9-1-43.jpeg


upload_2016-12-2_9-1-54.jpeg


upload_2016-12-2_9-2-4.jpeg


upload_2016-12-2_9-2-14.jpeg


upload_2016-12-2_9-2-24.jpeg
 
Daah nchi ya VYETI hii aisee! ila utendaji ndo ishu sasa, Yaani ku-operate scanner bandarini unakabidhiwa cheti na sherehe juu.
 
Back
Top Bottom