Mchemiaa
Senior Member
- Jan 7, 2018
- 174
- 188
Leo ni mara ya pili naona anatajwa mtu mwingime kwenye madawa ya kulevya badala ya Sianga.
Mara ya kwanza kwenye uzinduzi wa jengo la zima moto wenye utambulisho wa wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama alitajwa mtu mwingine.
Leo pia kwenye hotuba ya waziri mkuu naona sianga ajatajwa
Je, jamaa alitumbuliwa? mbona sijawahi kusikia haya mabadiliko.
Mara ya kwanza kwenye uzinduzi wa jengo la zima moto wenye utambulisho wa wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama alitajwa mtu mwingine.
Leo pia kwenye hotuba ya waziri mkuu naona sianga ajatajwa
Je, jamaa alitumbuliwa? mbona sijawahi kusikia haya mabadiliko.