Hapo wachina walitaka wampumulie kamishna na nchi pia. Halafu kule Mafinga wangeenda kutamba kwenye ofisi ya kanda kwamba kamishna wenu tushampumulia itakua ninyi vibarua?Yaan umhonge Kamishna Mkuu TRA Tsh 10M, akuruhusu ukwepe Billions?
Hata Mie Mzalendo uchwara sikubali
Sent using Jamii Forums mobile app
Nchi nyingi tu wanatumia $ ikiwemo Canada na Zimbabwe. Lazima uand8ke US$ ndio official symbol yake. Similsrly CAN$ na ZIM$.
Nchi nyingi tu wanatumia $ ikiwemo Canada na Zimbabwe. Lazima uand8ke US$ ndio official symbol yake. Similsrly CAN$ na ZIM$.
Ng'wanapagi Hapa ndiyo kuna hoja. Mengine yote someni na kuyaacha humu humuMshamba tu huyo kamishina,alipoona ni kiasi kidogo akaona sio dili
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndogo hzo mbn Yaani udaiwe b1 unipe mln 10Bwashee wewe ungezikataa kweli?!
Weweee...Luna bogus treaty MkuuYaan umhonge Kamishna Mkuu TRA Tsh 10M, akuruhusu ukwepe Billions?
Hata Mie Mzalendo uchwara sikubali
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante umemweleza vizuri sana.Nchi nyingi tu wanatumia $ ikiwemo Canada na Zimbabwe. Lazima uand8ke US$ ndio official symbol yake. Similsrly CAN$ na ZIM$.