Anamanisha Driving licenceLeseni TRA?
Leseni mbona zinatolewa ofisi Za Halmashauri ya Wilaya, miji na Manispaa?
Anamanisha Driving licenceLeseni TRA?
Leseni mbona zinatolewa ofisi Za Halmashauri ya Wilaya, miji na Manispaa?
Anaelewa sema wewe hujamuelewa,sie wakaazi wa Mwanza tumemuelewa. Driving licence .....au ni kipi kakosea?Ndugu mlalamikaji inavyoonekana hajui Hata anacho kitaka ni nini na Taratibu zake!
Wewe ndo hujamuelewaJe Mleta Uzi anaelewa hayo?
Haipasi kulalamikia kitu ambacho hujanielewa vizuri!
Kwanza chukua muda kukifahamu vizuri kiundani kisha ndo ulalamike pale panapostahili!
Mambo ya kukimbilia Kwenye mitandao na ku complain mambo ambayo Hata Mtu hujayaelewa vizuri nazani siyo Sawa Hata kidogo!
Wanajibu materials hazipo. Toka mwaka jana! Hizo material zinatoka mbinguni?Afadhali hapo umefunguka kidogo kutaja leseni ya gari!
Leseni ziko Za aina nyingi Kama vile Za biashara, Za uendeshaji vyombo vya moto, Za uwindaji n.k
Sasa kuhusu swala lako la Leseni la udereva kuwa umelipia ukaambiwa utumie payslip ,
Je uliwauliza Kwanini hawajakupa Leseni yako hapo hapo?
Nilitarajia uwaulize Hilo swali la msingi Kabla ya kuja kulalamika huku!
Pengine wangekwambia labda materials yameisha, kuanzia hapo sasa ungepaswa kujenga hoja ya msingi ya malalamiko yako ambayo yamkini ikisikika vizuri ingeweza kuwasaidia na Watu wengine!
Wanajibu materials hazipo. Toka mwaka jana! Hizo material zinatoka mbinguni?
Leseni ya uwindaji nayo inatolewa TRA? Jisahihishe kwanza katika comprehension/ufahamuAfadhali hapo umefunguka kidogo kutaja leseni ya gari!
Leseni ziko Za aina nyingi Kama vile Za biashara, Za uendeshaji vyombo vya moto, Za uwindaji n.k
Sasa kuhusu swala lako la Leseni la udereva kuwa umelipia ukaambiwa utumie payslip ,
Je uliwauliza Kwanini hawajakupa Leseni yako hapo hapo?
Nilitarajia uwaulize Hilo swali la msingi Kabla ya kuja kulalamika huku!
Pengine wangekwambia labda materials yameisha, kuanzia hapo sasa ungepaswa kujenga hoja ya msingi ya malalamiko yako ambayo yamkini ikisikika vizuri ingeweza kuwasaidia na Watu wengine!
Suala la kutotoa documents baada ya kuwa umelipa kodi husika nalo unahitaji kuelewa nini hapo, ni kutotimiza wajibu wake hiyo TRA, ambapo mlipakodi ametimiza wajibu, HII NI AIBUJe Mleta Uzi anaelewa hayo?
Haipasi kulalamikia kitu ambacho hujanielewa vizuri!
Kwanza chukua muda kukifahamu vizuri kiundani kisha ndo ulalamike pale panapostahili!
Mambo ya kukimbilia Kwenye mitandao na ku complain mambo ambayo Hata Mtu hujayaelewa vizuri nazani siyo Sawa Hata kidogo!
Suala la kutotoa documents baada ya kuwa umelipa kodi husika nalo unahitaji kuelewa nini hapo, ni kutotimiza wajibu wake hiyo TRA, ambapo mlipakodi ametimiza wajibu, HII NI AIBU
Leseni ya uwindaji nayo inatolewa TRA? Jisahihishe kwanza katika comprehension/ufahamu
Soma Kwa utulivu utaelewa, maana Hata leseni ya biashara haitolewi TRA
,Kusema documents ni general term, kwanini asingefufuka kabisa kutaja leseni ya udereva?
Wengi wamechukulia alikuwa anazungumzia Clearance Certificate !
Hata hivyo malipo ya leseni ya udereva siyo kimsingi siyo kodi 🏻🏻🏻
Niko makini sana na ninachokiandika!
Yeye kasema kalipa kodi , sasa nikuulize malipo ya leseni ni kodi?
Hiyo ni kodi labda kama hujawahi kuwa na leseni hiyo huwezi jua malipo hayo ni nini, usibunibuni
,
Wanajibu materials hazipo. Toka mwaka jana! Hizo material zinatoka mbinguni?
Hahaha wapiga deal tu nyie, subirini tuhamie Dodoma.[/QUOTE
Hahaha nilikuwa natania tu, naelewa unachosema. Labda kuna tatizo la kiufundi kwenye ofisi ya mchapaji mkuu wa serikali, unajua documents zote serikali zinatengenezwa ofisi hiyo. Bila shaka mtapata suluhu.Mkuu miezi 5 sasa hakuna leseni kamili ni makaratasi tu ya kulipia, why? UNALIPIA LESENI HUPEWI LESENI duuuu hata leseni zimetushinda kutoa?
Hahaha nilikuwa natania tu, naelewa unachosema. Labda kuna tatizo la kiufundi kwenye ofisi ya mchapaji mkuu wa serikali, unajua documents zote serikali zinatengenezwa ofisi hiyo. Bila shaka mtapata suluhu.
Lakini kama receipt unayo usiwe na shaka.