Hahaha mkuki kwa Nguruwe kwa mwanadamu mchungu.UZURI GVT hii haitaki mambo ya kujieleza, hata sisi walipa kodi hatutaki maelezo yao tunalipa watupe chetu; WANADAI KAMA WANAJUA UTAKUFA KESHO sasa watimize wajibu wao MAANA NAO HATUNA IMANI KAMA WATAKUWEPO KESHO ahahhahahahahahaha