Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,385
Duk kuishi Mbagala kwa kweli inahitaji ujasiri!!
bro mi nshazoea ......kuna kipindi walipokuwa wanajenga barabara ya kilwa pale mtoni mtongani ulikuwa unavua kwanza viatu ndio upite kwenye mimaji michafu mimaji ya ****** ///dont joke
Duk kuishi Mbagala kwa kweli inahitaji ujasiri!!