bbc JF-Expert Member Jan 18, 2016 3,841 4,145 Feb 26, 2017 #41 Fahari ya macho hafilisi duka, wache waone!
STUNTER JF-Expert Member Dec 15, 2015 13,077 17,207 Feb 26, 2017 #42 Haha, kumbe wewe ndo uliopiga picha, ujue tangu ulipotoka tulikuwa tunakudiskasi labda ni polisi, kumbe umekuja kuileta humu? Nishakujua mzee, na hatasasaivi video yako naweza kuiweka humu
Haha, kumbe wewe ndo uliopiga picha, ujue tangu ulipotoka tulikuwa tunakudiskasi labda ni polisi, kumbe umekuja kuileta humu? Nishakujua mzee, na hatasasaivi video yako naweza kuiweka humu
LadyRed JF-Expert Member Mar 19, 2016 9,636 11,443 Feb 27, 2017 #43 Automata said: Kweli kabisa dada, na huwa wanatoa vijidude vyenye namba, kama umeingia na nguo mbili anakupa chenye namba mbili, na nk. Click to expand... Na handbags huwa tunaacha kweny shelf nje pale,naona wana woga nguo zinafichwa kwny chu.pi sijui..
Automata said: Kweli kabisa dada, na huwa wanatoa vijidude vyenye namba, kama umeingia na nguo mbili anakupa chenye namba mbili, na nk. Click to expand... Na handbags huwa tunaacha kweny shelf nje pale,naona wana woga nguo zinafichwa kwny chu.pi sijui..