papag
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 1,137
- 1,608
| |
|
| |
|
Alisema kuwa Kifu alienguliwa kwa sababu Mahakama ya Rufani ilithibitisha kwamba mtu huyo alifanya kampeni kwa misingi ya ukabila.
Lissu alinukuu kauli hizo za ukabila zilizomtia hatiani kuwa wakati wa kampeni za uchaguzi huo Kifu alisema: "... Waha wenzangu tuelewe kwamba mwaka huu ni mwaka wetu kujikomboa. Tumetawaliwa na kabila la Wabembe kwa muda mrefu. Kabila la Wabembe tunajua ni watu wa Kongo siyo wa Tanzania.....
Kweli Tundu Lissu ameishiwa basi atuambie na kina Zitto kabwe kabila gani.
Maana Tanzania huko mipakani kote watu wamechanganyika. Kusini tunaungana na wa Mozambique,Zambia, Malawi, Kaskazini wa Kenya , waganda, Kaskazini magharibi kuna Rwanda, Burundi kote huko watu wale wale.
Kweli Tundu Lissu amefilisika.
Kwanza tuambie wewe ni kabla gani ndipo tuanze kuchangia mjadala huu.
Kweli Tundu Lissu ameishiwa basi atuambie na kina Zitto kabwe kabila gani.
Maana Tanzania huko mipakani kote watu wamechanganyika. Kusini tunaungana na wa Mozambique,Zambia, Malawi, Kaskazini wa Kenya , waganda, Kaskazini magharibi kuna Rwanda, Burundi kote huko watu wale wale.
Kweli Tundu Lissu amefilisika.
Anachosema Lisu ni kwamba Mtu aliyetiwa hatiani kwa kueneza ukabila na mahakama kuu kwa kauli alizonukuu anateuliwa na Raisi kuwa mkuu wa wilaya. Huu ni udhaifu mkubwa wa mamlaka ya uteuzi.Kweli Tundu Lissu ameishiwa basi atuambie na kina Zitto kabwe kabila gani.
Maana Tanzania huko mipakani kote watu wamechanganyika. Kusini tunaungana na wa Mozambique,Zambia, Malawi, Kaskazini wa Kenya , waganda, Kaskazini magharibi kuna Rwanda, Burundi kote huko watu wale wale.
Kweli Tundu Lissu amefilisika.
Kweli Tundu Lissu ameishiwa basi atuambie na kina Zitto kabwe kabila gani.
Maana Tanzania huko mipakani kote watu wamechanganyika. Kusini tunaungana na wa Mozambique,Zambia, Malawi, Kaskazini wa Kenya , waganda, Kaskazini magharibi kuna Rwanda, Burundi kote huko watu wale wale.
Kweli Tundu Lissu amefilisika.
Anachosema Lisu ni kwamba Mtu aliyetiwa hatiani kwa kueneza ukabila na mahakama kuu kwa kauli alizonukuu anateuliwa na Raisi kuwa mkuu wa wilaya. Huu ni udhaifu mkubwa wa mamlaka ya uteuzi.
Kweli Tundu Lissu ameishiwa basi atuambie na kina Zitto kabwe kabila gani.
Maana Tanzania huko mipakani kote watu wamechanganyika. Kusini tunaungana na wa Mozambique,Zambia, Malawi, Kaskazini wa Kenya , waganda, Kaskazini magharibi kuna Rwanda, Burundi kote huko watu wale wale.
Kweli Tundu Lissu amefilisika.