Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Wakuu..Jumatatu ni siku ya Bajeti mbadala ya Wizara ya fedha hivyo tunapaswa kujiandaa kuisambaza Bajeti hiyo na kuleta utofauti na Ile ya kwao ya mbwembwe nyingi ambayo kiuhalisia haina utekelezaji.
Kutokana na kujua ya kwamba Bajeti yetu mbadala itawavua nguo wameamua kuja na mkakati wao Mwingine ili kutuhamisha kwenye Bajeti Mbadala yenye kuzingatia uhalisia wa Wananchi wengi.
Tunapaswa kujua tusiruhusu mjadala watakao uanzisha ili kutaka kunyamazisha Bajeti yetu Mbadala ya Wizara ya fedha.... Tunapaswa kuitumia siku ya jumatatu kwaajili ya Bajeti yetu mbadala na siyo propaganda nyingine kama ambavyo bango lao linapita likitaka kuwachota watu macho na masikio yasihamie kwao bali yabaki kwenye Bajeti yetu mbadala ya kuwasaidia Wananchi.
Tumewaacha muda mrefu na propaganda zao,zimewapati sifa ambazo hawasitahili kuzipata hata kidogo.
Kwasasa tunapaswa kuwaonyesha kuwa tuliamua kuwapuuza na kwakuwa wanaendelea kudanganya basi wakiweka mkono tunaweka mguu yaani Bampa 2 Bampa mpaka kieleweke.
Tunapaswa kujua ya kwamba tumaini pekee kwa sasa kwa Wananchi ni sisi pekee... Tusiwaangushe Wananchi wetu.....
Kutokana na kujua ya kwamba Bajeti yetu mbadala itawavua nguo wameamua kuja na mkakati wao Mwingine ili kutuhamisha kwenye Bajeti Mbadala yenye kuzingatia uhalisia wa Wananchi wengi.
Tunapaswa kujua tusiruhusu mjadala watakao uanzisha ili kutaka kunyamazisha Bajeti yetu Mbadala ya Wizara ya fedha.... Tunapaswa kuitumia siku ya jumatatu kwaajili ya Bajeti yetu mbadala na siyo propaganda nyingine kama ambavyo bango lao linapita likitaka kuwachota watu macho na masikio yasihamie kwao bali yabaki kwenye Bajeti yetu mbadala ya kuwasaidia Wananchi.
Tumewaacha muda mrefu na propaganda zao,zimewapati sifa ambazo hawasitahili kuzipata hata kidogo.
Kwasasa tunapaswa kuwaonyesha kuwa tuliamua kuwapuuza na kwakuwa wanaendelea kudanganya basi wakiweka mkono tunaweka mguu yaani Bampa 2 Bampa mpaka kieleweke.
Tunapaswa kujua ya kwamba tumaini pekee kwa sasa kwa Wananchi ni sisi pekee... Tusiwaangushe Wananchi wetu.....