Mzee umechanganya vibayaaa. Yaani suala la Assets na Liabilities umelikoroga!
Wenye fani watakwambia. Ila ulichoongea kuturn assets au liabilities ki uhasibu na hata ukirelate na siasa za Bongo, does not make sense.
Usijali lakini wamekupa likes za kutosha. Hii inanikumbusha JayZ (rapper wa marekani) kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee aliposema F......ck you watu wakasema YEEEEAAHHHHHH! sitoisahau hiyo.
Mkuu FL, huu ndio uzuri wa jf, tuko watu wa fani mbalimbali humu, na lengo la any post ni ili members waone!. Ikitokea member kachemsha na wewe ni mchumi, usiache mchemsho huo ubaki hivyo hivyo, you have the obligation kutuelimisha what you know! kama unajua nimechemsha, usibaki kuniumbua tuu kuwa nimechemsha, hebu ufafanue huo mchemsho sio kwa faida yangu bali kwa faida ya wana jf!.Mzee umechanganya vibayaaa. Yaani suala la Assets na Liabilities umelikoroga!
Wenye fani watakwambia. Ila ulichoongea kuturn assets au liabilities ki uhasibu na hata ukirelate na siasa za Bongo, does not make sense.
Usijali lakini wamekupa likes za kutosha. Hii inanikumbusha JayZ (rapper wa marekani) kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee aliposema F......ck you watu wakasema YEEEEAAHHHHHH! sitoisahau hiyo.
Kuelekea 2015 tutaona na kusikia mengi sana.....