Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 16,702
- 31,121
Na mjinga zaidi niyule mwenye kupotosha ukweli ummaMjinga huhesabu mwanzo jambo na kushangilia,
Mwerevu hungoja mwisho wa jambo ndo awe na la kusema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mjinga zaidi niyule mwenye kupotosha ukweli ummaMjinga huhesabu mwanzo jambo na kushangilia,
Mwerevu hungoja mwisho wa jambo ndo awe na la kusema
Hiyo six days war walishiriki imperialists japo kwa siri na kuna msaliti alowasaliti waarabu na kuyarejesha majeshi yalipotaka kufika kippuri.lakini nyie wapambe wa iran mbona mnagongwa na kugongeka daily lakini hamrushi hata ngumi tujue kua mpo hai vitisho vingi eti mnamiliki makombora yatumieni kwanza siku ikitokea direct war na Israel ataziharibu siraha zenu huko huko iran waulizeni mashemeji zenu apo middle east 6 days war kichapo cha adabu hadi wakaanza kutafutana
jangwani
Na mjinga zaidi niyule mwenye kupotosha ukweli umma
Na anae endekeza kuuamini ujinga pia hua zaidi ya Ujinga wenyeweAneamini ujinga ni mjinga zaidi ya mjinga zaidi,
swala zima nikurusha ngumi idf wanapiga popote wale scout wa revolutionary guards Iraq,syria, na kwengineko lakini lini revolutionary guards kawapiga idf direct yani unapigwa then wewe unapiga kwa kujificha kwa mgongo wa Hezbollah dooh! nyie endeleeni tu kuwapiga civilians vita ni miaka 200 mbele saivi nivichapo tu.Hiyo six days war walishiriki imperialists japo kwa siri na kuna msaliti alowasaliti waarabu na kuyarejesha majeshi yalipotaka kufika kippuri.
Na huyo Israel kwann asibomoe makombora ya iran sasa hv anaenda kulipua vijikambi vya proxy iran???
Km yeye kidume azame iran.
Unajidanganya.swala zima nikurusha ngumi idf wanapiga popote wale scout wa revolutionary guards Iraq,syria, na kwengineko lakini lini revolutionary guards kawapiga idf direct yani unapigwa then wewe unapiga kwa kujificha kwa mgongo wa Hezbollah dooh! nyie endeleeni tu kuwapiga civilians vita ni miaka 200 mbele saivi nivichapo tu.
Naona umeshikilia ya kwamba Iran ni ya Pili kwa uchumi mkubwa kwenye lile eneo lakini umesahau vitu vinavyofanya iwe hivyo kama vile ukubwa wa nchi,idadi ya watu,nk. Kumbuka hata India ina uchumi mkubwa kuliko Ufaransa lakini raia wa Ufaransa wanaishi maisha mazuri(wako vizuri) kuliko wahindi ambao wengi ni maskini. Kwa Iran hivyohivyo ina uchumi mkubwa lakini tukija kwenye maisha ya wananchi hali ni tete,hali mbaya,fedha haina thamani,mfumuko wa bei,mpaka watu wanaingia barabarani kuandamana sababu hali ni mbaya.Sasa Mbna Wanauza Kama Hii Meli Si walitoa warant yakwamba ikamatwe
Yaani Mkuu Hueleweki Kiukweli US Baada Ya Hili Vugu Vugu lameli Ya IRAN Alisema Kwamba Meli ikamatwe maana inauza mafuta kiharamu Sasa Hapa Ume elewaje
Kama kakatazwa mnunuzi ama muuzaji
Yaani mpaka ss US kashachemka Namna Yakumdhibiti Muajemi Yaani Siombi Ila Nasema Uhalisia Ulivyo Njia Pekee Yakukabiliana Na IRAN Kwa sasa nikupitia VITA TENA YAKIJESHI
Maana kama vikwazo IRAN Haja Anzwa leo Kama kusema vikwazo vikali kuliko vya awali ina maana walikua wanamuekea IRAN Vikwazo vyepesi ili ajijenge kijeshi baadae washindwe kumdhibiti ama
Nikwamba IRAN anaweza kukabiliana vyema na vikwazo vya wamagharibi Japokua Kiuhalisia Vinauathiri Uchumi Wake kwanamna Moja Ama Nyengine
Nakukumbusha 2 Duniani Hakuna Nchi Inayo Kabiliwa navikwazo vingi vya kiuchumi vya Ulaya Na US Kama IRAN Ilapia Nikukumbushe IRAN Ndio Nchi Yapili Kwa Uchumi Imara Pale Mashariki Yakati
Ss hujiulizi kama jamaa vikwazo vinamuathiri na bado yupo kwa Top 2 ya uchumi Mkubwa na Imara mashariki Yakati Anatumia Njia Gani Kupambana nayo
Israel Saudia Jordan Misri Na Nyenginezo Hazina Hata Vikwazo vya kiuchumi hata kipande toka upande wowote ulimwenguni na bado ni Under Dog Kwa IRAN
IRAN sio VENEZUELA Sio KOREA KASKAZINI Sio CUBA Nawala Sio Zimbabwe
Hakuna kamanda aliyeuawa. Hizo Habari umezitoa wapi?! Weka link tusomeBro naona hujanielewa.
Nimekwambia Hizbollah inashiriki ktk siasa za Lebanon lakini Hizbollah haikuanzishwa na wala haiendeshwi na serikali ya Lebanon.
Bali Hizbollah inajihusisha INAJIHUSISHA NA SIASA LEBANON.
Kuhusu kubomoa mahandaki jambo la kawaida vp kuhusu lile shambulio la juzi Hizbollah walilofanya na kuua makamanda wa Israel ????
Israel alifanya nn mbona hajaenda kuwatafuta Hizbollah alipize???
Qatar haisaidii Hamas Ila inasaidia familia zote za Gaza.Bro hayo maneno ht ktk khanga yapo yavaliwa.
Hela za Qatar zinaenda kwa Hamas daily mkuu na hilo halipingiki.
Labda wanajaribu kuzuia ila hawawez kuzuia hela zisiwafikie Hamas .
Habari zimefafanuliwa sana humu ndan we hujazisoma mpk link zimeletwa???Hakuna kamanda aliyeuawa. Hizo Habari umezitoa wapi?! Weka link tusome
Hong Kong(CNN Business)The United States has slapped sanctions on a Chinese company for importing Iranian crude in violation of US restrictions on Iran's oil industry.Mkuu China,Russia wananunua mafuta ya Iran.
Naomba unitajie lini China na Russia wameekewa vikwazo.
Bro hyo Hamas ni kikundi kinachopingana na Israel,hvyo hawawez kusaidiwa rasmi km udhaniavyo.Qatar haisaidii Hamas Ila inasaidia familia zote za Gaza.
Na wanafanya kazi kwa ushirikiano na Israel.
GAZA/JERUSALEM (Reuters) - A Qatari technical delegation held talks in Israel and the Gaza Strip this week about helping pay for a proposed new power line between them, officials on both sides said on Tuesday, marking a potential expansion of Doha's aid efforts for Palestinians.
https://www.google.com/amp/s/mobile.reuters.com/article/amp/idUSKCN1TJ0YN
Huko ni kutwanga maji kwenye kinu je kuna lolote walofanikiwa US kwa kuweka sanctions kwa Chinese companies ??!Hong Kong(CNN Business)The United States has slapped sanctions on a Chinese company for importing Iranian crude in violation of US restrictions on Iran's oil industry.
https://www.google.com/amp/s/amp.cnn.com/cnn/2019/07/23/business/zhuhai-zhenrong-company/index.html
Hakuna wa kuweza kuvuka ule mpaka pale...Walijaribu nadhani unakumbuka lilichowapatamkuu @zekokuyo,,israel huwa anaruhusu pesa za qatar ziingie gaza ili kuwatuliza maana wakiwaacha bila kuwapa pesa kitanuka mda wotte na wanaweza kuingia israel kwa nguvu,,sasa nikuulize msaada wa iran kuja kwa hamas,huko Gaza hupitia wapi?
Me mwenyewe nashangaa Mkuu.
Hela Hamas zinaenda kisiri haziendi kiwaz km anavyotaka kuaminisha huyu jamaa.
Km unataka kugundua hilo mwaka huu mwanzon Israel walirusha makombora makali sana ambayo yaliathiri afya za waGhazar na yaliathiri ardhi pia madaktari wa WHO walisema kuwa Ghazar iamwe kwa muda haifai kukaliwa kwa wakat huo ili watu wapate matibabu na ardhi kufanyiwa reclamation.
Lakn Israel alionya watu Ghazar wasipate msaada ht wa madawa.
Chakushangaza baada ya two weeks watu wa Ghazar wanapata matibabu jiulize hela zimetoka wap za kusaidia madawa ya matibabu???
Sasa nadhani ushaelewa kwamba hizo fedha hapiti bila Israel kuruhusuKina nani wanatulizwa Mkuu embu toa ufafanuzi??
Duh basi hii ni belaa tena sio ndogo.