Kambi ya Iran yashambuliwa,18 wafariki

Kuhusiana na suala la kushindwa kufanya yake iran eti sababu ni vikwazo unapoteza muda wako mkuu

Sababu vikwazo dhidi ya iran havija anza leo sasa vina mwaka wa 40 na bado iran inafanya yake kama kawaida

Suala la roots unataka roots gan hujawahi jiuliza HAMAS Wanapataje Silaha licha ya Kuzingirwa Kila Kona Na TAIFA TEULE kuhusiana na suala la Kuwepo kambi za IRAN Nchini SYRIA Nahisi Kilaleo TAIFA TEULE Linadai kupiga kambi za IRAN Nchini SYRIA IRAQ Na Hapa Juzi Umeona LEBANON Ss Kama ISRAEL Wenyewe Wanakiri Kushambulia Kambi Za IRAN Katika Hizo Nchi Wewe Unabishana Na TAIFA Lako Teule Mkuu

Nahapo Ndio Kapiga Kambi Ambazo ISRAEL Kazigundua Tuseme Sasa Vipi Kuhusiana Nazile Ambazo Hajazgundua Mkuu
Suala La Kuwa Niiangalie Israel Katika Mipaka Hio Yamwaka 48 hata wewe kaiangalie RUSSIA Katika Mipaka Ya 1990s Hukoo Halaf Kaiangalie Na Sasa Ilipo

Halafu nikwambie Kitu Mkuu Suala La Iraq na IRAN Lime anza baada ya DAESH Kujilimbikiza IRAQ Jamaa WAAJEMI Walipoona DAESH Watakua tatizo kwao Kama walivyokuja wakapiga gwaride lakijeshi la Iran Wakaona Ngoja Tuwaoneshe Wakawatengenezea HASHDU SHAABI Sasa Hv DAESH Wamekua Na Heshma Kwa IRAN


Suala la TAIFA TEULE NI suala la Muda 2 Mkuu
Vikwazo ilivyowekewa Iran hivi sasa haijawahi kuwekeza katika kipindi chochote kile,vikwazo vilivyopita Iran iliruhusiwa baadhi ya vitu mfano kuuza mafuta kwa nchi ambazo zimepewa kibali na Marekani (Japan,S.korea, Turkey,India,nk) lakini hivi sasa nchi hizo zote zimenyimwa ruhusa ya kununua mafuta toka Iran,ndo maana kila kukicha Iran inahaha kuwatisha EU kwamba eti iwakomboe kwenye vikwazo vya Marekani au la watakiuka mkataba wa nyuklia. EU wakiongozwa na France walitaka kuwapa $15bn kama mkopo,Marekani ikakataa!

Unasemea silaha wanatoa Wapi,kwani Alshabab na Boko Haram silaha wanatoa Wapi?! Unadhani hizi ni zama za analogy,hao Hamas wanatengeza makombora yao na silaha nyingine hivyo kwa Hezbollah na vikundi vingine vya kigaidi.

Hakuna nchi ambayo intelligence yake itaweza kucover kila kitu,baadhi ya silaha zinapita hasa kupitia black market. Hata Urusi walitaka kushambuliwa na magaidi lakini CIA ndo wakawashtua wakaharibu lile shambulio kabla halijafanyika

Iran haijaingia eti Iraq sababu ya Daesh,Iran na Iraq ni washirika wazuri tu. Hao Daesh wa Iraq walitekezwa na mashambulizi ya muungano yaliyokua yakiongozwa na Marekani wakishirikiana na serikali ya Iraq wakiwatimua ISIS toka Mosul na miji mingine.

Russia ya 1990 na ya Leo ukitoa Crimea imeongezeka nini?!

MWISHO; Mimi sio mdau wa mambo ya kidini,masuala ya Taifa teule siyajui,naizungumzia Israel kama nchi ya kawaida.
 
Kambi za Hizbollah zimewekwa na nani???
IRAN ANAZO KAMBI LEBANON NA NDIO HZO KAMBI ZA HIZBOLLAH.
ISRAEL KM HAJUI ADUI MGUMU HIZBOLLAH NDIO AKAMMALIZE MAANA MKONO WA KULIA WA IRAN NI HIZBOLLAH.
Pasi na kusahau anafadhili had Houthi Iran na Afghanistan ni allies wake.
Israel akiamua kufutwa anafutwa fasta tu.
Maana kazungukwa na maadui kila kona.
Afghanistan,Pakistan,Hizbollah,Syria,Iraq hao ni ambao utake usitake ukiivamia Iran lazima nawe wakuvamie.
Na hao wana uwezo wa kawaida asa bado haujamjumlisha houthi wa Yemen na bado hujamjumlisha Iran mwenyewe mwenye makombora madhubuti.
Israel anaelewa kabisa fikka kuwa Iran ana secret tunnel yenye makombora hatari kwa afya,na yale makombora ndiyo anayotakiwa kuyaangamiza shida inakuja kwamba hana ubavu wa kuingia Iran man to man pia hzo secret tunnel zipo ktk kila kambi ya jeshi ndan ya nchi ya Iran utazigunduaje na utazimalizaje ht ukizigundua.??
Israel anaonea dagaa kambare hawawez.
Kuvunja kambi Za Syria ni kujichosha maana still kuna kambi hatari zaidi ndan ya Iran na pia kuna wanamgambo wa Iran ambao washamtetemesha sana Israel Hizbollah.
Unauliza kambi za Hezbollah zimewekwa na nani kwani hujui kama Hezbollah Lebanon ndo nchi yao.
Hezbollah unayoizunguzmia ya kuifuta Israel ni hiihii ambayo kiongozi wake Nasraah anaishi kwenye mashimo tangu 2006 akiogopa kutunguliwa na wayahudi au Hezbollah ipi?!

Kabisa unaizunguzmia Pakistani,Pakistan ina mgogoro gani na Israel?! Au kisa ni nchi ya kiislamu?!

Kiufupi hakuna nchi pale middle East yenye uwezo wa kuindoa Israel. Saudia,UAE zote hizo zinataka mahusiano mazuri na Israel.

Kwanini mnalazimisha Israel ishambulie Iran wakati Iran ndo anasema hatambui uwepo wa Israel pale middle East na kwamba anataka ifutwe kwenye uso wa Dunia. Na kila siku wanaimba 'Death to America,Death to Israel'....kwanini mpaka leo Iran haijajaribu huo mpango wake wa kuifuta Israel?!
 
Unauliza kambi za Hezbollah zimewekwa na nani kwani hujui kama Hezbollah Lebanon ndo nchi yao.
Hezbollah unayoizunguzmia ya kuifuta Israel ni hiihii ambayo kiongozi wake Nasraah anaishi kwenye mashimo tangu 2006 akiogopa kutunguliwa na wayahudi au Hezbollah ipi?!

Kabisa unaizunguzmia Pakistani,Pakistan ina mgogoro gani na Israel?! Au kisa ni nchi ya kiislamu?!

Kiufupi hakuna nchi pale middle East yenye uwezo wa kuindoa Israel. Saudia,UAE zote hizo zinataka mahusiano mazuri na Israel.

Kwanini mnalazimisha Israel ishambulie Iran wakati Iran ndo anasema hatambui uwepo wa Israel pale middle East na kwamba anataka ifutwe kwenye uso wa Dunia. Na kila siku wanaimba 'Death to America,Death to Israel'....kwanini mpaka leo Iran haijajaribu huo mpango wake wa kuifuta Israel?!
Mkuu embu punguza uhemko kwanza.
Hizbollah sio taasisi ya serikali ya Lebanon.
Hizbollah ni kundi la wanamgambo lililoanzishwa na walebanon na linafadhiliwa na Iran.
Na hadi sasa silaha na uendeshaji wa hao wanamgambo anafadhili Iran.

Hizbollah haijifichi ipo waz waz Hassan Nasrallah anahojiwa daily ktk vyombo vya habari asa utasemaje anajificha???
Mbona 2015 alifanya shambulio Israel je Israel ilijibu???

Israel akiletewa kauli za vitisho huwa anajihami Mathalan kwa Hamas daily anambondaga kwa kisingizio anamtetereshea amani.
Iran mbona katoa kauli za vitisho je amempiga ili kuilinda amani yake????
We humjui Israel anavyopenda sifa ww.
Iran ingekua taifa dhaifu kwa kuropoka kwake Iran kuifuta Israel ,Israel angelimlipua Iran km afanyavyo kwa Hamas.
Ila hawez.

Kuna kitu kinaitwa alliance bro.
Kama unavyoona US ana allience wake wa NATO kuwa ktk vita hawaachani bas Iran nao vivyo hvyo.
Hujui ww jinsi washia wanavyopendana.
Mojawapo wa mataifa yasiyoyapenda Israel Pakistan ipo.Na pia ni mshia.Nadhan unajua kauli mbiu za mashia na umoja wao nisiongee sana.Hawaogopi kufa wale.
 
Mkuu embu punguza uhemko kwanza.
Hizbollah sio taasisi ya serikali ya Lebanon.
Hizbollah ni kundi la wanamgambo lililoanzishwa na walebanon na linafadhiliwa na Iran.
Na hadi sasa silaha na uendeshaji wa hao wanamgambo anafadhili Iran.

Hizbollah haijifichi ipo waz waz Hassan Nasrallah anahojiwa daily ktk vyombo vya habari asa utasemaje anajificha???
Mbona 2015 alifanya shambulio Israel je Israel ilijibu???

Israel akiletewa kauli za vitisho huwa anajihami Mathalan kwa Hamas daily anambondaga kwa kisingizio anamtetereshea amani.
Iran mbona katoa kauli za vitisho je amempiga ili kuilinda amani yake????
We humjui Israel anavyopenda sifa ww.
Iran ingekua taifa dhaifu kwa kuropoka kwake Iran kuifuta Israel ,Israel angelimlipua Iran km afanyavyo kwa Hamas.
Ila hawez.

Kuna kitu kinaitwa alliance bro.
Kama unavyoona US ana allience wake wa NATO kuwa ktk vita hawaachani bas Iran nao vivyo hvyo.
Hujui ww jinsi washia wanavyopendana.
Mojawapo wa mataifa yasiyoyapenda Israel Pakistan ipo.Na pia ni mshia.Nadhan unajua kauli mbiu za mashia na umoja wao nisiongee sana.Hawaogopi kufa wale.
Hezbollah is a political and militant Shi'ite Muslim group based in Lebanon. Hezbollah, whose name means “Party of God” in Arabic, was founded in 1982 following Israel’s invasion of Lebanon in the First Lebanon War.

The group, which is currently led by Sheikh Hassan Nasrallah, has close political and military ties with Syria and Iran, and is designated by the United States and other Western nations as a terrorist group. The political arm of Hezbollah is deeply involved in Lebanese politics, with seats in the government, and the group has a history of providing social programs, schools and health care to the Lebanese Shi'ite community.
 
Mkuu embu punguza uhemko kwanza.
Hizbollah sio taasisi ya serikali ya Lebanon.
Hizbollah ni kundi la wanamgambo lililoanzishwa na walebanon na linafadhiliwa na Iran.
Na hadi sasa silaha na uendeshaji wa hao wanamgambo anafadhili Iran.

Hizbollah haijifichi ipo waz waz Hassan Nasrallah anahojiwa daily ktk vyombo vya habari asa utasemaje anajificha???
Mbona 2015 alifanya shambulio Israel je Israel ilijibu???

Israel akiletewa kauli za vitisho huwa anajihami Mathalan kwa Hamas daily anambondaga kwa kisingizio anamtetereshea amani.
Iran mbona katoa kauli za vitisho je amempiga ili kuilinda amani yake????
We humjui Israel anavyopenda sifa ww.
Iran ingekua taifa dhaifu kwa kuropoka kwake Iran kuifuta Israel ,Israel angelimlipua Iran km afanyavyo kwa Hamas.
Ila hawez.

Kuna kitu kinaitwa alliance bro.
Kama unavyoona US ana allience wake wa NATO kuwa ktk vita hawaachani bas Iran nao vivyo hvyo.
Hujui ww jinsi washia wanavyopendana.
Mojawapo wa mataifa yasiyoyapenda Israel Pakistan ipo.Na pia ni mshia.Nadhan unajua kauli mbiu za mashia na umoja wao nisiongee sana.Hawaogopi kufa wale.
Israel haipigi Hamas sababu za kauli za vitisho,ila anaipiga kujibu mashambulizi.

Kwani ni mara ngapi Hamas wanatoa hizo kauli?!
Israel hua wanapiga kama Hamas wameshambulia Israel labda kwa maroketi,nk vinginevyo haiwagusi vivyo hivyo kwa makundi mengine hata hao Hezbollah wakishambulia Israel na wao wanashambuliwa.

Israel hua haideal na maneno bali vitendo
 
Mkuu embu punguza uhemko kwanza.
Hizbollah sio taasisi ya serikali ya Lebanon.
Hizbollah ni kundi la wanamgambo lililoanzishwa na walebanon na linafadhiliwa na Iran.
Na hadi sasa silaha na uendeshaji wa hao wanamgambo anafadhili Iran.

Hizbollah haijifichi ipo waz waz Hassan Nasrallah anahojiwa daily ktk vyombo vya habari asa utasemaje anajificha???
Mbona 2015 alifanya shambulio Israel je Israel ilijibu???

Israel akiletewa kauli za vitisho huwa anajihami Mathalan kwa Hamas daily anambondaga kwa kisingizio anamtetereshea amani.
Iran mbona katoa kauli za vitisho je amempiga ili kuilinda amani yake????
We humjui Israel anavyopenda sifa ww.
Iran ingekua taifa dhaifu kwa kuropoka kwake Iran kuifuta Israel ,Israel angelimlipua Iran km afanyavyo kwa Hamas.
Ila hawez.

Kuna kitu kinaitwa alliance bro.
Kama unavyoona US ana allience wake wa NATO kuwa ktk vita hawaachani bas Iran nao vivyo hvyo.
Hujui ww jinsi washia wanavyopendana.
Mojawapo wa mataifa yasiyoyapenda Israel Pakistan ipo.Na pia ni mshia.Nadhan unajua kauli mbiu za mashia na umoja wao nisiongee sana.Hawaogopi kufa wale.
Hezbollah Secretary General Hassan Nasrallah has been living underground for almost five years now, in hideouts that are little known. A fugitive who fears for his life and is committed to his Iranian patrons, he stays deep inside the soil that he claims to have liberated from the Israelis. Nobody knows his whereabouts with the exception of a small group of bodyguards.



Senior officials who wish to meet him and even representatives of Iran's Revolutionary Guards do it at a central bunker; Nasrallah arrives for such sessions under heavy security and a veil of secrecy. The views regarding his hideout the rest of the time are inconclusive.



An Israeli intelligence official estimates that Nasrallah leads a life similar to that of a wanted terror suspect in the territories. He sleeps at various sites, meets his family infrequently, and runs his guerilla empire via decoded technology provided by the Iranians.
https://www.ynetnews.com/articles/0,7340,L-4036843,00.html
 
Kambi za Hizbollah zimewekwa na nani???
IRAN ANAZO KAMBI LEBANON NA NDIO HZO KAMBI ZA HIZBOLLAH.
ISRAEL KM HAJUI ADUI MGUMU HIZBOLLAH NDIO AKAMMALIZE MAANA MKONO WA KULIA WA IRAN NI HIZBOLLAH.
Pasi na kusahau anafadhili had Houthi Iran na Afghanistan ni allies wake.
Israel akiamua kufutwa anafutwa fasta tu.
Maana kazungukwa na maadui kila kona.
Afghanistan,Pakistan,Hizbollah,Syria,Iraq hao ni ambao utake usitake ukiivamia Iran lazima nawe wakuvamie.
Na hao wana uwezo wa kawaida asa bado haujamjumlisha houthi wa Yemen na bado hujamjumlisha Iran mwenyewe mwenye makombora madhubuti.
Israel anaelewa kabisa fikka kuwa Iran ana secret tunnel yenye makombora hatari kwa afya,na yale makombora ndiyo anayotakiwa kuyaangamiza shida inakuja kwamba hana ubavu wa kuingia Iran man to man pia hzo secret tunnel zipo ktk kila kambi ya jeshi ndan ya nchi ya Iran utazigunduaje na utazimalizaje ht ukizigundua.??
Israel anaonea dagaa kambare hawawez.
Kuvunja kambi Za Syria ni kujichosha maana still kuna kambi hatari zaidi ndan ya Iran na pia kuna wanamgambo wa Iran ambao washamtetemesha sana Israel Hizbollah.
Akikujibu unitag
 
Mkuu embu punguza uhemko kwanza.
Hizbollah sio taasisi ya serikali ya Lebanon.
Hizbollah ni kundi la wanamgambo lililoanzishwa na walebanon na linafadhiliwa na Iran.
Na hadi sasa silaha na uendeshaji wa hao wanamgambo anafadhili Iran.

Hizbollah haijifichi ipo waz waz Hassan Nasrallah anahojiwa daily ktk vyombo vya habari asa utasemaje anajificha???
Mbona 2015 alifanya shambulio Israel je Israel ilijibu???

Israel akiletewa kauli za vitisho huwa anajihami Mathalan kwa Hamas daily anambondaga kwa kisingizio anamtetereshea amani.
Iran mbona katoa kauli za vitisho je amempiga ili kuilinda amani yake????
We humjui Israel anavyopenda sifa ww.
Iran ingekua taifa dhaifu kwa kuropoka kwake Iran kuifuta Israel ,Israel angelimlipua Iran km afanyavyo kwa Hamas.
Ila hawez.

Kuna kitu kinaitwa alliance bro.
Kama unavyoona US ana allience wake wa NATO kuwa ktk vita hawaachani bas Iran nao vivyo hvyo.
Hujui ww jinsi washia wanavyopendana.
Mojawapo wa mataifa yasiyoyapenda Israel Pakistan ipo.Na pia ni mshia.Nadhan unajua kauli mbiu za mashia na umoja wao nisiongee sana.Hawaogopi kufa wale.
Prime Minister Imran Khan and his military backers are giving unprecedented freedom to a highly-censored media to talk about establishing relations with Israel. 14 years to the day since the countries' only public bilateral meeting, are conditions now ripe for a formal move?

https://www.google.com/amp/s/www.ha...istan-preparing-to-recognize-israel-1.7773360
 
Vikwazo ilivyowekewa Iran hivi sasa haijawahi kuwekeza katika kipindi chochote kile,vikwazo vilivyopita Iran iliruhusiwa baadhi ya vitu mfano kuuza mafuta kwa nchi ambazo zimepewa kibali na Marekani (Japan,S.korea, Turkey,India,nk) lakini hivi sasa nchi hizo zote zimenyimwa ruhusa ya kununua mafuta toka Iran,ndo maana kila kukicha Iran inahaha kuwatisha EU kwamba eti iwakomboe kwenye vikwazo vya Marekani au la watakiuka mkataba wa nyuklia. EU wakiongozwa na France walitaka kuwapa $15bn kama mkopo,Marekani ikakataa!

Unasemea silaha wanatoa Wapi,kwani Alshabab na Boko Haram silaha wanatoa Wapi?! Unadhani hizi ni zama za analogy,hao Hamas wanatengeza makombora yao na silaha nyingine hivyo kwa Hezbollah na vikundi vingine vya kigaidi.

Hakuna nchi ambayo intelligence yake itaweza kucover kila kitu,baadhi ya silaha zinapita hasa kupitia black market. Hata Urusi walitaka kushambuliwa na magaidi lakini CIA ndo wakawashtua wakaharibu lile shambulio kabla halijafanyika

Iran haijaingia eti Iraq sababu ya Daesh,Iran na Iraq ni washirika wazuri tu. Hao Daesh wa Iraq walitekezwa na mashambulizi ya muungano yaliyokua yakiongozwa na Marekani wakishirikiana na serikali ya Iraq wakiwatimua ISIS toka Mosul na miji mingine.

Russia ya 1990 na ya Leo ukitoa Crimea imeongezeka nini?!

MWISHO; Mimi sio mdau wa mambo ya kidini,masuala ya Taifa teule siyajui,naizungumzia Israel kama nchi ya kawaida.
Hapa kwa taifa teule nime kuelewa

Halaf suala la Kupewa Hizbullah Silaha Na Iran Sijasema Mimi Hapana Nimenukuu Tu Israel wanayoyasema kama wanapiga kambi za jeshi za iran wapi na wapi

Ss hili la black market cjui jipya mkuu

Kuhusiana na suala la vikwazo vikali sawa jamaa kapigwa vikwazo vikali kuna nn alicho badilika kama mafta anauza russia china india ananunua japo wapo walokataa kununua sababu ya sababu mbali mbali

Mkuu IRAN Kwa Vikwazo Watangoja Sana

Nb:Licha Ya Vikwazo Dhidi Yake IRAN Ndio Taifa Lapili Kwa Uchumi Imara Katika Eneo Lenye Migogoro Mingi Zaidi Duniani Asia Magharibi(Mashariki Ya Kati)
 
Unauliza kambi za Hezbollah zimewekwa na nani kwani hujui kama Hezbollah Lebanon ndo nchi yao.
Hezbollah unayoizunguzmia ya kuifuta Israel ni hiihii ambayo kiongozi wake Nasraah anaishi kwenye mashimo tangu 2006 akiogopa kutunguliwa na wayahudi au Hezbollah ipi?!

Kabisa unaizunguzmia Pakistani,Pakistan ina mgogoro gani na Israel?! Au kisa ni nchi ya kiislamu?!

Kiufupi hakuna nchi pale middle East yenye uwezo wa kuindoa Israel. Saudia,UAE zote hizo zinataka mahusiano mazuri na Israel.

Kwanini mnalazimisha Israel ishambulie Iran wakati Iran ndo anasema hatambui uwepo wa Israel pale middle East na kwamba anataka ifutwe kwenye uso wa Dunia. Na kila siku wanaimba 'Death to America,Death to Israel'....kwanini mpaka leo Iran haijajaribu huo mpango wake wa kuifuta Israel?!
Suala la Kutokuitambua(Kuiunga Mkono) ISRAEL Sio Suala La IRAN pekee nisuala la nchi Nyingi Sana Duniani Ikiwemo TANZANIA Hata Mahusiano Hakibalozi Wamewekeana Juzi 2 Hapa

Iran Kusema Vile Nikuonesha How Yupo Against Sana Na Mataifa Mengi Ulimwenguni

Maana nchi nyengine zinashindwa kuongea maxima mazima kama IRAN Ila Kwakua Yeye Mwanaume Kasema Acha Awawakilishe MINORITIES REPRESENT MAJORITIES
 
Hezbollah is a political and militant Shi'ite Muslim group based in Lebanon. Hezbollah, whose name means “Party of God” in Arabic, was founded in 1982 following Israel’s invasion of Lebanon in the First Lebanon War.

The group, which is currently led by Sheikh Hassan Nasrallah, has close political and military ties with Syria and Iran, and is designated by the United States and other Western nations as a terrorist group. The political arm of Hezbollah is deeply involved in Lebanese politics, with seats in the government, and the group has a history of providing social programs, schools and health care to the Lebanese Shi'ite community.
Mkuu kuna tofauti ya institution and political millitant group.
Kuna tofauti na taasisi na kundi la wanamgambo la kisiasa.
Hizbollah wanajihusisha na siasa za pale Lebanon km ilivyo Houth tu lakini wale wanafadhiliwa na Iran.
Pesa unazoziona zinawaletea jeuri Hizbollah na silaha zinazowaletea jeuri Hizbollah ni za Iran.
Hizbollah haisimamiwi na serikali ya Lebanon bali inajihusisha na harakati za serikali ya Lebanon.
 
Hezbollah Secretary General Hassan Nasrallah has been living underground for almost five years now, in hideouts that are little known. A fugitive who fears for his life and is committed to his Iranian patrons, he stays deep inside the soil that he claims to have liberated from the Israelis. Nobody knows his whereabouts with the exception of a small group of bodyguards.



Senior officials who wish to meet him and even representatives of Iran's Revolutionary Guards do it at a central bunker; Nasrallah arrives for such sessions under heavy security and a veil of secrecy. The views regarding his hideout the rest of the time are inconclusive.



An Israeli intelligence official estimates that Nasrallah leads a life similar to that of a wanted terror suspect in the territories. He sleeps at various sites, meets his family infrequently, and runs his guerilla empire via decoded technology provided by the Iranians.
https://www.ynetnews.com/articles/0,7340,L-4036843,00.html
Mtu anayejificha ficha anaweza rusha matangazo ktk vyombo vya habari????
Yule ni kama Ossama Bin Laden kuishi ktk kambi za maficho ni kawaida ila sio km anajificha.
We daily anaenda kituo chao cha tv pale Lebanon kutoa maneno ya vitisho kwa Israel unamjua mtu anayejificha kaka????
Mtu km Gaddafi ndiye aliyekua anajificha yan hata mjini agusi.
 
Israel haipigi Hamas sababu za kauli za vitisho,ila anaipiga kujibu mashambulizi.

Kwani ni mara ngapi Hamas wanatoa hizo kauli?!
Israel hua wanapiga kama Hamas wameshambulia Israel labda kwa maroketi,nk vinginevyo haiwagusi vivyo hivyo kwa makundi mengine hata hao Hezbollah wakishambulia Israel na wao wanashambuliwa.

Israel hua haideal na maneno bali vitendo
Mkuu ACHA ZAKO WEW PUNGUZA MAHABA.
JUZI KATI HAPA WALIRUSHA MAKOMBORA YALIYOWAATHIRI MPK WATOTO NA WAKAWATISHA MASHIRIKA YA MSAADA KWENDA KUTOA MSAADA KWA WAHANGA ILHALI HAMAS HAKURUSHA HT JIWE.
HAMAS ANA MIEZI KIBAO HAJAISHAMBULIA ISRAEL LAKINI ISRAEL WANAWAUA HAMAS MPK RAIA WA KAWAIDA WAKISINGIZIA KUWA WANATISHIA KUWASHAMBULIA KUMBE NI UONGO.
PUNGUZA MAHABA BASI.
HAMAS NA PALESTINES HUWA WANAONEWAGWA BURE SANA AISEE YAN JAMAA AKIJISKIA KURUSHA MAKOMBORA ANARUSHA TU PASI NA KUCHOKOZWA.
 
Prime Minister Imran Khan and his military backers are giving unprecedented freedom to a highly-censored media to talk about establishing relations with Israel. 14 years to the day since the countries' only public bilateral meeting, are conditions now ripe for a formal move?

https://www.google.com/amp/s/www.ha...istan-preparing-to-recognize-israel-1.7773360
Hata Bahrain na Qatar ni washirika wa Israel lakn Qatar anamuunga Iran ktk mambo yake kuliko Israel.
Qatar ambae anai recognize Israel km Pakistani anavyotaka kufanya anaisaidia Hamas kifedha walijua hilo kaka mkubwaaa???
Kutaka kushirikiana sio tatizo.
Tatizo je mtakua really allies km kutakua kuna hypocrisy km anayofanya Qatar???
 
Hapa kwa taifa teule nime kuelewa

Halaf suala la Kupewa Hizbullah Silaha Na Iran Sijasema Mimi Hapana Nimenukuu Tu Israel wanayoyasema kama wanapiga kambi za jeshi za iran wapi na wapi

Ss hili la black market cjui jipya mkuu

Kuhusiana na suala la vikwazo vikali sawa jamaa kapigwa vikwazo vikali kuna nn alicho badilika kama mafta anauza russia china india ananunua japo wapo walokataa kununua sababu ya sababu mbali mbali

Mkuu IRAN Kwa Vikwazo Watangoja Sana

Nb:Licha Ya Vikwazo Dhidi Yake IRAN Ndio Taifa Lapili Kwa Uchumi Imara Katika Eneo Lenye Migogoro Mingi Zaidi Duniani Asia Magharibi(Mashariki Ya Kati)
Nakazia mkuu kaka Zekukoyo atake asitake makombora anayojenga Hamas ni tech ya Iran.
 
Vikwazo ilivyowekewa Iran hivi sasa haijawahi kuwekeza katika kipindi chochote kile,vikwazo vilivyopita Iran iliruhusiwa baadhi ya vitu mfano kuuza mafuta kwa nchi ambazo zimepewa kibali na Marekani (Japan,S.korea, Turkey,India,nk) lakini hivi sasa nchi hizo zote zimenyimwa ruhusa ya kununua mafuta toka Iran,ndo maana kila kukicha Iran inahaha kuwatisha EU kwamba eti iwakomboe kwenye vikwazo vya Marekani au la watakiuka mkataba wa nyuklia. EU wakiongozwa na France walitaka kuwapa $15bn kama mkopo,Marekani ikakataa!

Unasemea silaha wanatoa Wapi,kwani Alshabab na Boko Haram silaha wanatoa Wapi?! Unadhani hizi ni zama za analogy,hao Hamas wanatengeza makombora yao na silaha nyingine hivyo kwa Hezbollah na vikundi vingine vya kigaidi.

Hakuna nchi ambayo intelligence yake itaweza kucover kila kitu,baadhi ya silaha zinapita hasa kupitia black market. Hata Urusi walitaka kushambuliwa na magaidi lakini CIA ndo wakawashtua wakaharibu lile shambulio kabla halijafanyika

Iran haijaingia eti Iraq sababu ya Daesh,Iran na Iraq ni washirika wazuri tu. Hao Daesh wa Iraq walitekezwa na mashambulizi ya muungano yaliyokua yakiongozwa na Marekani wakishirikiana na serikali ya Iraq wakiwatimua ISIS toka Mosul na miji mingine.

Russia ya 1990 na ya Leo ukitoa Crimea imeongezeka nini?!

MWISHO; Mimi sio mdau wa mambo ya kidini,masuala ya Taifa teule siyajui,naizungumzia Israel kama nchi ya kawaida.
Bolton Says Iranian Oil Tanker Now In Syrian Port
Kama vikwanzo ni vikali kuliko vyote mbona bado wanauza mafuta! Hawa jamaa siwaelewi!!!🤔
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom