STRUGGLE MAN
JF-Expert Member
- May 31, 2018
- 8,638
- 16,566
Iran taari ameshateka wanajeshi wa Marekani, ameshavamia balozi zao, ameshapiga Dron ghali zaidi, tena ni ya Marekani sasa anatafutiwa sababu ipi nyengine??
inatafutwa kila namna ili Iran aangie kwenye vita apigwe mande