sulphadoxine
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 2,257
- 645
Mkuu kumbe unasoma katikati ya mistari........hawa wamechoka sana....hamad rashid ni mroho wa madaraka na anatumika kuvuruga upinzani bara kwasababu wao wameshapata ulaji Zanzibar.
:clap2::clap2::clap2::clap2::clap2::clap2: