Alfu Lela Ulela
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 1,255
- 77
Juzi nilimsikia Hamad Rashid akikiri kuwa kamati waliyoiunda na vyama vingine vidogo vya siasa haitambuliki kikatiba wala kikanuni.
je kwa kukiri hivyo Hamad ataleta mbu bungeni, au ataongeza idadi ya nzi watakaochafua harufu nzuri ya wabunge wa Chadema??
je kwa kukiri hivyo Hamad ataleta mbu bungeni, au ataongeza idadi ya nzi watakaochafua harufu nzuri ya wabunge wa Chadema??