Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
Huenda tukawa na kambi mbili za upizani katika Bunge moja.Hili limetokana na uovu wa Chadema wa kutotaka kushirikisha chama kingine katika kambi yao tofauti na CUF wakati ilipokuwa ikiongoza kambi ya upinzani.
Chadema imekuwa ikijificha na kujivalisha ngozi ya kondoo kumbe ni waovu na wabaya sana ,udini na ukabila wanauficha kiasi inakuwa vigumu kwa watu au wananchi wa kawaida kuing'amua hali waliyonayo Chadema.
Migongano kibao ndani ya Chadema imesababishwa na sababu ambazo zimewafanya wasimchague mtu kushiriki katika kambi ya upinzani bungeni.Huu ni ubaya walionao Chadema kwenye uchaguzi wanataka waachiwe wao ,sehemu wanayohitajika kuachia wanakuwa na mazonge kibao na wanakuwa wagumu ,kwa ufupi wanataka wafanyiwe wao tu.
Mbowe ni mmoja ya watu walioonesha hadharani kama Mzanzibar hawezi kujitawala na hata kufika kumsema maiti kwenye mikutano ya hadhara kama Rais wa Zanzibar marehemu sheikh Idrisa Abdull Wakili alifika darasa la saba tuu na akawa Rais wa Zanzibar hili lina maana kubwa na mpaka leo hajaomba radhi kwa Wazanzibar wala Ukoo wa Marehemu hilo tuliwache
Sasa basi kutokana na Chadema kukosa mbunge hata wa dawa kwa upande wa pili wa Jamhuri ya Muungano nikimaanisha Zanzibar ,CUF moja kwa moja watalazimika kuwa kambi ya pili ya upinzani ili kuiwakilisha Zanzibar .
Chadema imekuwa ikijificha na kujivalisha ngozi ya kondoo kumbe ni waovu na wabaya sana ,udini na ukabila wanauficha kiasi inakuwa vigumu kwa watu au wananchi wa kawaida kuing'amua hali waliyonayo Chadema.
Migongano kibao ndani ya Chadema imesababishwa na sababu ambazo zimewafanya wasimchague mtu kushiriki katika kambi ya upinzani bungeni.Huu ni ubaya walionao Chadema kwenye uchaguzi wanataka waachiwe wao ,sehemu wanayohitajika kuachia wanakuwa na mazonge kibao na wanakuwa wagumu ,kwa ufupi wanataka wafanyiwe wao tu.
Mbowe ni mmoja ya watu walioonesha hadharani kama Mzanzibar hawezi kujitawala na hata kufika kumsema maiti kwenye mikutano ya hadhara kama Rais wa Zanzibar marehemu sheikh Idrisa Abdull Wakili alifika darasa la saba tuu na akawa Rais wa Zanzibar hili lina maana kubwa na mpaka leo hajaomba radhi kwa Wazanzibar wala Ukoo wa Marehemu hilo tuliwache
Sasa basi kutokana na Chadema kukosa mbunge hata wa dawa kwa upande wa pili wa Jamhuri ya Muungano nikimaanisha Zanzibar ,CUF moja kwa moja watalazimika kuwa kambi ya pili ya upinzani ili kuiwakilisha Zanzibar .