masaa machache baada ya kamati ya nchimbi kuwasilisha rasm kwa umma wametakari na kuona ya kwamba ina mapungufu mengi.na kubain kasoro nyingi katka mapendekezo....
Tumezoe kamati za harusi,misiba,send off party ili kufanikisha lengo fulani.Picha zimeonyesha mwangosi kapigwa bomu la machozi huku akiwa amezungukwa na ngunguri,eti unaunda kamati!! huu ni uwendawazimu.
Namuunga mkono Kainerugaba Msemakweli kuwa Dr.Nchimbi ni miongoni mwa mafisadi wa Elimu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.