nyangasese
Senior Member
- Aug 21, 2011
- 129
- 22
Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama na mkuu wa wilaya ya Nyamagana, ambaye pia ni kada maarufu wa CCM amemuamuru kamanda wa polisi wilaya(OCD) kuwakamata mara moja wabunge wa Chadema, Ezekiel Wenje na Highness Kiwia kwa kile kinachosemwa kuwa walitoa matamko ya uchochezi katika mikutano yao