Nafikiri hao wakuu wa polisi nao wanatakiwa kupima hizo amri wanazopewa na ma DC. Si kila amri ni halali.Ninachokiona hapa ni ccm kutaka kulivuruga taifa letu kwa kisingizio cha amri za viongozi wa serikali kama wakuu wa wilaya,wakuu wa mikoa nk. Kwa wawakilishi wa wananchi, kama wabunge. Wakuu wa wilaya na mikoa na makada wataliangamiza taifa letu kiushabiki. Kukamata wabunge lengo ni kuivuruga mwanza na cdm. Ccm ni janga, mungu aepushie mbali.