sumu-ya-panya
JF-Expert Member
- Aug 6, 2016
- 628
- 570
Ama kweli hakuna jipya chini ya jua nimeamini,ivi nebukerneza history ikoje?, eti bibilia inasemaga mtoto wa nebukerneza alitumia vikombe vya hekalu (matumizi mabaya ya madaraka) naskiaga tena suleman nae alifanya yake, ahha na herode na pilato mchanato sijui wako wapi? Mtawala tawala kwa utaratibu uliowekwa ukifata yako Mungu ndo mtumbuaji