mchumihalisi
Member
- Oct 8, 2015
- 28
- 98
Nimepishana na msafara wa Kamati ya Ulinzi na Usalama wa Mkoa wa Dar ukiongozwa na Mwenyekiti wake RC Makonda muda huu..!
Nadhani ni kwenda kutoa pole kwa tukio la moto lililotokea jana.
----------
Saa 2 baadaye..
Mkuu wa Mkoa, Paul Makonda amefika Ofisi za Clouds Media akiwa na Kamati ya Ulinzi na Usalama kutoa pole kwa ajali ya moto uliounguza sehemu ya jengo hilo..
Video..
Nadhani ni kwenda kutoa pole kwa tukio la moto lililotokea jana.
----------
Saa 2 baadaye..
Mkuu wa Mkoa, Paul Makonda amefika Ofisi za Clouds Media akiwa na Kamati ya Ulinzi na Usalama kutoa pole kwa ajali ya moto uliounguza sehemu ya jengo hilo..
Video..