Mzee
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 13,596
- 5,787
<br />Mbona hao woote kama walalaji Bungeni, kweli wanajua hata nini kinaendelea, maaana isijekua wamestushwa na wito wa spika , na kisha kusababisha wakaenda kumuuliza sasa tufanyaje
<br />
watapewa maelezo ya nn cha kufanya.
Ripot imeshaandaliwa wao ni ku-edit kwa kutumia maneno yao.