SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,756
Shoga mwandamiziHii post imekaa kishoga shoga flani hivi
Au we mwenyewe ni shoga?
Shoga mwandamiziHii post imekaa kishoga shoga flani hivi
Au we mwenyewe ni shoga?
Afe tu labda ila swala la kung'olewa ni story za kahawa tu.Huyu atakuja kung'olewa kwa aibu sana
CCM wana demokrasia pana sana linapokuja swala la uchaguzi wa ngazi zote tofauti na Chadema ambao mgombea wa nafasi ya mwenyekiti ni " yule yule " miaka nenda rudi.
Chadema inafanana sana na TFF ambayo mgombea wake wa kudumu kwa nafasi ya Rais ni Wallace Karia.
Karia ni CCM lakini anaendesha TFF kichadema Chadema.
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Wote siyo watanzaniaHili jamaa halina tofauti na marehemu
Huyu msomali ni hatari sanaNdio maana ya vile vikanuni vya kipuuzi puuzi mara wadhamini sijui ujinga gani, lengo ndio hili kuwachuja wote bila sababu abaki mmoja tu
Unamkumbuka Ndolanga?Afe tu labda,ila swala la kung'olewa ni story za kahawa tu.
Lugha nyepesi ni kwamba kapita bila kupingwa.
Wallace Karia amekuwa mgombea pekee wa nafasi ya Urais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) baada ya Kamati ya Uchaguzi ya TFF kuwaengua Evans Mgeusa na Hawa Mninga kwa kukosa sifa.
Karia anagombea nafasi hiyo kwa muhula wa pili.
======
Wallace Karia amepita kuwa Mgombea pekee kuelekea kwenye uchaguzi mkuu wa kutafuta viongozi wa Shirikisho la mpira wa Miguu Tanzania TFF.
Wagombea wengine wawili Evans Mgeusa na Hawa mniga hawajafuzu vigezo.
Kwa mujibu wa katiba ya TFF "kama ikitokea mgombea wa Urais amebaki peke yake na amekizi vigezo basi hatopigiwa kura na badala yake ataenda kuthibitishwa na wajumbe wa Mkutano mkuu"
Kwa maana hiyo Wallace Karia atasubiri kuthibitishwa na wajumbe wa mkutano mkuu baada ya kubaki peke yake.
Chanzo: Maulid Kitenge
Acha upotoshaji wako!CCM wana demokrasia pana sana linapokuja swala la uchaguzi wa ngazi zote tofauti na Chadema ambao mgombea wa nafasi ya mwenyekiti ni " yule yule " miaka nenda rudi...
Nasikia Maulidi K wanamwita Kidoti, kachero ivi n kweli ?!Wallace Karia amepita kuwa Mgombea pekee kuelekea kwenye uchaguzi mkuu wa kutafuta viongozi wa Shirikisho la mpira wa Miguu Tanzania TFF.
Wagombea wengine wawili Evans Mgeusa na Hawa mniga hawajafuzu vigezo.
Kwa mujibu wa katiba ya TFF "kama ikitokea mgombea wa Urais amebaki peke yake na amekidhi vigezo basi hatopigiwa kura na badala yake ataenda kuthibitishwa na wajumbe wa Mkutano mkuu"
Kwa maana hiyo Wallace Karia atasubiri kuthibitishwa na wajumbe wa mkutano mkuu baada ya kubaki peke yake.
Chanzo: Maulid Kitenge
Ni fedhea kwa Takfa na upumbavu kwa waendeshaji.
Wallace Karia amekuwa mgombea pekee wa nafasi ya Urais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) baada ya Kamati ya Uchaguzi ya TFF kuwaengua Evans Mgeusa na Hawa Mninga kwa kukosa sifa.
Karia anagombea nafasi hiyo kwa muhula wa pili.
======
Wallace Karia amepita kuwa Mgombea pekee kuelekea kwenye uchaguzi mkuu wa kutafuta viongozi wa Shirikisho la mpira wa Miguu Tanzania TFF.
Wagombea wengine wawili Evans Mgeusa na Hawa mniga hawajafuzu vigezo.
Kwa mujibu wa katiba ya TFF "kama ikitokea mgombea wa Urais amebaki peke yake na amekizi vigezo basi hatopigiwa kura na badala yake ataenda kuthibitishwa na wajumbe wa Mkutano mkuu"
Kwa maana hiyo Wallace Karia atasubiri kuthibitishwa na wajumbe wa mkutano mkuu baada ya kubaki peke yake.
Chanzo: Maulid Kitenge