Kamati ya Uchaguzi ya TFF yapitisha Jina la Wallace Karia kuwa Mgombea pekee wa nafasi ya Urais

Linguistic

JF-Expert Member
Mar 16, 2021
3,671
8,237
1624965443938.png

Wallace Karia amekuwa mgombea pekee wa nafasi ya Urais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) baada ya Kamati ya Uchaguzi ya TFF kuwaengua Evans Mgeusa na Hawa Mninga kwa kukosa sifa.

Karia anagombea nafasi hiyo kwa muhula wa pili.

======

Wallace Karia amepita kuwa Mgombea pekee kuelekea kwenye uchaguzi mkuu wa kutafuta viongozi wa Shirikisho la mpira wa Miguu Tanzania TFF.

Wagombea wengine wawili Evans Mgeusa na Hawa mniga hawajafuzu vigezo.

Kwa mujibu wa katiba ya TFF "kama ikitokea mgombea wa Urais amebaki peke yake na amekizi vigezo basi hatopigiwa kura na badala yake ataenda kuthibitishwa na wajumbe wa Mkutano mkuu"

Kwa maana hiyo Wallace Karia atasubiri kuthibitishwa na wajumbe wa mkutano mkuu baada ya kubaki peke yake.

Chanzo: Maulid Kitenge
 
Jamaa ni dhaifu sana, halafu ni muoga wa challange. Mpuuzi sana kumbe yule dada alikuwa ni kama ni chambo tu, halafu yule dada alikuwa ni mjumbe wa kamati za tff ambazo aliteuliwa na huyo msomali.
Majinga sana hayo
 
CCM wana demokrasia pana sana linapokuja swala la uchaguzi wa ngazi zote tofauti na Chadema ambao mgombea wa nafasi ya mwenyekiti ni " yule yule " miaka nenda rudi.

Chadema inafanana sana na TFF ambayo mgombea wake wa kudumu kwa nafasi ya Rais ni Wallace Karia.

Karia ni CCM lakini anaendesha TFF kichadema Chadema.

Nawasalimu kwa jina la JMT!
 
Wallace Karia amepita kuwa Mgombea pekee kuelekea kwenye uchaguzi mkuu wa kutafuta viongozi wa Shirikisho la mpira wa Miguu Tanzania TFF.

Wagombea wengine wawili Evans Mgeusa na Hawa mniga hawajafuzu vigezo.

Kwa mujibu wa katiba ya TFF "kama ikitokea mgombea wa Urais amebaki peke yake na amekidhi vigezo basi hatopigiwa kura na badala yake ataenda kuthibitishwa na wajumbe wa Mkutano mkuu"

Kwa maana hiyo Wallace Karia atasubiri kuthibitishwa na wajumbe wa mkutano mkuu baada ya kubaki peke yake.

Chanzo: Maulid Kitenge
 
Enzi za Magu CHADEMA ilidrop sana ikawa small business, macho manne anapambana iwe limited company kama zamani
 
CCM wana demokrasia pana sana linapokuja swala la uchaguzi wa ngazi zote tofauti na Chadema ambao mgombea wa nafasi ya mwenyekiti ni " yule yule " miaka nenda rudi.

Chadema inafanana sana na TFF ambayo mgombea wake wa kudumu kwa nafasi ya Rais ni Wallace Karia.

Karia ni CCM lakini anaendesha TFF kichadema Chadema.

Nawasalimu kwa jina la JMT!
Magu nae alikuwa anapita jimboni kwake bila kupingwa zaidi ya miaka 30
 
Wale wengine kama wamekosa Vigezo kosa la Karia lipo wapi?

Karia endelea kuupiga mwingi!
 
Jamaa Ni dhaifu Sana, halafu Ni Muoga Wa Challange... Mpuuzi Sana Kumbe Yule Dada Alikuwa Ni Kama Ni Chambo Tu, Halafu yule Dada Alikuwa Ni Mjumbe Wa Kamati za Tff ambazo aliteuliwa na Huyo Msomali.
Kwani hata kama asingekuwa mjumbe wa Kamati ya TFF kama unavyodai, hivi kwa akili yako huyo ndo wa kumuangusha Walance Karia?

Mnachekesha sana Nyie....!
 
Wale wengine kama wamekosa Vigezo kosa la Karia lipo wapi?

Karia endelea kuupiga mwingi..!
Ni Vigezo Gani Wamekosa? Wakati Awali walipitishwa na Hyo Kamati Wakiwa wamekidhi Vigezo? Au Hatua Kama Hii Pia Kunakuwa na Vigezo Vingine Vipya Tofauti na Vya Awali?
 
Back
Top Bottom