Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,671
- 8,237
Wallace Karia amekuwa mgombea pekee wa nafasi ya Urais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) baada ya Kamati ya Uchaguzi ya TFF kuwaengua Evans Mgeusa na Hawa Mninga kwa kukosa sifa.
Karia anagombea nafasi hiyo kwa muhula wa pili.
======
Wallace Karia amepita kuwa Mgombea pekee kuelekea kwenye uchaguzi mkuu wa kutafuta viongozi wa Shirikisho la mpira wa Miguu Tanzania TFF.
Wagombea wengine wawili Evans Mgeusa na Hawa mniga hawajafuzu vigezo.
Kwa mujibu wa katiba ya TFF "kama ikitokea mgombea wa Urais amebaki peke yake na amekizi vigezo basi hatopigiwa kura na badala yake ataenda kuthibitishwa na wajumbe wa Mkutano mkuu"
Kwa maana hiyo Wallace Karia atasubiri kuthibitishwa na wajumbe wa mkutano mkuu baada ya kubaki peke yake.
Chanzo: Maulid Kitenge