Kamati ya Uchaguzi TLS imfute Tundu Lissu na Masha kwa kampeni zenye mrengo wa kisiasa

Baada ya majina yao kuwa nominated kama wagombea wa nafasi ya Urais TLSL, Tundu na Masha wameanza kupiga kampeni mapema, kampeni zenye mrengo wa kisiasa.

Ni hivi karibuni tu wawili hao wamekua wakitoa kauli zenye mrengo wa kisiasa kuelekea Uchaguzi wa TLS na pia wafuasi na mashabiki wa watu hao wenye mrengo wa siasa za upinzani wakipiga kampeni kwa kuuambia uma kuwa ni zamu sasa ya ukawa kuiongoza TLS kwa kuwa kwa muda mrefu ilikua chini ya makada wa CCM.

TLS kama Bar Association ya Tanganyika ni society ya kitaaluma ambayo hushughulika na maswala muhimu ya mawakili, na sheria.

TLS haina afiliation na chama chochote cha siasa wala haijihusishi na siasa.

TLS sio ngo ya maswala ya kupigania haki za raia.

TLS ni jumuiko la kitaaluma.

Hivyo kwa wagombea hao kuanza kampeni zenye zinazoonesha mrengo flani wa kisiasa ni kukengeuka.

Ili kulinda TLS kamati ya Uchaguzi iwaondoe watajwa mara moja katika orodha ya wanaogombea nafasi ya Urais.

Tulieni hapo hapo hadi Lissu aukwae urais wa TLS ndipo uje/mje tuanze mjadala rasmi.

Mnashangaza sana na kuhuzunisha sana ninyi watu!
Hivi hizi kelele zenu mlizoanza wiki iliyopita ni kutokana tu na our Learned Brother Tundu A. M. Lissu kugombea? Hofu na kihoro chenu sababu yake nini?

Je tulipokuwa tunasema na kupiga kelele dhidi ya ukiukwaji wa waziwazi wa Sheria za Nchi, Taratibu na hata kusiginwa kwa Katiba ya nchi mlikuwa mnadhihaki sasa mlitakaje?

Ni hivi, kipele kinaelekea kumpata mkunaji hivyo tulieni. Tanzania ni yetu sote. Tunaumia tunapoona mnafanya mchezo na mambo muhimu na mustakabali wa nchi yetu.
 
Baada ya majina yao kuwa nominated kama wagombea wa nafasi ya Urais TLSL, Tundu na Masha wameanza kupiga kampeni mapema, kampeni zenye mrengo wa kisiasa.

Ni hivi karibuni tu wawili hao wamekua wakitoa kauli zenye mrengo wa kisiasa kuelekea Uchaguzi wa TLS na pia wafuasi na mashabiki wa watu hao wenye mrengo wa siasa za upinzani wakipiga kampeni kwa kuuambia uma kuwa ni zamu sasa ya ukawa kuiongoza TLS kwa kuwa kwa muda mrefu ilikua chini ya makada wa CCM.

TLS kama Bar Association ya Tanganyika ni society ya kitaaluma ambayo hushughulika na maswala muhimu ya mawakili, na sheria.

TLS haina afiliation na chama chochote cha siasa wala haijihusishi na siasa.

TLS sio ngo ya maswala ya kupigania haki za raia.

TLS ni jumuiko la kitaaluma.

Hivyo kwa wagombea hao kuanza kampeni zenye zinazoonesha mrengo flani wa kisiasa ni kukengeuka.

Ili kulinda TLS kamati ya Uchaguzi iwaondoe watajwa mara moja katika orodha ya wanaogombea nafasi ya Urais.
acha kuweweseka kijana vip mbona hujiamin acha kura ziongee
 
H
Baada ya majina yao kuwa nominated kama wagombea wa nafasi ya Urais TLSL, Tundu na Masha wameanza kupiga kampeni mapema, kampeni zenye mrengo wa kisiasa.

Ni hivi karibuni tu wawili hao wamekua wakitoa kauli zenye mrengo wa kisiasa kuelekea Uchaguzi wa TLS na pia wafuasi na mashabiki wa watu hao wenye mrengo wa siasa za upinzani wakipiga kampeni kwa kuuambia uma kuwa ni zamu sasa ya ukawa kuiongoza TLS kwa kuwa kwa muda mrefu ilikua chini ya makada wa CCM.

TLS kama Bar Association ya Tanganyika ni society ya kitaaluma ambayo hushughulika na maswala muhimu ya mawakili, na sheria.

TLS haina afiliation na chama chochote cha siasa wala haijihusishi na siasa.

TLS sio ngo ya maswala ya kupigania haki za raia.

TLS ni jumuiko la kitaaluma.

Hivyo kwa wagombea hao kuanza kampeni zenye zinazoonesha mrengo flani wa kisiasa ni kukengeuka.

Ili kulinda TLS kamati ya Uchaguzi iwaondoe watajwa mara moja katika orodha ya wanaogombea nafasi ya Urais.
Teh teh teh teh hatudanganyiki!!
 
Baada ya majina yao kuwa nominated kama wagombea wa nafasi ya Urais TLSL, Tundu na Masha wameanza kupiga kampeni mapema, kampeni zenye mrengo wa kisiasa.

Ni hivi karibuni tu wawili hao wamekua wakitoa kauli zenye mrengo wa kisiasa kuelekea Uchaguzi wa TLS na pia wafuasi na mashabiki wa watu hao wenye mrengo wa siasa za upinzani wakipiga kampeni kwa kuuambia uma kuwa ni zamu sasa ya ukawa kuiongoza TLS kwa kuwa kwa muda mrefu ilikua chini ya makada wa CCM.

TLS kama Bar Association ya Tanganyika ni society ya kitaaluma ambayo hushughulika na maswala muhimu ya mawakili, na sheria.

TLS haina afiliation na chama chochote cha siasa wala haijihusishi na siasa.

TLS sio ngo ya maswala ya kupigania haki za raia.

TLS ni jumuiko la kitaaluma.

Hivyo kwa wagombea hao kuanza kampeni zenye zinazoonesha mrengo flani wa kisiasa ni kukengeuka.

Ili kulinda TLS kamati ya Uchaguzi iwaondoe watajwa mara moja katika orodha ya wanaogombea nafasi ya Urais.
Wamepiga kampeni wapi na waliokuwa wanawashawishi ni wananasheria gani na walikua wapi wakati wanapiga kampeni kwa hao wanasheria? Isijekua unaokoteza matamko yao ya kwenye mitandao ukadai ni kampeni.
 
Kabla ya tamko la Mwakyembe pengine Lissu angeshinda kwa margin ya 56%. Lakini baada ya hii kampeni ya Lissu idadi ya Mawakili wanaomuunga mkono Lissu imeongezeka mno kwani wamejua siri ya serikali na chama chake tawala kutaka kuiweka mfukoni TLS. Sitashangaa Lissu akiibuka na ushindi wa 95%
 
Baada ya majina yao kuwa nominated kama wagombea wa nafasi ya Urais TLSL, Tundu na Masha wameanza kupiga kampeni mapema, kampeni zenye mrengo wa kisiasa.

Ni hivi karibuni tu wawili hao wamekua wakitoa kauli zenye mrengo wa kisiasa kuelekea Uchaguzi wa TLS na pia wafuasi na mashabiki wa watu hao wenye mrengo wa siasa za upinzani wakipiga kampeni kwa kuuambia uma kuwa ni zamu sasa ya ukawa kuiongoza TLS kwa kuwa kwa muda mrefu ilikua chini ya makada wa CCM.

TLS kama Bar Association ya Tanganyika ni society ya kitaaluma ambayo hushughulika na maswala muhimu ya mawakili, na sheria.

TLS haina afiliation na chama chochote cha siasa wala haijihusishi na siasa.

TLS sio ngo ya maswala ya kupigania haki za raia.

TLS ni jumuiko la kitaaluma.

Hivyo kwa wagombea hao kuanza kampeni zenye zinazoonesha mrengo flani wa kisiasa ni kukengeuka.

Ili kulinda TLS kamati ya Uchaguzi iwaondoe watajwa mara moja katika orodha ya wanaogombea nafasi ya Urais.
Muulize JPM na Mwakyembe nani kalianzisha. TL na Masha wanajibu mapigo bahati mbaya yanaumiza. Na wewe hapa unasababisha watu wawaelewe zaidi-yaani bila kujua unawapigia campaign.
 
Baada ya majina yao kuwa nominated kama wagombea wa nafasi ya Urais TLSL, Tundu na Masha wameanza kupiga kampeni mapema, kampeni zenye mrengo wa kisiasa.

Ni hivi karibuni tu wawili hao wamekua wakitoa kauli zenye mrengo wa kisiasa kuelekea Uchaguzi wa TLS na pia wafuasi na mashabiki wa watu hao wenye mrengo wa siasa za upinzani wakipiga kampeni kwa kuuambia uma kuwa ni zamu sasa ya ukawa kuiongoza TLS kwa kuwa kwa muda mrefu ilikua chini ya makada wa CCM.

TLS kama Bar Association ya Tanganyika ni society ya kitaaluma ambayo hushughulika na maswala muhimu ya mawakili, na sheria.

TLS haina afiliation na chama chochote cha siasa wala haijihusishi na siasa.

TLS sio ngo ya maswala ya kupigania haki za raia.

TLS ni jumuiko la kitaaluma.

Hivyo kwa wagombea hao kuanza kampeni zenye zinazoonesha mrengo flani wa kisiasa ni kukengeuka.

Ili kulinda TLS kamati ya Uchaguzi iwaondoe watajwa mara moja katika orodha ya wanaogombea nafasi ya Urais.
stroke huu uchaguzi waachie wenyewe wanasheria wanataaluma ,na hao wagombea pia ni wanasheria na wananchama hai wa TLS .suala la kubaki wao wataamua wenyewe ,swali watakalojiuliza huyu anayetoa mawazo haya ni mwanachama mwenzetu ,yuko hai kadi ya uanachama.tuwaachie waendeshe uchaguzi wao kulingana na taratibu zao.
 
Siasa ni kila kitu na hata ww hapa umeandika kwa sababu za kisiasa. Huwezi kutenganisha Siasa na maisha yetu watanzania.
 
Baada ya majina yao kuwa nominated kama wagombea wa nafasi ya Urais TLSL, Tundu na Masha wameanza kupiga kampeni mapema, kampeni zenye mrengo wa kisiasa.

Ni hivi karibuni tu wawili hao wamekua wakitoa kauli zenye mrengo wa kisiasa kuelekea Uchaguzi wa TLS na pia wafuasi na mashabiki wa watu hao wenye mrengo wa siasa za upinzani wakipiga kampeni kwa kuuambia uma kuwa ni zamu sasa ya ukawa kuiongoza TLS kwa kuwa kwa muda mrefu ilikua chini ya makada wa CCM.

TLS kama Bar Association ya Tanganyika ni society ya kitaaluma ambayo hushughulika na maswala muhimu ya mawakili, na sheria.

TLS haina afiliation na chama chochote cha siasa wala haijihusishi na siasa.

TLS sio ngo ya maswala ya kupigania haki za raia.

TLS ni jumuiko la kitaaluma.

Hivyo kwa wagombea hao kuanza kampeni zenye zinazoonesha mrengo flani wa kisiasa ni kukengeuka.

Ili kulinda TLS kamati ya Uchaguzi iwaondoe watajwa mara moja katika orodha ya wanaogombea nafasi ya Urais.

This is preemptive strike from the weak.
 
Baada ya majina yao kuwa nominated kama wagombea wa nafasi ya Urais TLSL, Tundu na Masha wameanza kupiga kampeni mapema, kampeni zenye mrengo wa kisiasa.

Ni hivi karibuni tu wawili hao wamekua wakitoa kauli zenye mrengo wa kisiasa kuelekea Uchaguzi wa TLS na pia wafuasi na mashabiki wa watu hao wenye mrengo wa siasa za upinzani wakipiga kampeni kwa kuuambia uma kuwa ni zamu sasa ya ukawa kuiongoza TLS kwa kuwa kwa muda mrefu ilikua chini ya makada wa CCM.

TLS kama Bar Association ya Tanganyika ni society ya kitaaluma ambayo hushughulika na maswala muhimu ya mawakili, na sheria.

TLS haina afiliation na chama chochote cha siasa wala haijihusishi na siasa.

TLS sio ngo ya maswala ya kupigania haki za raia.

TLS ni jumuiko la kitaaluma.

Hivyo kwa wagombea hao kuanza kampeni zenye zinazoonesha mrengo flani wa kisiasa ni kukengeuka.

Ili kulinda TLS kamati ya Uchaguzi iwaondoe watajwa mara moja katika orodha ya wanaogombea nafasi ya Urais.
Tuachieni TLS yetu, inatuhusu sisi member 6000+. Sisi sio watoto wadogo, tena sio tawi la ushabiki wa soka hili. Hii ni jumuiya ya WASOMI ambao wanajua wanataka nini na hatuwezi kuendeshwa na hamasa za KIPUUZI. Sisi ukifika muda tutaamua tumchague nani kwa sababu tunazozijua sisi, nyie wengine pilipili ipo shamba inawawashia nini?
 
Kwa taarifa yako tu ni kwamba hata hao kamati ya uchaguzi wanalilia Tundu Lissu ashinde na ndio maana ni miongoni mwa waliomshauri achukue fomu.Awamu hii magamba namba mtazisoma wenyewe.
 
Back
Top Bottom