Nimeuliza powers zake ni zipiWanaobeza Polepole kupelekwa Kamati Ndogo ya Sheria ya Bunge hawaijui nguvu ha hiyo Kamati. Na pia hawajui ya kwamba kwa kipindi chote Tundu Lissu alichokaa bungeni alikuwa Mjumbe wa Kamati hiyo! Sasa, kama wanafikiri Polepole ameshushwa thamani, basi wajue pia kumbe haya Tundu Lissu hakuwa lolote akiwa mjumbe wa kamati hii.
Unataka kuchukua sifa kupitia Mgongo wa TL??Wanaobeza Polepole kupelekwa Kamati Ndogo ya Sheria ya Bunge hawaijui nguvu ha hiyo Kamati. Na pia hawajui ya kwamba kwa kipindi chote Tundu Lissu alichokaa bungeni alikuwa Mjumbe wa Kamati hiyo! Sasa, kama wanafikiri Polepole ameshushwa thamani, basi wajue pia kumbe haya Tundu Lissu hakuwa lolote akiwa mjumbe wa kamati hii.
Akikujibu unitagNimeuliza powers zake ni zipi
Hivi unaakili timamu kufikiria kwamba Lissu wamuweke kwenye kamati ya maana?!Wanaobeza Polepole kupelekwa Kamati Ndogo ya Sheria ya Bunge hawaijui nguvu ha hiyo Kamati. Na pia hawajui ya kwamba kwa kipindi chote Tundu Lissu alichokaa bungeni alikuwa Mjumbe wa Kamati hiyo! Sasa, kama wanafikiri Polepole ameshushwa thamani, basi wajue pia kumbe haya Tundu Lissu hakuwa lolote akiwa mjumbe wa kamati hii.
Kuwa na adabu na ujifunze kutofautisha kati ya "almasi" na "kipande cha chupa".Wanaobeza Polepole kupelekwa Kamati Ndogo ya Sheria ya Bunge hawaijui nguvu ha hiyo Kamati. Na pia hawajui ya kwamba kwa kipindi chote Tundu Lissu alichokaa bungeni alikuwa Mjumbe wa Kamati hiyo! Sasa, kama wanafikiri Polepole ameshushwa thamani, basi wajue pia kumbe haya Tundu Lissu hakuwa lolote akiwa mjumbe wa kamati hii.
Mbona umepanic? Jibu swaliWanaobeza Polepole kupelekwa Kamati Ndogo ya Sheria ya Bunge hawaijui nguvu ha hiyo Kamati. Na pia hawajui ya kwamba kwa kipindi chote Tundu Lissu alichokaa bungeni alikuwa Mjumbe wa Kamati hiyo! Sasa, kama wanafikiri Polepole ameshushwa thamani, basi wajue pia kumbe haya Tundu Lissu hakuwa lolote akiwa mjumbe wa kamati hii.
Unaongea ujinga mtupu!! Kwahiyo ulitegemea Lissu angepangiwa kamati nyeti na nduguyai?Wanaobeza Polepole kupelekwa Kamati Ndogo ya Sheria ya Bunge hawaijui nguvu ha hiyo Kamati. Na pia hawajui ya kwamba kwa kipindi chote Tundu Lissu alichokaa bungeni alikuwa Mjumbe wa Kamati hiyo! Sasa, kama wanafikiri Polepole ameshushwa thamani, basi wajue pia kumbe haya Tundu Lissu hakuwa lolote akiwa mjumbe wa kamati hii.
haya umeyatoa wapi katika uziWanaobeza Polepole kupelekwa Kamati Ndogo ya Sheria ya Bunge hawaijui nguvu ha hiyo Kamati. Na pia hawajui ya kwamba kwa kipindi chote Tundu Lissu alichokaa bungeni alikuwa Mjumbe wa Kamati hiyo! Sasa, kama wanafikiri Polepole ameshushwa thamani, basi wajue pia kumbe haya Tundu Lissu hakuwa lolote akiwa mjumbe wa kamati hii.
Sawa ndugu polepoleWanaobeza Polepole kupelekwa Kamati Ndogo ya Sheria ya Bunge hawaijui nguvu ha hiyo Kamati. Na pia hawajui ya kwamba kwa kipindi chote Tundu Lissu alichokaa bungeni alikuwa Mjumbe wa Kamati hiyo! Sasa, kama wanafikiri Polepole ameshushwa thamani, basi wajue pia kumbe haya Tundu Lissu hakuwa lolote akiwa mjumbe wa kamati hii.
Sasa si umepigwa chini uwenyekiti ndio tafsiri yake.Wanaobeza Polepole kupelekwa Kamati Ndogo ya Sheria ya Bunge hawaijui nguvu ha hiyo Kamati. Na pia hawajui ya kwamba kwa kipindi chote Tundu Lissu alichokaa bungeni alikuwa Mjumbe wa Kamati hiyo! Sasa, kama wanafikiri Polepole ameshushwa thamani, basi wajue pia kumbe haya Tundu Lissu hakuwa lolote akiwa mjumbe wa kamati hii.
Wanaobeza Polepole kupelekwa Kamati Ndogo ya Sheria ya Bunge hawaijui nguvu ha hiyo Kamati. Na pia hawajui ya kwamba kwa kipindi chote Tundu Lissu alichokaa bungeni alikuwa Mjumbe wa Kamati hiyo! Sasa, kama wanafikiri Polepole ameshushwa thamani, basi wajue pia kumbe haya Tundu Lissu hakuwa lolote akiwa mjumbe wa kamati hii.
Na Ndugulile kateuliwa juzi, sjui kwanini imejaa wanakwetu tu ahahahWajumbe wake wapya ni Dr. Chamuliho, Dr. Kalemani, na Cde. Polepole. Powers za kamati hii ni zipi?
Sasa TL kaingizwaje hapo wajeman? Tupe kazi zake yakheeee.Wanaobeza Polepole kupelekwa Kamati Ndogo ya Sheria ya Bunge hawaijui nguvu ha hiyo Kamati. Na pia hawajui ya kwamba kwa kipindi chote Tundu Lissu alichokaa bungeni alikuwa Mjumbe wa Kamati hiyo! Sasa, kama wanafikiri Polepole ameshushwa thamani, basi wajue pia kumbe haya Tundu Lissu hakuwa lolote akiwa mjumbe wa kamati hii.
Imeulizwa powers zake zikoje na sio haya uliyojibu, tatizo huwa una haraka kamaWanaobeza Polepole kupelekwa Kamati Ndogo ya Sheria ya Bunge hawaijui nguvu ha hiyo Kamati. Na pia hawajui ya kwamba kwa kipindi chote Tundu Lissu alichokaa bungeni alikuwa Mjumbe wa Kamati hiyo! Sasa, kama wanafikiri Polepole ameshushwa thamani, basi wajue pia kumbe haya Tundu Lissu hakuwa lolote akiwa mjumbe wa kamati hii.
Hakuna mtu namdharau kama Polepole kwa sasa.Wajumbe wake wapya ni Dr. Chamuliho, Dr. Kalemani, na Cde. Polepole. Powers za kamati hii ni zipi?